USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Gaidi mbowe analiwa na papasi huko jera wewe unalialia hapaSijasoma huu ugolo maana nina uhakika ni ugolo 100%
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gaidi mbowe analiwa na papasi huko jera wewe unalialia hapaSijasoma huu ugolo maana nina uhakika ni ugolo 100%
Hata vingikua 100, Kuna watu KAZI yao ni sheria , vitachambuliwa mbaka ibaki zero, watu watabaki kuangaliana KWA aibu,Mbowe lazima ale mvua. Lema mjanja alikimbia madeni na kesi ya ugaidi. Kwa sababu lema alikuwa jambazi so anajua kabisa kama kitu kimekaa vibaya.
Gaidi anapata nini kupambaniaDah nimesoma kidoogo aya kwa aya...huu sio ugoro ni upuuzi kutoka kwa mpuuzi
Manazi wa CHADEMA wanalia sana kwa gaidi wao kufungwaKu
Kuna mtu alishangilia kifo cha magufuli akachinja na mbuzi wakala na wapambe wake
Nasikia nae kafa usiku wa kuamkia leo,
Sasa najiuliza mbona hata muda haujaenda kwa nini afe sasa wakati alihisi ana mkataba na mungu?
Na ni wale wanazi wa chadema.
Gaidi mbowe anataabika Sana na ugaidi wakeYaani Chadema mko so desperate kiasi cha kuja na uongo wa aina hii? . Kweli gaidi Mbowe amekamatwa pabaya
Hao ni wale mbowe aliowatuma wakamtaja na wako imara kusimamia ukweli gaidi mbowe afungweHuo utitiri wa mashaidi ndio utakaoivuruga hiii kesi
Mandela usimlinganishe kabisa na gaidi Mbowe. Unaweza kushtakiwa kwa kosa hiloHata mandera alikaa ndichi nabado akatoka na akaiongoza africa kusini
Mpaka sasa mbowe zero serkali tanoKwa akili zako mleta uzi unafikiri kujaza mashahidi na vielelezo ndio kunaprove guilty kwa condermed person hiyo ni michezo ya kimahakama tu ila kama hakuna strong arguments kuprove huo ushubwada wao ni kazi bure kwa watu wenye akili kubwa wanajua hizo ni hujuma za kisiasa kuhusu katiba mpya
Mandela hakupa zero shule kama mboweHata mandera alikaa ndichi nabado akatoka na akaiongoza africa kusini
Sasa huwa mnalialia nini kama mnajua mtashindaMwigulu alijiapiza kumfunga Lwakatare , tena alitengeneza hadi video Studio , leo muulize ule uchafu wake ulikoishia , ndio ije kuwa huu ugaidi wa laki 6 ?
Ya sabaya yamemgeukia mboweHata vingikua 100, Kuna watu KAZI yao ni sheria , vitachambuliwa mbaka ibaki zero, watu watabaki kuangaliana KWA aibu,
Angalizo
Serikali inajitengenezea madeni makubwa huko twendako, ipo siku mtu atakuja kuomba 6 trion Kama fidia , ndenge zenu zikamatwe, alafu muanze kulia,
Ninyi misukule wa Mbowe mna mtindio wa ubongo. Nini hiki 🤣
Sabaya sijui Ndo kitu gani ,Ya sabaya yamemgeukia mbowe
USSR
watapigwa maswali mpaka watapoteanaHuo utitiri wa mashaidi ndio utakaoivuruga hiii kesi
Yaani at a certain point watajikuta maswali ya mawakili yamesababisha wako out of phase by 180°Huo utitiri wa mashaidi ndio utakaoivuruga hiii kesi
Peter Kibatala ameomba IGP Sirro na lengai Sabaya kuwa mashahidi upande wa utetezi, ndio ujue kwamba haujuiMpaka sasa mbowe zero serkali tano
USSR
Andiko la kimasikini mno !SERIKALI MWACHIENI HUYO MBOWE SASA HIVI HAPA MACHAME NA JIMBO LOTE LA HAI AMEKUWA NYOKA WA KIBISA. NA HUKO TANZANIA KWINGINE ATAPOTEA TUU, KIGOGO ANAMALIZA MCHEZO.
