SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kama mtu anayekaribia kukata roho vile.Hata kwenye hili sakata la jezi naona anataka kuropoka kitu yule jamaa sijui anashida gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mtu anayekaribia kukata roho vile.Hata kwenye hili sakata la jezi naona anataka kuropoka kitu yule jamaa sijui anashida gani.
Hakuna kitu kama hicho.Watakubaliana leo, halafu kesho kuna timu itawapokea wageni,kuwapa mbinu za mkinzani huku wamevaa jezi za mgeni.Mazuzu!Miaka ya hivi karibu timu zetu hizi mbili zimekuwa kwenye kiwango angalau kinachoridhisha kwenye michuano ya kimataifa.
Pamoja na mafanikio hayo tumejikuta Usimba na Uyanga unatupumbaza kiasi ambacho tunashindwa kungamua kuwa mshindani wetu mkuu kwenye soka kwa sasa ni mwarabu pekee.
Sasa ni wakati wa kuamka tuache ushabiki maandazi sijui mwakarobo sijui kufa kiume, sijui utopolo huu ni ujinga mtupu.
Tuunganishe fansbase siku mwarabu akija hapa kwa Mkapa achapike kwa vibe la mashashabiki, viongozi wetu, wanasiasa, viongozi wa serekali tuwe kitu kimoja kuzipa hamasa timu zetu.
Na hili linawezekana kama viongozi wetu akiamua kufanya vivyo.
Mwaka jana mwarabu kachukuwa CCL na C Confd, hivi super cup ni zile zile sasa ni wakati wa kujipanga kimkakati kama taifa kupambana na mwarabu.
Kama Yanga hamna fanbase kubwa msianze kulilia mashabiki wa timu zingine pambaneni kivyenu tuMiaka ya hivi karibu timu zetu hizi mbili zimekuwa kwenye kiwango angalau kinachoridhisha kwenye michuano ya kimataifa.
Pamoja na mafanikio hayo tumejikuta Usimba na Uyanga unatupumbaza kiasi ambacho tunashindwa kungamua kuwa mshindani wetu mkuu kwenye soka kwa sasa ni mwarabu pekee.
Sasa ni wakati wa kuamka tuache ushabiki maandazi sijui mwakarobo sijui kufa kiume, sijui utopolo huu ni ujinga mtupu.
Tuunganishe fansbase siku mwarabu akija hapa kwa Mkapa achapike kwa vibe la mashashabiki, viongozi wetu, wanasiasa, viongozi wa serekali tuwe kitu kimoja kuzipa hamasa timu zetu.
Na hili linawezekana kama viongozi wetu akiamua kufanya vivyo.
Mwaka jana mwarabu kachukuwa CCL na C Confd, hivi super cup ni zile zile sasa ni wakati wa kujipanga kimkakati kama taifa kupambana na mwarabu.
Labda unasahau B..., ila ninyi huwa mnashida sana ya kuujaza uwanja wa Benjamin Mkapa.Sisi kama Yanga hatutaki kuungana na yeyote, kila mtu ashinde mechi zake.
Vibe letu latosha, uwanja huwa tunaujaza wenyewe.
H… hilo haliko kwenye kila game, unakumbuka tulivyokichafua CAFCC? Uliona fainali watu walivyokufa kugombea kuingia baada ya uwanja kutapika?Labda unasahau B..., ila ninyi huwa mnashida sana ya kuujaza uwanja wa Benjamin Mkapa.
Ova
Mimi naweza kuishangilia kinafiki, mtoto wa mama mkwe nampenda sitakubali kunyang’anywa!Kila mtu apambane na hali yake.
Siwezi kuishangilia Simba hata ikiwaje.
Niko tayari ninyang'anywe mke, lakini sio kuishangilia Simba, mutanisameh.
UmetishaTwende tu hivi hivi ila tusihujumiane kuwapa wageni faida. Kwa mfano kitendo alochofanya Haji Manara kuzusha kuwa Simba huwa inapuliza sumu kwenye vyumba vya kubadilishia vya timu toka nje,ile haifai kwani siyo tu kuichafua Simba bali ni kuichafua Tanzania. Na kitendo kile kilikuja kuiathiri hiyo Yanga yake. Tusiungane lakini tusiwape faida wageni.
B... ile mechi ilikuwa ya tiketi za bure za kugawiwa mtaani kwa kila atakaye ni rahisi kujaza, maana hata wageni Mazembe kwenye AFL walijaza kwa tiketi bure pale kwa Mkapa.H… hilo haliko kwenye kila game, unakumbuka tulivyokichafua CAFCC? Uliona fainali watu walivyokufa kugombea kuingia baada ya uwanja kutapika?
Nyie lini imetokea kwenu hivyo? Ile siku ningechelewa kidogo tusingekuwa tunaongea hapa…
Hiyo mechi ya juzi tu Vs Ahly ingekuwa sisi historia ingeandikwa.
Subiri Dec. uone.
Hizo tiketi za bure mbona mimi na jamaa zangu hatukuziona? Kuna rafiki yangu alichelewa kukata tiketi siku 2 kabla ya match tulitafuta tiketi kwa msako mkali VIP C ilipatikana tiketi kwa 80K!B... ile mechi ilikuwa ya tiketi za bure za kugawiwa mtaani kwa kila atakaye ni rahisi kujaza, maana hata wageni Mazembe kwenye AFL walijaza kwa tiketi bure pale kwa Mkapa.
Kwa kulipa viingilio mna shida kwenye hilo. Sisi ndiyo huwa hatuna shida kwenye hilo.
Ova