Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Zama zimebadilika...zamani mpaka wizi kwa kutumia Jiwe "FATUMA" vijana wa 2005's hawawezi kuelewaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zama zimebadilika...zamani mpaka wizi kwa kutumia Jiwe "FATUMA" vijana wa 2005's hawawezi kuelewaa
😄😄😄 na unakuta ni watu wazima kabisa wana battle na wadada huwa nashangaa sana😁😁😁
Mlipigwa sana naikumbuka hio siku🤣Umenikumbusha mbali sana , hata siku za x-mass mkono ulikuwa unaopigwa hadi sio poa , sisi home tulikuwa men 12 aisee tulikuwa tunapiga mkono mtu akizingua kata nzima walikuwa wanaelewa , unakuta tena zilikuwa fujo zinaanzia kwenye mpira au madamu kuna siku ndugu yetu anaenda skuli asubuhi jamaa anakuta wanamsubili ikabidi arudi home , tukaamsha wote aisee zilitembea pale jamaa walikalishwa ikabidi wakimbie .
Ugomvi umemalizwa na kuku wa kfc 😂 sahizi vijana wote laini laini na wanaogopa kuumia sana wanakwepa shari kwa namna yeyote ile.Sijui ni kwamba watu wameokoka sana hata sielewi kabisa.Miaka ya nyuma mkienda kwenye mkesha ama sikukuu ilikuwa ni lazima ushuhudie ngumi za wanaume zikipigwa katikati ya senta .
Haikuwa sio ajabu kuona wala kusikia kuwa akina J n p jana walizipiga kwenye mkesha.Ni miaka sasa imepita bila kusikia wala kuona ngumi zikipigwa asee hadi najiuliza ama tiyari dunia imegeuka kuwa paradiso?
Leo hii hata ukienda club hadi unarudi hakuna ugomvi wowote utakao ushuhudia asee.Zamani hata mkesha wa disco wa darasa la saba tu tulikuwa tunashuhudia ngumi zikipigwa sana tu.Tena ilikuwa marufu kidato cha nne kukesha kwenye mahafari yao lakini kwa sasa imekuwa kawaida tu madogo wanakesha na walimu wana amani tele.
Kipindi hicho hakuna mwalimu yeyote angeweza kubali kurusu eti tukeshe kwenye mkesha wa kidato cha nne.Pamoja na kwamba sisi tulikuwa tunaanza disco saa4 asbh hadi saa12 jioni lakini bado ngumi zilipigwa tu.
Enzi hizo kulikuwa na mbabe wa mtaa mzima au hata kijiji kizima anafahamika kabisa kuwa flani ndo mbabe wa huu mtaa/kijiji. sasa hivi ni hamna. Nimemiss zana ubabe wa enzi hizo.
Baba mdogo aliwapiga migambo hadi wakapoteana na hapo walikuwa wanne leo hii mgambo mmoja tu anakuijia na anaenda kakupiga jeck njia yote na unatii au yeye anakuwa na baiskeli anakuswaga kama ng'ombe na unakubali tu.Kunakipindi mgambo na police mmoja mwenye siraha walikuja kukamata waunza gongo kipigo walichopata hawakurudia kuja tena kukamata walio bahatika kutokupigwa ni hawa walikuwa na police kwenye kukamata lakini wale waliojitenga wakiwa na marungu tu walipigika vibaya mno vile hata simu hazikuwepo walipigwa mno.
DJ alikuwa akibadilisha wimbo bila mpangilio lazima kipigo kimuhusu na ma DJ wa kipindi hicho walikuwa wababe. Kuna mkesha mmoja zilipigwa kanisani padri anaendelea na ubatizo kisa jamaa mmoja alijamba tu...
tukiwa tunaimba kwaya mara wazamiaji wa kwenye mkesha wakanzisha huko ikabidi ibada isimame.. jenerata ikazimwa makusudi na wababe kukawa giza zilipigwa ovyo ovyo yani unatembea huku unarusha ngumi kujiokoa wachache walikuwa na tochi walisaidia japo nao walikuwa wanamulika watoke mbio hakuna namna..
Finaly Mkong'oto nilioupata mimi kwa kuanzisha vanga ilikuwa mwaka 2011 mr chocolate(Bob junio) walikuwa wamekuja na bonge la nyau mahala fulani kufanya show. kwnye mida ya usiku kama saa7 wakatoka club likabaki la manyani sasa........ nilipigwa na jamaa niliyedhani na mu mudu asee masela wangu wote wakaniachia msala siku 3 uso umevimba sitoki nje masela wananiuguza japo walinikimbia asee.
MAMBO YANABADIRIKA SANA
Sahihi, kuna watu huzivamia comment za watu na kuzipiga bonge ya tusi as if wanaugomvi fulani.Siku hizi ugomvi na kuchokozana n.k. vimeamia mtandaoni.
kama sio kigoma sijuiSijui ni kwamba watu wameokoka sana hata sielewi kabisa.Miaka ya nyuma mkienda kwenye mkesha ama sikukuu ilikuwa ni lazima ushuhudie ngumi za wanaume zikipigwa katikati ya senta .
