FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Mi naona kila mwenye uwezo afungue kituo cha mafuta ili apate pesa za rahisi kihivyo.Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Hahahha, wenzako wataenda kununulia chanjo ya Corona, dozi moja laki 2💵...,Hata wewe yanakuhusu kwa sababu kodi inarudi kukusaidia wewe na ukoo wako.
Halafu acheni ukabila nyie watu, kwani kuwa msukuma imekuwa tusi siku hizi?Acheni ujinga siyo kila anaeleata mada kumsaidia mama anakuwa msukuma, hapa tunataka mapato siyo issue ya usukuma hapa. acheni kuleta cheap reasoning.
Unaonaje kila mwenye uwezo akafungua kiwanda ili apate huo unafuu wa kodi, kama ni rahisi hivyo kama mnavyosema?Tatizo kodi hiyo inalipwa na mnunuzi/mtumiaji, kwa maana hiyo inakuwa ngumu kwa wale wanaopeleka viwandani. nakubaliana na wewe kuwa ilipwe na depot ili wote walipe kodi.
Ninachofahamu, serikali hukusanya kodi yote ya mafuta hukohuko depot kabla hayajasambazwa, hizo risiti ni kwa ajili ya kodi za ziada kama Service levy na income tax, ila road license nk. hukusanywa kabla hayajasambazwaKabla ya hapo kodi hii ilikuwa kwenye road lisence kwa hiyo watarudisha road license ya kila mwaka.
Apumzike kwa amani JPM, tutamkumbuka sanaTutaenda sawa tu... Nawapa miezi 9 mbele kila kitu kitakuwa kimebadilika sana na kurudi enzi za Kikwete kabisa
Kodi tunapenda kulipa, ila tunaposikia tetesi kwamba wanataka kutumia kodi zetu kununulia chanjo za Corona, ndio shida inapoanza hapokwa baadhi ya majibu ya hapa bado tuko mbali sana!
sieelewi watu wanafurahije kuibiwa? tusije kulaumu serikali inaposhindwa kumudu kujiendesha kwa ajili ya makusanyo madogo ya kodi.
Watanzia tunapenda sana kulalama. Receipt ni haki yako. Dai lazima wakupeTangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Mwendakuzimu mlimsema?Kwahiyo asiwe anasemwa?
Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Tumia akili ndogo mkuu,sasa hao uliowataja ni wachache sana kwa idadi kwa hiyo ni rahisi kuwafatilia na kuwaekea mfumo wao kuliko hawa wa vituo vya mafuta ambao wametapakaa nchi zima.Kuna wamiliki wa malori/mitambo/mabasi ambao hununua jumla huko depo Na kuyapeleka kwenye karakana zao Kwa ajili ya kuhudumia vyombo vyake tu,huyo tutambana vipi alipe Kodi?
Suluhisho ni lile lililotolewa na Shabiby bungeni kwamba Kodi ichukuliwe huko huko depo kabla ya kusambazwa.Lakini kwasababu Jiwe alikuwa hashauriki hakusikia hilo
una ndugu vijijini??Watajua wenyewe ,kama wanalipa kodi kama hawalipi kikubwa we mambo yako yaende
Ova
Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Ulichukuwa hatua gani, mimi nililala hotel moja morogoro mwezi uliopita hawakutoa receipt ya TRA walisema mashine mbovu niliwambia wanipe uthibitisho kuwa ni mbovu, niligoma kulipa nikaondoka walinipigia wenyewe na kuomba msamahaKwani nalipia receipt ukinunua mafuta? nataka kodi yangu iende serikalini kukuletea maendeleo wewe na ukoo wako upate pesa ya kukaa kwenye keyboard .
Mbona wakati Wa mwenda zake hamkusema.Na yalikuepo mwenda wazimu wewe .Kwahiyo asiwe anasemwa?
Ndio maana nchi haiwezi kuendelea kwa kuwa na watu wapumbavu kama nyie!