Sasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani

Sasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Sasa hivi watu wanavaa uniform za kazini mitaani kuturingishia kuwa wana kazi, zamani walikuwa wanavalia kazini

Maisha yamebadilika zamani mtu alikuwa anaona aibu kuondoka nyumbani akiwa kavaa uniform ya kazini na kurudi nayo kavaa .Walikuwa wakienda kubadlishia kazini na akitoka anaingia chooni anabadilisha ndio anarudi nyumbani.

Sasa hivi mtu anaondoka nyumbani anapanda daladala na uniform na kurudi akiwa na uniform yenye nembo ya kazini kwake kuringisha kote apitako Kuwa Yeye ana ajira.

Waajiri wa sasa hawana kazi kubwa kuhamasisha wafanyakazi kuvaa uniform tofauti na zamani.

Kweli kila enzi na zama zake loo.

Mnaofanya kazi wenye uniform karibuni mtaani kwetu mtukoge
 
Tuulize wahenga.

Au labda ukisema zamani unamaanisha nini?

Kwanza mabasi ya viwanda na makampuni yote. karibu kila kiwanda kilikuwa na mabasi yake yanawateremsha wafanyakazi kwenye vituo vikubwa Dar.

Halafu walikuwa wanavaa uniforms.

Wafanyakazi wa customs na bandari kuna mpaka uniforms za Jumatano.
 
Back
Top Bottom