Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Waache wamalizane wenyewe kenge hao si walitaka bunge la chama kimoja?? Waendelee na ushetani wao
Maneno ya Lissu na Lema yanatimia!!!Walikuwa wanawapiga Vita sana na kuwabagua sana Wabunge wa Upinzani hasa CHADEMA na ACT Wazalendo.
Lisu na Lema waliwaambia wakishawamaliza Wapinzani Watageukiana WAO KWA WAO!!!
Mwalimu Nyerere(RIP) aliwahi sema ukianza KUBAGUA NI SAWA NA KULA NYAMA YA MTU...Ukisha onja huwezi kuacha....!!!!