Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Waache wamalizane wenyewe kenge hao si walitaka bunge la chama kimoja?? Waendelee na ushetani wao
Covid-19 wakiongozwa na Sugarmomies Halima Mdee na Esther Bulaya ni tawi la CCM-B!!!!Wale Covid19 wapi kambi ipi?
Ya MagufuliWale Covid19 wapi kambi ipi?
Wangekuwa Chadema wahusika wangetolewa nje.Speaker ni dhaifu mno. Naibu wake even worse.
Yaani jambo hili mpaka waende wakazibane midomo kwenye party caucus? Speaker angekuwa strong angewadhibiti mulenule ty. Strong hapa haimaanishi kufokafoka kibabe bila kuishirikidha halmashauri ya kichwa
Tena ikibidi hata Wachinjane tu kabisa.Spika wa Bunge Job Ndugai amemuagiza Katibu wa wabunge wa CCM Jasson Rweikiza kuitisha kikao cha kamati ya wabunge wa CCM (party caucus) kwasababu ndio mahali wanaweza kudhibitiana.
Ndugai ameyasema hayo leo Jumatatu baada ya Mbunge wa Viti Maalum (CCM) Lucy Mayenga kudai kuwa kuna kundi la wabunge wa chama hicho ambalo linamsifia Rais Samia Suluhu Hassan kwa lengo la kudhoofisha alama zilizoachwa na Hayati Rais John Magufuli.
Kama huna issue changanya.Unaleta habari ya upotoshaji inakusaidia nini? Sawa kuna makundi haya wewe inakusaidia nini?
Kwani wewe una akili gani hujui siasa ndiyo inayo kupa wewe kula na kunya kwa uhuru?Unaleta habari ya upotoshaji inakusaidia nini? Sawa kuna makundi haya wewe inakusaidia nini?
She is right, kuna jitihada kubwa sana zinaendelea za kumchafua MagufuliMbunge wa viti Maalum Lucy Mayenga amedai leo Bungeni kuwa kuna kundi la wabunge wengi ambao wanamepanga kuhujumu legacy ya Magufuli na kutaka kutenganisha Urais wa Samia na urais wa Magufuli
Amedai wabunge hao wanamsifia Samia Suluhu kwa lengo la kuonyesha kuwa Maguuli alikuwa akifanya vibaya na tangu awali wanafahamika kuwa walikuwa wakimpinga Magufuli.
Ameongezea watu hao kuwa wanamchonganisha Samia na watu wa Magufuli ambao alikuwa amewapanga na mikakati yao wanaijua
Zaidi unaweza kumsikiliza hapa
Hivi haya makunguni hayasikiagi eti?Mbunge wa viti Maalum Lucy Mayenga amedai leo Bungeni kuwa kuna kundi la wabunge wengi ambao wanamepanga kuhujumu legacy ya Magufuli na kutaka kutenganisha Urais wa Samia na urais wa Magufuli
Amedai wabunge hao wanamsifia Samia Suluhu kwa lengo la kuonyesha kuwa Maguuli alikuwa akifanya vibaya na tangu awali wanafahamika kuwa walikuwa wakimpinga Magufuli.
Ameongezea watu hao kuwa wanamchonganisha Samia na watu wa Magufuli ambao alikuwa amewapanga na mikakati yao wanaijua
Zaidi unaweza kumsikiliza hapa
UmeniwahiWale Covid19 wapi kambi ipi?
Fisi wameanza kuumanaKuna dalili zote za kuzaliwa upinzani ndani ya Bunge lisilo na upinzani. Mawazo mbadala hayaepukiki kwenye siasa!