Sare za traffic wa Uganda ni za ovyo Ukanda huu wa Afrika Mashariki

...sare za askari wa usalama barabarani hapa Uganda hasa kwa upande wa wanawake. Hazivutii, ni mbaya kwelikweli, kuna namna wanatakiwa waje wajifunze huko nyumbani jinsi askari wetu wanavyovaa na kuvutia.
Mkuu usiangale rangi ya paka, angalia uwezo wake kukamata panya
 
Washamba washamba tu,ingepata mtoto wa kibongo sare hiyohiyo ungeona vile angependeza...wanashonewa na fundi Sele unategemea Nini.
 
Unawataka wapendeze na kuvutia ili uwafanyeje?
 
Africa mashariki sisi wote ni ndugu moja tuligawanywa na wakoloni tu.Msituchonganishe na jirani zetu.
Mnaonaje huyu traffick police wa Afghanistan Mtaliban?
Huyu wa Uganda yuko very decent vazi la heshima

 
Ubaya wa uniform umechangiwa na shape mbovu ya hao askari wenyewe wenye sura ya baba zao.
Japana mkuu,hapa kwetu wapo wamama traffic sura za baba ila ukiwa kwa mbali unaweza kusema ni mtoto mkali kwa namna alivyo smart,ila ukimsogelea unakuta age imeenda.

By the way askari wa bongo wako smart sana katiba uvaaji hasa hawa traffic
 
Ubaya wa uniform umechangiwa na shape mbovu ya hao askari wenyewe wenye sura ya baba zao.
Japana mkuu,hapa kwetu wapo wamama traffic sura za baba ila ukiwa kwa mbali unaweza kusema ni mtoto mkali kwa namna alivyo smart,ila ukimsogelea unakuta age imeenda.

By the way askari wa bongo wako smart sana katiba uvaaji hasa hawa traffic
 
Bado ni mbaya tunawazidi mbali sana
 
Ila hapa zingetingwa na pisi Kali nyeupee zenye misambwandaa Wala tusingehoji uzuri wa sare
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…