Sasa ni wakati Sahihi wa Simba na Yanga Kuunganisha Silaha, Kupambana na Waarabu

Sasa ni wakati Sahihi wa Simba na Yanga Kuunganisha Silaha, Kupambana na Waarabu

Kurunzi

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2009
Posts
9,753
Reaction score
10,747
Miaka ya hivi karibu timu zetu hizi mbili zimekuwa kwenye kiwango angalau kinachoridhisha kwenye michuano ya kimataifa.

Pamoja na mafanikio hayo tumejikuta Usimba na Uyanga unatupumbaza kiasi ambacho tunashindwa kungamua kuwa mshindani wetu mkuu kwenye soka kwa sasa ni mwarabu pekee.

Sasa ni wakati wa kuamka tuache ushabiki maandazi sijui mwakarobo sijui kufa kiume, sijui utopolo huu ni ujinga mtupu.

Tuunganishe fansbase siku mwarabu akija hapa kwa Mkapa achapike kwa vibe la mashashabiki, viongozi wetu, wanasiasa, viongozi wa serekali tuwe kitu kimoja kuzipa hamasa timu zetu.

Na hili linawezekana kama viongozi wetu akiamua kufanya vivyo.

Mwaka jana mwarabu kachukuwa CCL na C Confd, hivi super cup ni zile zile sasa ni wakati wa kujipanga kimkakati kama taifa kupambana na mwarabu.
 
Miaka ya hivi karibu timu zetu hizi mbili zimekuwa kwenye kiwango angalau kinachoridhisha kwenye michuano ya kimataifa.

Pamoja na mafanikio hayo tumejikuta Usimba na Uyanga unatupumbaza kiasi ambacho tunashindwa kungamua kuwa mshindani wetu mkuu kwenye soka kwa sasa ni mwarabu pekee.

Sasa ni wakati wa kuamka tuache ushabiki maandazi sijui mwakarobo sijui kufa kiume, sijui utopolo huu ni ujinga mtupu.

Tuunganishe fansbase siku mwarabu akija hapa kwa Mkapa achapike kwa vibe la mashashabiki, viongozi wetu, wanasiasa, viongozi wa serekali tuwe kitu kimoja kuzipa hamasa timu zetu.

Na hili linawezekana kama viongozi wetu akiamua kufanya vivyo.

Mwaka jana mwarabu kachukuwa CCL na C Confd, hivi super cup ni zile zile sasa ni wakati wa kujipanga kimkakati kama taifa kupambana na mwarabu.
Natamani ingekuwa hivyo

Ila kwa tamaa ya kila mmoja kuutaka ukubwa sahau hilo
 
Una wazo zuri Sana lakini nasikitika kuwa ushabiki unatupofusha na kufanya tusalitiane na kukatishana tamaa.
Kila mtu anautaka ugiant

Simba hawezi kukubali Yanga aje na ampite hivi hivi wakati yeye kila mwaka anaishia robo

Yanga naye anataka kumprove wrong Simba kuwa yeye ni mtu wa vitendo anaingia na kufanya tofauti na Simba ambaye miaka yote anazunguka hapo hapo

Amecheza fainali Shirikisho mwaja jana hivyo anataka afanye hivyo hivyo na huku Klabu Bingwa

Sijui lini tutakuwa kitu kimoja
 
Miaka ya hivi karibu timu zetu hizi mbili zimekuwa kwenye kiwango angalau kinachoridhisha kwenye michuano ya kimataifa.

Pamoja na mafanikio hayo tumejikuta Usimba na Uyanga unatupumbaza kiasi ambacho tunashindwa kungamua kuwa mshindani wetu mkuu kwenye soka kwa sasa ni mwarabu pekee.

Sasa ni wakati wa kuamka tuache ushabiki maandazi sijui mwakarobo sijui kufa kiume, sijui utopolo huu ni ujinga mtupu.

Tuunganishe fansbase siku mwarabu akija hapa kwa Mkapa achapike kwa vibe la mashashabiki, viongozi wetu, wanasiasa, viongozi wa serekali tuwe kitu kimoja kuzipa hamasa timu zetu.

Na hili linawezekana kama viongozi wetu akiamua kufanya vivyo.

Mwaka jana mwarabu kachukuwa CCL na C Confd, hivi super cup ni zile zile sasa ni wakati wa kujipanga kimkakati kama taifa kupambana na mwarabu.
Yaani pale Jiji la Manchester ukute mashabiki wa Man U na Man City wameungana kuizomea Real Madrid?
Kaka maoni yako ni Sawa Ila haiwezekani duniani kote labda mbinguni.
 
Yaani pale Jiji la Manchester ukute mashabiki wa Man U na Man City wameungana kuizomea Real Madrid?
Kaka maoni yako ni Sawa Ila haiwezekani duniani kote labda mbinguni.
Twende hivi hivi kama mistari iliyonyooka

Labda ipo siku itakutana huko mbele
 
Miaka ya hivi karibu timu zetu hizi mbili zimekuwa kwenye kiwango angalau kinachoridhisha kwenye michuano ya kimataifa.

