Samia anapanga mawazir watakao msaidia 2025, JPM alimkumbatia makonda lkn dogo alizidi kuaribu hatimae akamtema , hivyo hivyo kwa Samia atamtema Tu Makamba 🤣Uliamini ile kauli ya mgao wa umeme Tanzania utakwisha baada ya siku kumi?! over my dead body. Waziri wa Nishati ni much know sana mdomoni lakini sio kwenye utendaji.
Makamba amelegea haswa, anapewa kero zinazoihusu wizara yake anajibu kama tatizo ni uwaziri au urais wa Samia, huyu jamaa anaficha udhaifu wake kwenye kivuli cha Rais, sasa wacha wote waangushiwe jumba bovu.
Huyu dogo ni mpigajiBumbuli Development Corporation.
Yaani siku zote ulikuwa hujui kuwa ni mbabaishaji hadi leo ndipo uelewe?Habari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa
Kwanza niweke wazi sijawahi mchukia Ila niliamini ni Waziri mzuri kutokana alivyofanya mambo mazuri akiwa Waziri wa Mazingira...
Akaacha na kujibu suali la Msukuma kuhusu Bwawa la umeme la Nyerere akawa anaongea ujinga.Uliamini ile kauli ya mgao wa umeme Tanzania utakwisha baada ya siku kumi?! over my dead body. Waziri wa Nishati ni much know sana mdomoni lakini sio kwenye utendaji.
...
SawaUmefilisika tayari..
Sawa lakini umeme unahusu watanzania woteMakamba ni mbunge wa CCM na kachaguliwa kuwa waziri na Rais ambaye ndiye Mwenyekiti wa CCM - Sisi twasema CCM ni walewale, sasa kama mna ugomvi bac malizaneni huko kwa huko sisi hautuhusu.
Unajua pia bei ya mafuta Rwanda na Zambia?You are not serious dude..! Hata kama ni chuki hii yako imezidi, yaani unamlaumu Waziri wa Nishati kwa kupanda bei ya mafuta.? Unajua bei ya mafuta kwa sasa kwenye soko la Dunia?
Unajua pia bei ya mafuta Rwanda na Zambia?
Wizara ya mazingira alitumbuliwa baada ya kuchelewa kupiga marufuku mifuko ya plastiki hadi akalazimishwa na JPM. Ni kilaza tuHabari wanabodi naandika hapa nikiwa Na masikitiko makubwa Na huyu Waziri aliyepewa wizara nyeti kabisa....
HAKIKA🙏🙏🙏🙏🙏.Halafu ni tabia mbaya sana kwa waziri kujibu maswali ya mbunge au wabunge kama vile ni maswali ya mtu binafsi huko kwenye kantini ya bunge. Wabunge wa JMT wajibiwe kama wabunge wa JMT. Wabunge wa JMT ni wasemaji na wadhamini wa wananchi...
Kweli kabisaUliamini ile kauli ya mgao wa umeme Tanzania utakwisha baada ya siku kumi?! over my dead body. Waziri wa Nishati ni much know sana mdomoni lakini sio kwenye utendaji.
Makamba amelegea haswa, anapewa kero zinazoihusu wizara yake anajibu kama tatizo ni uwaziri au urais wa Samia, huyu jamaa anaficha udhaifu wake kwenye kivuli cha Rais, sasa wacha wote waangushiwe jumba bovu.