Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza kuiba pesa ndefu katika historia ya benki zote nchini

Sarah Simbaulanga: Mwanamke wa kwanza kuiba pesa ndefu katika historia ya benki zote nchini

Report ya WB na IMF kuhusu kuficha Fedha Kwenye mabenki ya nje kwa Watumishi wa Umma Tanzania tumeanza kuficha Fedha hizo 1974
1974 mwalimu si alikuwa bado ameshika usukani,upigaji umeanza mda...
 
Dah...

Aisee mkuu KingKong77 Mungu akubariki sana mzee,kidogo kwa siku ukiingia hapa ukakutana na dawa ya akili kama hii basi kichwa kinatulia kabisa maana mambo haya hapa jukwaani yamekuwa magumu kidogo kuyaona.

Ila nataka kujua,hawa watu bado wapo hai au wameshaondoka hapa duniani?pia hao watoto huyu mama alizaa na huyu jamaa Tohora au alikuwa na mume ambaye alimsaliti?

Sent using Redmi Note 5
 
Kesi hii hadi ikulu enzi hzo za mwalimu walikuwa wanaitolea macho .....
Alafu nakumbuka kuna nguo fulani zilitokaga wakina mama wakazipaga Jina la simbaulanga [emoji23][emoji23]

Ova


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom