Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki


Nimejikuta nacheka kwa sauti..! Mbona wanaonekana kama wamevaa ma rapu rapu [emoji23]
 
Ubaya wa uniform umechangiwa na shape mbovu ya hao askari wenyewe wenye sura ya baba zao.
Ila mkuu hao kachabari haichukui muda mrefu maji hayo!!...huku bongo mpaka utaota malengelenge
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Wewe unataka zakubana Tatizo lako ndiyo hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