1) Maisha ya Hai yamebadilika kuna utulivu.
2) Kuna Usalama karibu Hai yote.
3) Mitandao ya wezi sugu haopo tena, ambao ulijinasibisha na Chadema na Mbowe haupo tena.
4) Wezi wote wa kutumia silaha na ambao kwa mkoa wa Kilimanjaro na Arusha makao makuu ilikuwa Hai wamepotea katika ramani ya dunia na walio baki wamekimbia na kutokamea kusiko julikana.
5) Machalii wa Lema na mtandao wao wa wizi umepasuliwa tudo salama na Utambuzi wa magari hakuna. Na hii tunajua kuna watu wanasumbuka ila tunawapa pole kwa kufiwa na kundi kubwa.
6) Majirani zetu Waislamu at last wamepata haki na mali zao zote zimerudi. Mali hizo ikiwemo viwanja vya shule, shule, misikiti na kuwaondoa kabisa Wamachame ambao hatukutaka kutokuwa na haki ya kumiliki ardhi. Tatizo lilo sumbua ni jamii ya dini fulani tuu kukosa haki hiyo.
Mabadiliko hayo hayawezi kuwa reversed tena, japo kuna waliokuwa wakio opewa kwa kufanya mabaya hapa Machame kwa muda mrefu Chini ya kivuli cha Chadema .wanajiona wamevunjiwa heshima.
TUMEFANIKIWA KUFANYA REVERSE OSMOSIS KATIKA UTAWALA WA JUMLA HAPA MACHAME KUANZIA NYUMBA KUMI, WENYE VITI WA MITAAA, WENYE VITI WA VIJIJI, MADIWANI, MBUNGE, NA KILA TAKATAKA TUMEFAGIA YOOOOOOTE. CCM OYEEEEEE.
UPUUZI MTUPU!
Kwa mashtaka yaliyosomwa leo tarehe 23 Agosti 2021 ni wazi serikali imejipanga ipasavyo kwa kesi hii ya Mbowe ya ugaidi.
Serikali kuwa mashahidi 24 na vielelezo 19 siyo mchezo. Sasa tunafahamu kwa nini IGP alilizungumzia hii kesi kwa kujiamini sana na kueleza kuwa Mbowe kama ni mkristo mkweli atawaeleza ukweli wafuasi wake. Yote kwa yote, mahakama ndicho chombo cha juu cha kutoa hukumu.
Kupitia hukumu hiyo tutajua ukweli wa jambo hili. Kwa hatua iliyofikia kesi hii, ni vyema sasa tuiache mahakama ifanye kazi yake. Mabango na kauli za kisiasa kutoka Chadema sasa siyo mahali pake. Bahati nzuri katiba za vyama vyote vya siasa vinasisitiza juu ya kutambua utawala wa kisheria ambapo masuala ya mahakamani yanaachwa kwa mahakama kuamua na siyo kuyaleta kwenye majukwaa ya kisiasa.
Tutaishangaza dunia ikiwa bado chama fulani kitaendelea na kuweka mashinikizo nje ya mahakama. Pamoja na kwamba shinikizo zenyewe hazina hata nguvu ya kufungua soda na haziwezi kubadili lolote kuhusu mwenendo wa hii kesi, bado ni bora tukaachana na kuonesha shinikizo hizo ambazo kwangu naziona ni za kitoto na zinazidi tu kuwadhalilisha wanaoziweka.
Court decisions are based on what the law says and what the evidence proves. There is no place in the courts for suspicion, bias or favouritism. Tuachane na hizo empty rhetoric
Andiko la kimasikini mno !