Pamoja na mafanikio hayo tumejikuta Usimba na Uyanga unatupumbaza kiasi ambacho tunashindwa kungamua kuwa mshindani wetu mkuu kwenye soka kwa sasa ni mwarabu pekee.

Sasa ni wakati wa kuamka tuache ushabiki maandazi sijui mwakarobo sijui kufa kiume, sijui utopolo huu ni ujinga mtupu.

Tuunganishe fansbase siku mwarabu akija hapa kwa Mkapa achapike kwa vibe la mashashabiki, viongozi wetu, wanasiasa, viongozi wa serekali tuwe kitu kimoja kuzipa hamasa timu zetu.

Na hili linawezekana kama viongozi wetu akiamua kufanya vivyo.

Mwaka jana mwarabu kachukuwa CCL na C Confd, hivi super cup ni zile zile sasa ni wakati wa kujipanga kimkakati kama taifa kupambana na mwarabu.
Siyo tu uyanga na usimba tuna jamii ya mihemuko kwa kushindwa kutatua mambo mengi ya msingi yanayo husu usItawi wa Taifa letu
 
Sasa team kama bado zinasajiri watu kama kina konkoni ,onana ,skudu na team bado zinutumia wachezaji wazee kama kina saido, bocco na kapombe unategemea kunasiku tutamuangusha mwarabu? hata mashabiki wakijaa uwanjani vipigo vitabaki pale pale na tutaishia kusema haikua bahati yetu tumekufa kiume hovyo kabsa
 
Twende tu hivi hivi ila tusihujumiane kuwapa wageni faida. Kwa mfano kitendo alochofanya Haji Manara kuzusha kuwa Simba huwa inapuliza sumu kwenye vyumba vya kubadilishia vya timu toka nje,ile haifai kwani siyo tu kuichafua Simba bali ni kuichafua Tanzania. Na kitendo kile kilikuja kuiathiri hiyo Yanga yake. Tusiungane lakini tusiwape faida wageni.
 
Sasa team kama bado zinasajiri watu kama kina konkoni ,onana ,skudu na team bado zinutumia wachezaji wazee kama kina saido, bocco na kapombe unategemea kunasiku tutamuangusha mwarabu? hata mashabiki wakijaa uwanjani vipigo vitabaki pale pale na tutaishia kusema haikua bahati yetu tumekufa kiume hovyo kabsa
Ukweli mtupu

Tunasajiri kwa kukomoana
 
Twende tu hivi hivi ila tusihujumiane kuwapa wageni faida. Kwa mfano kitendo alochofanya Haji Manara kuzusha kuwa Simba huwa inapuliza sumu kwenye vyumba vya kubadilishia vya timu toka nje,ile haifai kwani siyo tu kuichafua Simba bali ni kuichafua Tanzania. Na kitendo kile kilikuja kuiathiri hiyo Yanga yake. Tusiungane lakini tusiwape faida wageni.
Ushauri mzuri
 
Miaka ya hivi karibu timu zetu hizi mbili zimekuwa kwenye kiwango angalau kinachoridhisha kwenye michuano ya kimataifa.

Pamoja na mafanikio hayo tumejikuta Usimba na Uyanga unatupumbaza kiasi ambacho tunashindwa kungamua kuwa mshindani wetu mkuu kwenye soka kwa sasa ni mwarabu pekee.

Sasa ni wakati wa kuamka tuache ushabiki maandazi sijui mwakarobo sijui kufa kiume, sijui utopolo huu ni ujinga mtupu.

Tuunganishe fansbase siku mwarabu akija hapa kwa Mkapa achapike kwa vibe la mashashabiki, viongozi wetu, wanasiasa, viongozi wa serekali tuwe kitu kimoja kuzipa hamasa timu zetu.

Na hili linawezekana kama viongozi wetu akiamua kufanya vivyo.

Mwaka jana mwarabu kachukuwa CCL na C Confd, hivi super cup ni zile zile sasa ni wakati wa kujipanga kimkakati kama taifa kupambana na mwarabu.
Kwanza tuanze na yanga wanaoenda airport kupokea wageni halafu tuendelee.
 
Twende tu hivi hivi ila tusihujumiane kuwapa wageni faida. Kwa mfano kitendo alochofanya Haji Manara kuzusha kuwa Simba huwa inapuliza sumu kwenye vyumba vya kubadilishia vya timu toka nje,ile haifai kwani siyo tu kuichafua Simba bali ni kuichafua Tanzania. Na kitendo kile kilikuja kuiathiri hiyo Yanga yake. Tusiungane lakini tusiwape faida wageni.
Hata kwenye hili sakata la jezi naona anataka kuropoka kitu yule jamaa sijui anashida gani.
 
Back
Top Bottom