Sasa nimegundua, tatizo sio uwekezaji wala Mkataba bali ni Waarabu kuwekeza

Sasa nimegundua, tatizo sio uwekezaji wala Mkataba bali ni Waarabu kuwekeza

unajua ukijiwekea mazingira ya kuwa na maisha ya utata utata , unajijengea mazingira ya kutokuaminika . NI hivi waarabu walishajijengea mazingira ya kuwa na maisha ya utata na hiyo inaifanya dunia iwe na Imani ndogo na wao , hasa suala lao la misimamo ya utata ya dini . Huenda wakawa na nia njema tu , hasa baada ya maboresho ya mkataba , lakini misimamo yao imewafanya watu wakose Imani nao . Na si vyema ujilazimishe kumuamini mtu ambaye una mashaka nae. Ni bola uishi nae kwa kujihami , itakuwa salama kwako.
 
unajua ukijiwekea mazingira ya kuwa na maisha ya utata utata , unajijengea mazingira ya kutokuaminika . NI hivi waarabu walishajijengea mazingira ya kuwa na maisha ya utata na hiyo inaifanya dunia iwe na Imani ndogo na wao , hasa suala lao la misimamo ya utata ya dini . Huenda wakawa na nia njema tu , hasa baada ya maboresho ya mkataba , lakini misimamo yao imewafanya watu wakose Imani nao . Na si vyema ujilazimishe kumuamini mtu ambaye una mashaka nae. Ni bola uishi nae kwa kujihami , itakuwa salama kwako.
Huwezi mtenganisha mwarabu na dini kwenye nyanja zote za maisha iwe ni ajira, misaada au maslai yeyeto
 
Kwa hiyo wewe na akili zako tuseme za kuzaliwa tu ulidhani issue ilikuwa mkataba mbovu? Huo mkataba ulikuwa na ubovu gani hadi ukaamini?

Watanzania mnapaswa kujifunza sana kuhusu siasa za nchi yenu na ujinga wa wananchi. Na siku mkijua siasa zenu za hovyo na ujinga wenu ndo chanzo cha umaskini wenu hapo ndo mtakapogomboka.

Kiufupi hakuna shida yeyote kwenye uwekezaji wa DP World nchini Tanzania. Ni chuki, uzandiki, siasa za hovyo na ujinga tu ndo zilisababisha kelele zote zile
 
Kumekuwa na malalamiko hata baada ya kufanyika marekebisho ya mikataba ya HGA na IGA .na wengine wakifikia Kuilaumu TEC kwa kutokuwa na msimamo.

Bila kujua kuwa TEC walisema kuwa kama mkataba utaendelea kuwa hivyo ni bora kufutwa na Serikali iwasikilize wananchi.

Wananchi walitaka maboresho ya kimktaba.

TLS ilitaka maboresho ya mkataba na ASASI zote za kiraia na zisizo za kiraia zilitaka Mabiresho ya mkataba na TEC na TAAsisi zingine hazikupinga Uwekezaji.


MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

  • Mkataba maximum miaka 30
  • Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
  • Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
  • Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
  • Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
  • Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
  • Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
Sasa kwa maboresho hayo Bado wengi nimeona wamefungua Nyuzi za kuilaumu TEC na baadho ya Wananchi na ASASI nyingine za kiraia.

Naomba kuwauliza kuwa Tatizo ni MKATABA AU Tatizo ni waarabu kuwekeza??
Mbona lilikuwa wazi Toka Mwanzo kwamba hapa ni ishu ya dini siasa ni cover tuu.
 
Kumekuwa na malalamiko hata baada ya kufanyika marekebisho ya mikataba ya HGA na IGA .na wengine wakifikia Kuilaumu TEC kwa kutokuwa na msimamo.

Bila kujua kuwa TEC walisema kuwa kama mkataba utaendelea kuwa hivyo ni bora kufutwa na Serikali iwasikilize wananchi.

Wananchi walitaka maboresho ya kimktaba.

TLS ilitaka maboresho ya mkataba na ASASI zote za kiraia na zisizo za kiraia zilitaka Mabiresho ya mkataba na TEC na TAAsisi zingine hazikupinga Uwekezaji.


MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

  • Mkataba maximum miaka 30
  • Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
  • Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
  • Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
  • Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
  • Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
  • Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
Sasa kwa maboresho hayo Bado wengi nimeona wamefungua Nyuzi za kuilaumu TEC na baadho ya Wananchi na ASASI nyingine za kiraia.

Naomba kuwauliza kuwa Tatizo ni MKATABA AU Tatizo ni waarabu kuwekeza??
Naomba nikuhoji kipengele kimoja tu, serikali itachukua faida asilimia 60%. Je unajua kampuni inaweza kuonesha kwamba inapata hasara miaka yote Kwa mbinu za kihasibu? Utakataaje ikiwa nitakuja na hesabu zinazoonesha hasara? Kwa mfano nikaamua kufanya mambo kwenye transfer pricing, depreciation na kuinfalete gharama za manunuzi ya mitambo ya kutumia bandarini? Hapo utatumia criteria gani? Afadhali hata ungesema nitachukua mapato ghafi asilimia kumi ningekuona wa maana. Pia je malipo yatafanyikia benki za Tanzania au za uswisi na uingereza na marekani? Maana inawezekana hujavifikiria vyote hivyo.
 
Naomba uniekeweshe labda mimi sielewi!

