Ni kweli kabisa. Vituo vingi vya mafuta hawatoi risiti siku hizi. Waziri wa fedha, TRA naona mmejitoa ktk jukumu lenu la kuwaangalia hawa jamaa. Au mnataka Mama aonekane hafai. Kwa kifupi ni hujuma inayoendelea Sasa hivi.Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Lakini hilo la kulipa kodi lipo kisheria hapa diniani na mbinguni.Naomba basi nichangie haya!
Hii haiko kwenye mafuta tuu bali kuna mabadiliko kila mahali, chanya na hasi..na hili ndio tatizo la kuwa na oneman show! Akiondoka mambo yanaparaganyika.. Hili si tatizo la mtu mmoja bali ni udhaifu wa kanuni na sheria zetu tulizojitungia wenyewe
Wanasiasa ni wapitaji tuu lakini sheria na kanuni zikiwa nzuri hutaeza kuona mtikisiko kukiwa na mabadilko
Kichwa yako ni mzigo kwa mwili wakoWewe kichwa kama nyanya masaru, mbona unajivua nguo!!!
Naona takko lako limechukua nafasi ya kichaa sasa.
Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
Yako inatumika kubebea meno.Kichwa yako ni mzigo kwa mwili wako
Sukuma Gang ww
we ni tatizo kubwa kuliko hata wasiotoa risiti. kweli elim ya kodi na rushwa ianzie chekechea. kama hujui hata umuhim wa kodi nimehurumia sana ubongo wako! poleKikubwa umepata mafuta mengine hayakuhusu
Ujinga ni mzigo wa kuni
Ujinga na kufa bora kufa
Ndio maana unaishi na upumbavu, ungekuwa mjinga ungekufa badaka ya kujifunza.Ujinga na kufa bora kufa
Sio kwetu sisi huku tuliko hatujawah kukutana na haya maendeleo ya kodiHata usipochukua risiti inatoka automatically, na kodi inakuwa imekatwa tayari. Kodi itasaidia maendeleo yetu watanzania wote
Kelele za nn sasa.....Kikubwa si umepata mafuta
Ova
Kwakweli inakera, kuwaza kodi inatafunwa na watu wanajilipa wanavotaka...inapunguza hata uzalendo kwa walipa kodiElimu ya kodi hamna kwa wananchi, halafu pia hiyo hiyo inayolipwa inapigwa sasa hapo uzalendo(unakufa) ndio hapo mtu kulipa inakuwa kazi
Akili ndogo uziaNdio maana unaishi na upumbavu, ungekuwa mjinga ungekufa badaka ya kujifunza.
Sent from my INE-LX1r using JamiiForums mobile app
Poa tu. TRA wenyewe ni wezi tu wenye vibariTangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA Kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO
Haya ndio tunayapenda na kuyachekelea, sasa ni wakati wa maneno matamu na kuwaridhisha majizi.Tusilalamike huu ndio uhuru tunaoupenda,uhuru wa kufanya tupendavyo.Tangu Rais wetu mpendwa aingie madarakani baadhi ya vituo vya mafuta havitoi receipt za ki eletronic. Mfano ukienda PUMA Kawe unaambiwa karatasi zimeisha, siku nyingine hakuna wino, ni mwezi sasa. PetroAfrica Bunju, unambiwa hakuna karatasi, Oilcom unaambiwa machinembovu. Ni vituo vingi vinafanya hivyo.
TRA MPOOOOO