Haikuwa sio ajabu kuona wala kusikia kuwa akina J n p jana walizipiga kwenye mkesha.Ni miaka sasa imepita bila kusikia wala kuona ngumi zikipigwa asee hadi najiuliza ama tiyari dunia imegeuka kuwa paradiso?
Leo hii hata ukienda club hadi unarudi hakuna ugomvi wowote utakao ushuhudia asee.Zamani hata mkesha wa disco wa darasa la saba tu tulikuwa tunashuhudia ngumi zikipigwa sana tu.Tena ilikuwa marufu kidato cha nne kukesha kwenye mahafari yao lakini kwa sasa imekuwa kawaida tu madogo wanakesha na walimu wana amani tele.
Kipindi hicho hakuna mwalimu yeyote angeweza kubali kurusu eti tukeshe kwenye mkesha wa kidato cha nne.Pamoja na kwamba sisi tulikuwa tunaanza disco saa4 asbh hadi saa12 jioni lakini bado ngumi zilipigwa tu.
Enzi hizo kulikuwa na mbabe wa mtaa mzima au hata kijiji kizima anafahamika kabisa kuwa flani ndo mbabe wa huu mtaa/kijiji. sasa hivi ni hamna. Nimemiss zana ubabe wa enzi hizo.
Baba mdogo aliwapiga migambo hadi wakapoteana na hapo walikuwa wanne leo hii mgambo mmoja tu anakuijia na anaenda kakupiga jeck njia yote na unatii au yeye anakuwa na baiskeli anakuswaga kama ng'ombe na unakubali tu.Kunakipindi mgambo na police mmoja mwenye siraha walikuja kukamata waunza gongo kipigo walichopata hawakurudia kuja tena kukamata walio bahatika kutokupigwa ni hawa walikuwa na police kwenye kukamata lakini wale waliojitenga wakiwa na marungu tu walipigika vibaya mno vile hata simu hazikuwepo walipigwa mno.
DJ alikuwa akibadilisha wimbo bila mpangilio lazima kipigo kimuhusu na ma DJ wa kipindi hicho walikuwa wababe. Kuna mkesha mmoja zilipigwa kanisani padri anaendelea na ubatizo kisa jamaa mmoja alijamba tu...
tukiwa tunaimba kwaya mara wazamiaji wa kwenye mkesha wakanzisha huko ikabidi ibada isimame.. jenerata ikazimwa makusudi na wababe kukawa giza zilipigwa ovyo ovyo yani unatembea huku unarusha ngumi kujiokoa wachache walikuwa na tochi walisaidia japo nao walikuwa wanamulika watoke mbio hakuna namna..
Finaly Mkong'oto nilioupata mimi kwa kuanzisha vanga ilikuwa mwaka 2011 mr chocolate(Bob junio) walikuwa wamekuja na bonge la nyau mahala fulani kufanya show. kwnye mida ya usiku kama saa7 wakatoka club likabaki la manyani sasa........ nilipigwa na jamaa niliyedhani na mu mudu asee masela wangu wote wakaniachia msala siku 3 uso umevimba sitoki nje masela wananiuguza japo walinikimbia asee.
MAMBO YANABADIRIKA SANA
ni kweli kabisa na washiriki wakuu wamebadilika sio wanaume tena bali ni kinadadaSiku hizi ugomvi na kuchokozana n.k. vimeamia mtandaoni.
Yaani ugomvi ni hormones za kiume ?? Acha uongo we jamaa.Level ya hormones za kiume ni ndogo Sana leo !
Zamani hasa miaka ya tisini kurudi nyuma pombe nyingi zilikua na hormones za kiume kibao (testosterone)ugomvi ukawa mwingi sana kwa walevi!
Kanisa likalaani,viwanda vikaweka hormones za like kibao na wanaume tukaanza kuwa humble kama wanawake na sio kuwa agressive kama zamani!!
Nakumbuka mitaa ya Bunda pale nikiwa mdogo niliona vurugu sana kukutwa mtu kafia mtaroni ilikua kawaida sana!!
Kipondo ni mtaji, matusi ni mtaji, vitisho ni mtaji mtu akiwa na ushahidi tu polisi watakukamua na yeye atakukamua utabaki mifupa tu dadeki.Ugomvi umemalizwa na kuku wa kfc 😂 sahizi vijana wote laini laini na wanaogopa kuumia sana wanakwepa shari kwa namna yeyote ile.
Hadi kwenye status za wahusika.Siku hizi ugomvi na kuchokozana n.k. vimeamia mtandaoni.
Zama zimebadilika. Enzi hizo kulikuwa hakuna sheria kali wanawake wanaliwa sana mande na hawasemi. Huwa ninasema kama sheria zikibadilika zikawa kama za US kuna watu wakubwa na viongozi wataburuzwa mahakamani kama PdiddyWala sio ushamba ilikuwa ni jadi mkuu. Mbona miaka hiyo hata Dodoma mbabe wa mtaa alikuwepo? Arusha Hali hiyohiyo?
Halafu huwezi amini ninachokwambia!!Yaani ugomvi ni hormones za kiume ?? Acha uongo we jamaa.
Sio kweli labda uwe akili mgando ndio utaamini hilo.Halafu huwezi amini ninachokwambia!!
Humbleness sio tabia ya kiume Bali agressiveness!!