Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Sijui ni kwamba watu wameokoka sana hata sielewi kabisa.Miaka ya nyuma mkienda kwenye mkesha ama sikukuu ilikuwa ni lazima ushuhudie ngumi za wanaume zikipigwa katikati ya senta .
Haikuwa sio ajabu kuona wala kusikia kuwa akina J n p jana walizipiga kwenye mkesha.Ni miaka sasa imepita bila kusikia wala kuona ngumi zikipigwa asee hadi najiuliza ama tiyari dunia imegeuka kuwa paradiso?
Leo hii hata ukienda club hadi unarudi hakuna ugomvi wowote utakao ushuhudia asee.Zamani hata mkesha wa disco wa darasa la saba tu tulikuwa tunashuhudia ngumi zikipigwa sana tu.Tena ilikuwa marufu kidato cha nne kukesha kwenye mahafari yao lakini kwa sasa imekuwa kawaida tu madogo wanakesha na walimu wana amani tele.
Kipindi hicho hakuna mwalimu yeyote angeweza kubali kurusu eti tukeshe kwenye mkesha wa kidato cha nne.Pamoja na kwamba sisi tulikuwa tunaanza disco saa4 asbh hadi saa12 jioni lakini bado ngumi zilipigwa tu.
Enzi hizo kulikuwa na mbabe wa mtaa mzima au hata kijiji kizima anafahamika kabisa kuwa flani ndo mbabe wa huu mtaa/kijiji. sasa hivi ni hamna. Nimemiss zana ubabe wa enzi hizo.
Baba mdogo aliwapiga migambo hadi wakapoteana na hapo walikuwa wanne leo hii mgambo mmoja tu anakuijia na anaenda kakupiga jeck njia yote na unatii au yeye anakuwa na baiskeli anakuswaga kama ng'ombe na unakubali tu.Kunakipindi mgambo na police mmoja mwenye siraha walikuja kukamata waunza gongo kipigo walichopata hawakurudia kuja tena kukamata walio bahatika kutokupigwa ni hawa walikuwa na police kwenye kukamata lakini wale waliojitenga wakiwa na marungu tu walipigika vibaya mno vile hata simu hazikuwepo walipigwa mno.
DJ alikuwa akibadilisha wimbo bila mpangilio lazima kipigo kimuhusu na ma DJ wa kipindi hicho walikuwa wababe. Kuna mkesha mmoja zilipigwa kanisani padri anaendelea na ubatizo kisa jamaa mmoja alijamba tu...
tukiwa tunaimba kwaya mara wazamiaji wa kwenye mkesha wakanzisha huko ikabidi ibada isimame.. jenerata ikazimwa makusudi na wababe kukawa giza zilipigwa ovyo ovyo yani unatembea huku unarusha ngumi kujiokoa wachache walikuwa na tochi walisaidia japo nao walikuwa wanamulika watoke mbio hakuna namna..
Finaly Mkong'oto nilioupata mimi kwa kuanzisha vanga ilikuwa mwaka 2011 mr chocolate(Bob junio) walikuwa wamekuja na bonge la nyau mahala fulani kufanya show. kwnye mida ya usiku kama saa7 wakatoka club likabaki la manyani sasa........ nilipigwa na jamaa niliyedhani na mu mudu asee masela wangu wote wakaniachia msala siku 3 uso umevimba sitoki nje masela wananiuguza japo walinikimbia asee.
MAMBO YANABADIRIKA SANA
Haikuwa sio ajabu kuona wala kusikia kuwa akina J n p jana walizipiga kwenye mkesha.Ni miaka sasa imepita bila kusikia wala kuona ngumi zikipigwa asee hadi najiuliza ama tiyari dunia imegeuka kuwa paradiso?
Leo hii hata ukienda club hadi unarudi hakuna ugomvi wowote utakao ushuhudia asee.Zamani hata mkesha wa disco wa darasa la saba tu tulikuwa tunashuhudia ngumi zikipigwa sana tu.Tena ilikuwa marufu kidato cha nne kukesha kwenye mahafari yao lakini kwa sasa imekuwa kawaida tu madogo wanakesha na walimu wana amani tele.
Kipindi hicho hakuna mwalimu yeyote angeweza kubali kurusu eti tukeshe kwenye mkesha wa kidato cha nne.Pamoja na kwamba sisi tulikuwa tunaanza disco saa4 asbh hadi saa12 jioni lakini bado ngumi zilipigwa tu.
Enzi hizo kulikuwa na mbabe wa mtaa mzima au hata kijiji kizima anafahamika kabisa kuwa flani ndo mbabe wa huu mtaa/kijiji. sasa hivi ni hamna. Nimemiss zana ubabe wa enzi hizo.
Baba mdogo aliwapiga migambo hadi wakapoteana na hapo walikuwa wanne leo hii mgambo mmoja tu anakuijia na anaenda kakupiga jeck njia yote na unatii au yeye anakuwa na baiskeli anakuswaga kama ng'ombe na unakubali tu.Kunakipindi mgambo na police mmoja mwenye siraha walikuja kukamata waunza gongo kipigo walichopata hawakurudia kuja tena kukamata walio bahatika kutokupigwa ni hawa walikuwa na police kwenye kukamata lakini wale waliojitenga wakiwa na marungu tu walipigika vibaya mno vile hata simu hazikuwepo walipigwa mno.
DJ alikuwa akibadilisha wimbo bila mpangilio lazima kipigo kimuhusu na ma DJ wa kipindi hicho walikuwa wababe. Kuna mkesha mmoja zilipigwa kanisani padri anaendelea na ubatizo kisa jamaa mmoja alijamba tu...
tukiwa tunaimba kwaya mara wazamiaji wa kwenye mkesha wakanzisha huko ikabidi ibada isimame.. jenerata ikazimwa makusudi na wababe kukawa giza zilipigwa ovyo ovyo yani unatembea huku unarusha ngumi kujiokoa wachache walikuwa na tochi walisaidia japo nao walikuwa wanamulika watoke mbio hakuna namna..
Finaly Mkong'oto nilioupata mimi kwa kuanzisha vanga ilikuwa mwaka 2011 mr chocolate(Bob junio) walikuwa wamekuja na bonge la nyau mahala fulani kufanya show. kwnye mida ya usiku kama saa7 wakatoka club likabaki la manyani sasa........ nilipigwa na jamaa niliyedhani na mu mudu asee masela wangu wote wakaniachia msala siku 3 uso umevimba sitoki nje masela wananiuguza japo walinikimbia asee.
MAMBO YANABADIRIKA SANA