Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umeonaeeeeee?Sasa hujui kuwa Mh Lema anadai KATIBA mpya?
Jamaa anauliza swali na kujijibu mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeonaeeeeee?Sasa hujui kuwa Mh Lema anadai KATIBA mpya?
Tangu lini criminal akapewa staha?Hata huyo chatanda keshachemka na inaonekana anatumika na wapinzani wa makinda..alishindwa kulalamika kwenye vikao vya ndani vya chama badala ya kuita press?
Hiyo ndiyo kawaida ya maccm kwenye hali ya kutaka kulindana.Sasa udhalilishaji ufanyike hadharani, Badala ya kukemea hadharani, unashauri akasemee sirini ndani ya vikao vya chama [emoji848]
Maccm kazi yenu tunaijua na hakuna aliye msafiMakonda ameoza kuanzia ndani, walio nje wasiahangaike kumwambia kwamba anakufa kisiasa, kwa kuwa hajioni kwa ndani
Wewe na Makonda hamna tofauti maana tunakujua kuwa ulikuwa ni house girl wake.Mary Chatanda ni kakosea sana, tena kafanya makosa makubwa. Makonda alichoongea kilikuwa utani wa kawaida wa watanzania. Hata Dkt Magufuli alishawahi sema anapenda wanawake weupe akimtania Dkt Samia.
Makonda ni zaidi ya wapumbafuMke wa Makonda ni mzuri kuliko wanawake wa ccm . Makonda anaonewa wivu tu .
Ukiona mtu kafukuzwa USA basi jua huyo ni mchafu zaidi ya inziMikono yake pia ni michafu.
Kwa hiyi huoni kuwa mifumo ndiyo imekufa na sheria zimetungwa kwa ajili ya kuwalinda wahalifu wakubwa na kuwaumiza wanyonge?Makonda sio mtendaji, Hana kipya anacholeta kwenye understand uongozi, sio mifumo, taratibu, wala nini?! Ni, maneno, ya, mikwara, kutisha watu, just busy body! Ni sawa sawa, na kubeba jiwe uweke kichwani, ubaki umesimama! Utachoka, lakini work done ni zero! Maana no movemwnt
Makonda ni mkubwa kuliko ccm? Makonda ni mkubwa kuliko UWT chini ya Mary Chatanda?Makonda tukubali tukatae, ni jitu. Ni mkubwa sana
We ni ME au KE?Mpa mseme na mtasema sana. Eti ukimya siyo wa bahati mbaya. Ngoja ncheke mie
Ni mkubwa dhidi ya nani? We na Familia yako au dhidi ya nani?Kwani Makonda alishawahi kujishughulisha kumtaja hata Lema kwa jina?
Makonda tukubali tukatae, ni jitu. Ni mkubwa sana kwa Lema.
Kumbe mlikuwa mnahara, ila baada ya Chatanda kuongea mmepata ahueni.
Makonda haondoki Arusha.
Ukimtania mtu ni mpaka akubaliane na huo utani wako asipokubali imekula kwako.Watanzania ndivyo tulivyo hasa wasukuma. Acheni ujinga wa kumvimbisha kichwa huyo mu mama aliyetaniwa
Mwenyewe mwizi + uuwajiMakonda kimbiza wezi haooo
Dawa ya moto ni motoMwenyewe mwizi + uuwaji
Yupo hivi, Majina yake ni utata mtupu ,ndio maana nimeishia kutaja Cheo chake🤔Hivi ni nani huyo arasii?
Nawe unakubali mke wa RC ni mzuri kuliko mkeo?Wakimla kichwa makonda kisa vijimaneno kama vile,trust me nitaidharau Sana sekretarieti ya samiah !!!
"Kasema ana mke mzuri nyumbani" hapo kamdhalilisha nani!!?kwani mke wa makonda SI mwanamke kama huyo mama!!!?
Mi naona samiah akae kimya TU apotezee ampigie simu amwambie "chapa kazi lakini kuwa makinj watesi wako ni wengi sana"
Makonda ana mapungufu yake lakini kiutendaji namkubali !nataka mind strong sio legelege kama baadhi ya watumishi was umma!!
Kusema RC ni mbovu kuliko Wana CCCM wote unatumia kipimo kipi au ni maoni Yako binafsi?Pamoja na kuwa ndani ya ccm hakuna aliye msafi kutokana na mfumo mzima wa uendeshaji ndani ya chama.
Lkn Makonda ni mbovu kuliko wana ccm wote na hakuna mtanzania yeyote mwenye akili anamkubali Makonda.
Usisahau pia kuwa hao uliowataja, wamehusika kupanga kuiangusha Serikali ya DRC majuzi bila mafanikio.Ukiona mtu kafukuzwa USA basi jua huyo ni mchafu zaidi ya inzi