Sasa nimeelewa kwanini Lema haijishughulishi na Mkuu wa Mkoa wa Arusha

Sasa nimeelewa kwanini Lema haijishughulishi na Mkuu wa Mkoa wa Arusha

Nawe unakubali mke wa RC ni mzuri kuliko mkeo?

Vipi mtumishi yule angemjibu RC kuwa " NA MIMI NINA MUME MZURI KULIKO WEWE"?
Hiyo michapo siyo tatizo kuliko matatizo tuliyonayo!!!

Kwanini media na system itekwe na michapo ya jukwaani ya huyo jamaa!!?kama jamaa kateleza SI wamalizane wenyewe huko ndani kazi iendelee!!?

Mimi kinachoniudhi ninkwamba tukio hili linafanywa kuwa kubwa kuliko hata mfumuko wa Bei!!

Kauli tata hazijaanza leo na nyingi hazijala vichwa vya wahusika kama "kula Kwa urefu wa kamba,barakoa inafanana na titi,vijisenti n.k!

Nataka hili jambo lisiwe kubwa kuliko changamoto zinazoshughulikiwa Arusha huko!!

Ni viile wameguswa wanawake,ingekua kama Ally hapi na ishu ya wazee kipindi like mbona mambo yalisonga tu!!!

Najua Jamaa ana fractures mahali lakini mzigo unavoenda pale Arusha ni wa maana kuliko hisia zake na mhusika!!!

Najua wahuni watatumia huo mwanya Ili kumpoteza lakini aliemteua aangalie faida yake ni kubwa kuliko kilichojiri!!
 
Hiyo michapo siyo tatizo kuliko matatizo tuliyonayo!!!

Kwanini media na system itekwe na michapo ya jukwaani ya huyo jamaa!!?kama jamaa kateleza SI wamalizane wenyewe huko ndani kazi iendelee!!?

Mimi kinachoniudhi ninkwamba tukio hili linafanywa kuwa kubwa kuliko hata mfumuko wa Bei!!

Kauli tata hazijaanza leo na nyingi hazijala vichwa vya wahusika kama "kula Kwa urefu wa kamba,barakoa inafanana na titi,vijisenti n.k!

Nataka hili jambo lisiwe kubwa kuliko changamoto zinazoshughulikiwa Arusha huko!!

Ni viile wameguswa wanawake,ingekua kama Ally hapi na ishu ya wazee kipindi like mbona mambo yalisonga tu!!!

Najua Jamaa ana fractures mahali lakini mzigo unavoenda pale Arusha ni wa maana kuliko hisia zake na mhusika!!!

Najua wahuni watatumia huo mwanya Ili kumpoteza lakini aliemteua aangalie faida yake ni kubwa kuliko kilichojiri!!
Atoke sasa kuomba radhi yaishe.
 
Alivyo sasa na hiyo ego!!!hatari!!!hivi jpm akikosea ataomba radhi kweli!!?ataomba radhi kwenye mikutano Yao ya siri sio hadharani!!
Huyu kijana Si sawa kumlinganisha na JPM!!

Uzalendo wake ni WA maigizo, Uadilifu wa wasiwasi, Si muumini wa kulipa Kodi kihalali, Kwa ufupi ni conman!!
 
Huyu kijana Si sawa kumlinganisha na JPM!!

Uzalendo wake ni WA maigizo, Uadilifu wa wasiwasi, Si muumini wa kulipa Kodi kihalali, Kwa ufupi ni conman!!
Hata jpm hakukamilika!hujawahi kusikia aligawa majumba Kwa mahawara!!?

Kukwepa kodi hapa nchini ni njia Kwa wasiowatakatifu kutajirika kirahisi!unafikiri ukilipa Kodi bila kukwepa hapa nchini utatajirika!!?

Jiulize kwanini watumishi was imma Huwa hawatajiriki kirahisi zaidi ya kuwa na maisha ya kawaida!!?Ni Kodi zao kubwa kwenye mishahara!!,Ile Kodi ni kubwa Sana inatosha hasta kula na familia karibu mwezi mzima!!

Wanasiasa na kukwepa Kodi ni maji na samaki!

Mwanasiasa was kweli ni yule ataweka Kodi kwenye mishahara,posho na mafao ya wabunge na mawaziri lakini kama hayupo was kufanya hivyo wote ni wezi TU na waigizaji TU!
 
Kwani Makonda alishawahi kujishughulisha kumtaja hata Lema kwa jina?

Makonda tukubali tukatae, ni jitu. Ni mkubwa sana kwa Lema.

Kumbe mlikuwa mnahara, ila baada ya Chatanda kuongea mmepata ahueni.

Makonda haondoki Arusha.
Makonda sianawakanda masisiemu wenzie kwani Lema yeye anaongoza serikali? Acha wafu wazikane wananchi wenye akili wanaelewa mwisho wa sinema utakuaje
 
Salaam, Shalom!!

Ni muda sasa tangu RC wa Arusha aingie kwa mbwembwe kama kawaida yake katika maeneo mengi aliyokwenda baada ya kuteuliwa kuongoza,

Umati mkubwa wa watu waliokusanyika kumpokea na kuhudhuria utatuzi wa case za wananchi hadharani ambao haujawahi kufikia mwisho, Bado haukumstua Mh Lema.

Wakati Mh Lema akiwa kimya, Mh Gambo naye Yuko kimya, nadhani akiamini ujio wa RC utamrahisiahia njia mbele yake.

Sasa nimeamini Mh Lema, ukimya wake Si wa Bahati mbaya, ni calculated move, kumjibu au kumuongelea RC ni kumpa coverage, Mh Lema ameamua kunyamaza.

Matokeo ya ukimya wa Lema, RC ameanza kuharibu na anasemwa na kushtakiwa na viongozi wenzie ndani ya chama, Ndugu Mary Chatanda, ametoka hadharani kumtuhumu RC Kwa udhalilishaji wa Mtumishi wa Serikali katika hadhara iliyokwenda Kwa Jina la wiki ya HAKI.

Kumbe ukimya una nguvu sana.

Kongole kwako Mh Lema.

Salamu zimfikie Mh Gambo kuwa, kibarua Bado kigumu Arusha, na KAZI ndio kwanza imeanza.

Mungu ubariki Mkoa wa Arusha,

Abarikiwe Nabii Lema.

Ubarikiwe Tanganyika,

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿. Amen

Karibuni🙏
Pumba ya karne

Mkanada ni mregemezi wa jamaa
 
Makonda sio mtendaji, Hana kipya anacholeta kwenye understand uongozi, sio mifumo, taratibu, wala nini?! Ni, maneno, ya, mikwara, kutisha watu, just busy body! Ni sawa sawa, na kubeba jiwe uweke kichwani, ubaki umesimama! Utachoka, lakini work done ni zero! Maana no movemwnt
Mnateseka mkiwa wapi
 
Back
Top Bottom