Sasa ni rasmi ndoa haina thamani tena hata mama mchungaji?

Mama Mchungaji ni binadamu...

Tena watu wanaomtumikia Mungu majaribu yao ni makubwa...

Lengo la adui shetani ni kuharibu Imani za watu na kanisa.
Kwakweli Donatila umeongea dada angu mi ntaitunza imani yangu kwakutoka nduki
 
Waumini wa feel free Church mna mapepo sana, ebu mwacheni mama Mchungaji
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimecheka kifalaaa yaan
 
Hapana wachungaji wanatakiwa wawe kielelezo cha sameheh saba mara sabini so kuvunja ndoa ni mpaka mke atake mwenyewe kwa lazima
 
Hii dunia ina mengi sana
Brother simu yangu button ya screen shout haifanyi kazi yaani mama mchungaji anavitaja viungo vya uzazi kama wahuni wengine yaani na jinsi anavyotaka kukunwa mpaka nikashangaa daaha
 
Ngoja uzeeke uumwe ukae kitandani uone kama kuna kiumbe atakuja kukuhudumia. Pona yako uwe na pesa ili uweze kuajiri nurse
Hata ukiwa na pesa kama huna mtu pembeni wakutumia pesa zako upone pesa hazitakua na maana....
Mi kuoa sitaacha tutasaidiana ivo ivo na bata simchunguzi nitamla tuu
 
Kota hata mm nimekaa hahah nimezaliwa kotaa yaani nakumbuka kuna mahali nilikuwa napelekwa moto hahaha yaani kota jamani kwanza sio pa kukaa na watoto wako wanaweza haribika kwa kweli
Mwenyewe nimekulia koto basi videmu vyote vyakota nilipitia si unajua ukiwa hendisamu wanajileta wenyewe 😁😁
 
Nmekula Mke wa Askofu Mmoja ,alikuja kuniambia kaolewa na Mumewe ni Askofu .


Nimekuja kula Mwanamama Mmoja ni Mchungaji wa makanisa haya ya Warokole.

Dunia ni tambara.
 
Tatizo dharau nying ndo mana unagongewa
 
Mwananke akishaniambiaga tu hizo za nauli najuaga tu ni fake feelings na Mimi hisia zote kwake zinakata yani
Nje ya mada.
Hivi mkuu ulisha wahi angalia tamthilia ya OZ?
Huyo mwamba alitisha sana mle.
 
Thanks so naelewa uchungu wake, coz nikimwamini saana mke wangu na kumuweka kwenye dini nikiamini sito chapiwa ila sababu ya kufulia tuu nikasalitiwa mbali na watoto tulio zaa
Shukuru ata una watoto mkuu... Yaani ulichonacho ningumu sanaa kujua thamani yake.
 
Nanyi mkiwa katika kusali nanyi salini hivi.
Baba yetu uliye mbinguni,............................
..............,..........................................................................
Na utuepushe na yule muovu na usitutie majaribuni. .............................
Achana na huyo Mama Mchungaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…