Sasa ni dhahiri Bungeni kuna kundi la Rais Samia na kundi la Hayati Magufuli. Spika Ndugai awataka wabunge wa CCM kuitisha kikao cha usuluhishi

Waache wamalizane wenyewe kenge hao si walitaka bunge la chama kimoja?? Waendelee na ushetani wao

Maneno ya Lissu na Lema yanatimia!!!Walikuwa wanawapiga Vita sana na kuwabagua sana Wabunge wa Upinzani hasa CHADEMA na ACT Wazalendo.

Lisu na Lema waliwaambia wakishawamaliza Wapinzani Watageukiana WAO KWA WAO!!!
Mwalimu Nyerere(RIP) aliwahi sema ukianza KUBAGUA NI SAWA NA KULA NYAMA YA MTU...Ukisha onja huwezi kuacha....!!!!
 
Ina maana hao wabunge hawakuelewa jana alivyosema yeye na Magufuli ni kitu kimoja? wana vichwa vizito sana.

Hii inathibitisha Ndugai ni kiongozi dhaifu wa bunge, ameshindwa kurekebisha hali kwasababu nae anaingia kwenye kundi mojawapo kati ya hayo, dawa ni kulivunja hilo bunge tu.
 
Speaker ni dhaifu mno. Naibu wake even worse.

Yaani jambo hili mpaka waende wakazibane midomo kwenye party caucus? Speaker angekuwa strong angewadhibiti mulenule ty. Strong hapa haimaanishi kufokafoka kibabe bila kuishirikidha halmashauri ya kichwa
Wangekuwa Chadema wahusika wangetolewa nje.
 
Unaleta habari ya upotoshaji inakusaidia nini? Sawa kuna makundi haya wewe inakusaidia nini?
 
Tena ikibidi hata Wachinjane tu kabisa.
 
She is right, kuna jitihada kubwa sana zinaendelea za kumchafua Magufuli
 
Wamwagane hata damu,hio mishahara si ni zao za kumwaga damu za watanzania kwenye uchaguzi
 
Hivi haya makunguni hayasikiagi eti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…