Asante kwa kuwatukana viongozi wa dini kisa wewe ni imani tofauti
Soma hapa
1 Petro 2:17: "Heshimuni wote, pendeni ndugu wa kiroho, mwogopeni Mungu, mheshimuni mfalme." Hii inatuonyesha kwamba tunapaswa kuheshimu kila mtu, ikiwa ni pamoja na viongozi wa dini nyingine, wakati tunawajibika kwa Mungu.
🤣🤣🤣 ila baba yako aliekufa nae ni mbayaNasema hivi, hata Iddi Amin tunamkumbuka. Hivyo kukumbukwa sio issue, ninachojua Mimi Magu alikuwa kiongozi muovu. Zingatia, wazuri hawafi.
Dah! Kwa hivyo unataka kusema Mbowe ndio mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA?.Toka mfumo wa vyama vingi uanze 1992
Hadi leo huyu si dicteta tukimpa nchi huyu hatoki hadi afe
Nikawa nawaza kwa mbaali,Nyerere anachagizwa na mijadala ya kitaifa. Kigoda cha nyerere, masomo shuleni, Nyerere day..n.k
Ngoma JPM - Hakuna cha serikali wala cha nini..ni siku zote tu, haiishi siku hujaona uzi wa JPM.
Wenzie alikuwa akiwapiga madongo 😅🙏Nani aliichezea?. Maana hii nchi imeongozwa na CCM miaka nenda.
Mtumishi wa Mungu habagui watu. Ooh msichague upinzani sitaleta maendeleo.Watanzania wengi tulitamani kumuona Rais wetu JPM anamaliza awamu zake zote 2 .
Sasa tumebaki na matamanio ya je angemaliza Tanzania ingekuwa wapi sasa
Na wengi tunaamini tungekuwa mbali sana
Ila waliotuweza walituweza hasa
Asante Mungu kwa maisha ya mtumishi wake JPM
Tutamlilia daima
Sipendi sifa za kijinga, hivyo hakuna ulazima wowote wa kunikumbuka. Au unaumia 🌈?Wewe utakumbukwa kwa lipi? Au kwa kugawa tako
Kwani Mbowe ameuwa wangapi hadi sasa hata Lissu alipigwa lisasi na MboweIla nyie wanafiki Sana. Alipopotezwa Ben Saanane mliongea maneno ya dhihaka kana kwamba hakustahili kisa ni CHADEMA, the Same kwa lwajabe na Gwanda. Hata Lissu alipomiminiwa riasisi mliongea kwa dhihaka. Ila Magufuli alipofariki kwa matatizo yake ya moyo mnajifanya kushutumu watu kuwa wamemuua. Kifo Cha Magufuli kiwe somo, unapoua watu jua na wewe utakufa.
Nimekuelewa mkuuWenzie alikuwa akiwapiga madongo 😅🙏
Nashukuru imeukubali kwamba Magufuli alikuwa muuaji. Asante sana.Kwani Mbowe ameuwa wangapi hadi sasa hata Lissu alipigwa lisasi na Mbowe
Chacha wangwe alisha wai ambiwa na Mbowe huwezi pata kiti changu hata ufanyaje
Ubishi wa Chacha wangwe wakutaka kiti kulimpelekea kuonekana mkorofi na si mwaminifu ndani ya chama hicho . alifanyiwa kila aina ya ftina na unafki hili ashindwe kuwania na kuupata uwenyekiti
Kilicho mkuta Chacha wangwe kijana shupavu hodari sana makini m/mungu ndo anajua na ndio atakae toa hukumu hiyo juu ya umafia alio fanyiwa kijana huyo
Mbowe anawajibika sana juu ya kuwafanyia hujuma vijana ambao wanakua na niaya na ndoto ya kuwania kiti hicho ndani ya chama. Lazima hujuma zita asisiwa na mbowe ili tu kuwaferisha wasiweze kuchukua kiti
Zitto huyu jamaa baada ya kuweka wazi niaya na dhamira yake ya kutaka uongozi mkubwa ndani ya chama hicho alijikuta kajipalia kaa la moto mbele ya mbowe na kuanza kufanyiwa hujuma na kupandikiziwa chuki dhidi yake kwa wanachama na mashabiki wao
Zitto alituumiwa yakua ni kibaraka wa ccm anatumika na kutumiwa na ccm kuivuruga chadema
Zitto alikuja ona shubiri pale baada ya kudai apewe mrejesho juu ya matumizi ya fedha za ruzuku walizo pewa .
Alionekana ni adui mkubwa wa chama na kuambiwa kakidharirisha na kukivua nguo chama hicho
Zitto alitaka kuvuliwa uanachama ila walikwama na kushindwa kwa kukosa kutimiza baadhi ya vipengele na taratibu
Hayo yote ufanywa na mbowe kuwafukuza na kuwakimbiza chamani wale wote ambao wanakitaka kiti alicho kikalia kwa hisani ya baba mkwe wake
Kidogo Sasa, ila hajamfikia dhalimu magu.🤣🤣🤣 ila baba yako aliekufa nae ni mbaya
We jamaa mbona unaongea ufala!?Si mlisema Hana ubavu wa kuimaliza lakini. Mmeamua kupiga u- turn baada ya kuona Samia ni raisi Bora kumzidi rais yeyote aliyewahi kuongoza nchi hii
Kwa hiyo Paroko na kadlinali na Chawa?Tofautisha Viongozi wa dini na chawa wa Magufuli.
Nani amewahi kumzidi kwani. Nchi Ina furaha ni ni ya kwanza duniani kwa furaha wakati nchi ilikuwa ya mwisho duniani kwa furaha chini ya jpmWe jamaa mbona unaongea ufala!?
YANI SAMIA AWE RAIS BORA KULIKO MARAIS WOTE!?
Embu kuwa na heshima na adabu.
🤣🤣🤣🤣 na wewe umekubali mbowe ndio aliemuua Chacha wangwe na kumpiga lissu lisasi nashukuru piaNashukuru imeukubali kwamba Magufuli alikuwa muuaji. Asante sana.
Kama ni hivyo kulikuwa na haja gani ya kuunda Tume. Wangeyamaliza chamani tu. Bila kututangzia Tume kwa mbwembwe halafu mwisho wakajificha mpaka Leo.Mambo ya chama yanaisha kichama kwa kuzungumza na wahusika walirudisha mali.ndo maana Mali za chama zinathamani ya sh trillion 1.50
Bora aliefiwa mikononi mwa viongozi wa dini kuliko Baba yako aliefiwa kifuani mwa malaya🤣🤣🤣Kidogo Sasa, ila hajamfikia dhalimu magu.
Hakuwahi kuajiri? Au aliajiri kidogo? Kuwa na evidence za kutosha ukitaka kujibu hoja.Sasa wapi ambapo hajagusa miaka hii mitatu. Jpm hajawahi kuajiri kwa miaka yote aliyokaa madarani na pia private sector ilikufa. Samia ameajiri mamia kwa maelfu na private sector kafufua
KWa huu uzwazwa CCM itaendelea kutudumaza mpaka kiyama.Nani amewahi kumzidi kwani. Nchi Ina furaha ni ni ya kwanza duniani kwa furaha wakati nchi ilikuwa ya mwisho duniani kwa furaha chini ya jpm
Kidogo sana ndo chanzo Cha kurundikana magradute mtaani kiasi ambacho ugaidi ulitaka kuanzaHakuwahi kuajiri? Au aliajiri kidogo? Kuwa na evidence za kutosha ukitaka kujibu hoja.