Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Kwahiyo mi ni muhuni wa kuokoa ndoa za wayu
 
Sasa utume nauli ya nini tena!!! ila madem wa bongo bana... Yaani mtu anakuletea mikosi, mijanaba na bado anakukosanisha na Mungu wako na bado unaingia gharama kuyatafuta yote hayo


Gaddemit
 
Ila hawa watoto mapadre huwa wanawatoa wapi...
 
Sasa utume nauli ya nini tena!!! ila madem wa bongo bana... Yaani mtu anakuletea mikosi, mijanaba na bado anakukosanisha na Mungu wako na bado unaingia gharama kuyatafuta yote hayo


Gaddemit
Realy damshit.... nimekula buyuuu staki ujinga
 
Huo ndio ukweli binafsi siku tukigombana tukasolve hio show ntakupa ni kama naua mwizi ukitoka hapo unanisalimia kwakupiga goti... ila all jn all mchungaji amekaa kiroho mnooo sijiu nimwambie achangamke??
Hapo ni show tu ndio inahitajika
 
Mwenyewe nimekulia koto basi videmu vyote vyakota nilipitia si unajua ukiwa hendisamu wanajileta wenyewe [emoji16][emoji16]
Kuna mahali kota huwa tunajifichakaga tukiwa tunachezea dyudyu hahahha au kuna guest zile za jirani kama unaenda sokono hahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…