1. IGA na HGA ni hipi ina nguvu zaidi?
2. Makosa yaliyopo kwenye IGA yanawezaje kurekebishwa na HGA?
3. IGA kati TZ na Dubai iliyosainiwa October 25, 2022 ilisainiwa na Serikali ya Dubai au Tanzania au ilisainiwa na DP WORLD na Tanzania?
4. Moja ya makisa makubwa katika ile IGA ilikuwa Instrument of power iliyosemekana ilitokewa na Serikali ya Dubai Kwa DP World, Haikuwa na jina ya aliyeiandika wala cheo, je! Makosa makubwa kama haya HGA inawezaje kurekebisha?

5. Kwa Mujibu wa taratibu Isntrument of Power ilipaswa kutolewa UAE cos kwa mujibu wa Katiba ya UAE, Dubai haina mamlaka ya kusaini mikataba ya biashara na mashirikiano na Taifa jingine nje na mataifa jiran yake, Je! Tutapaswa kumshtaki nani tukashinda kesi ikiwa vitu muhimu kama hivi vilikiukwa?

6. IGA ambayo ndiyo msingi wa mikataba yote hii ilisema mkataba ule utakoma pale mikataba mingine itakapo koma. Unajua kama kifungu hiki kinaweza kutumika kam rejea pale mtakaposhindwa kukubalina juu ya kuvunja mkataba katika hizo HGA mlizosaini jana?

7. Kwa hayo machache niliyokupa unaamini wakiopinga walikuwa na Tatizo na Waarabu au walikuwa wanajaribu kuweka sawa tusiingine kwenye mtego wa kuja kulipa mabilion ya fedha pale serikali nyingine itakapokuja na kuona mkataba uo ulikuwa mbovu?

1. IGA(intergovernmental Agreement) na HGA (Host governmental Agreement)
Ipi inapower swali lako liko very technical..
But ntakujibu kifupi zaidi kuwa IGA ina nguvu kuliko Host kwa sababu host inahusika na Eneo husika ila IGA inahusika na Mataifa mawili...

2.Makosa hayajarekebishwa na HGA ila IGA imebadilishwa au imerekebishwa Baada ya wananchi kulalamika na ndo ilifanya Rais kwenda Dubai tena kufanya marekebisho hayo na hiyo ilienda sambamba na kubadili wizara husika iliyofanya makubaliano na kuitenga kuwa wizara iliyojitenga...

4,5,6,7
Yote maswala haya yatajibiwa kwa pamoja...
mkataba (IGA) ulifanyiwa amendments Mwaka huu na Serikali zote mbili isingeweza kutangaza kuwa inafanya amendments....na kama utakumbuka hta kipengele cha usiri katika kusaini HGA kilikuwepo lakini kimefutwa na umeshuhudia Rasmi HGA zikisainiwa...
Na kingine Kuonekana mkataba hadharani haikuwa nia ya serikali ulivuja!
Je unataka uone na ammendments ,ilizofanyika subiri tena New ammeded IGA ikivuja (kama itatokea lakini)
 
unajua ukijiwekea mazingira ya kuwa na maisha ya utata utata , unajijengea mazingira ya kutokuaminika . NI hivi waarabu walishajijengea mazingira ya kuwa na maisha ya utata na hiyo inaifanya dunia iwe na Imani ndogo na wao , hasa suala lao la misimamo ya utata ya dini . Huenda wakawa na nia njema tu , hasa baada ya maboresho ya mkataba , lakini misimamo yao imewafanya watu wakose Imani nao . Na si vyema ujilazimishe kumuamini mtu ambaye una mashaka nae. Ni bola uishi nae kwa kujihami , itakuwa salama kwako.
Yeah picha niliipata kuwa Watu hawana imani na waarabu kwa kigezo cha misimamo ya Dini na sio Mkataba
 
1. IGA(intergovernmental Agreement) na HGA (Host governmental Agreement)
Ipi inapower swali lako liko very technical..
But ntakujibu kifupi zaidi kuwa IGA ina nguvu kuliko Host kwa sababu host inahusika na Eneo husika ila IGA inahusika na Mataifa mawili...

2.Makosa hayajarekebishwa na HGA ila IGA imebadilishwa au imerekebishwa Baada ya wananchi kulalamika na ndo ilifanya Rais kwenda Dubai tena kufanya marekebisho hayo na hiyo ilienda sambamba na kubadili wizara husika iliyofanya makubaliano na kuitenga kuwa wizara iliyojitenga...

4,5,6,7
Yote maswala haya yatajibiwa kwa pamoja...
mkataba (IGA) ulifanyiwa amendments Mwaka huu na Serikali zote mbili isingeweza kutangaza kuwa inafanya amendments....na kama utakumbuka hta kipengele cha usiri katika kusaini HGA kilikuwepo lakini kimefutwa na umeshuhudia Rasmi HGA zikisainiwa...
Na kingine Kuonekana mkataba hadharani haikuwa nia ya serikali ulivuja!
Je unataka uone na ammendments ,ilizofanyika subiri tena New ammeded IGA ikivuja (kama itatokea lakini)
Hizi amendment kwenye IGA kwanini ziwe siri? Mbona hazijaenda Bungeni kulidhiwa?
 
Naomba nikuhoji kipengele kimoja tu, serikali itachukua faida asilimia 60%. Je unajua kampuni inaweza kuonesha kwamba inapata hasara miaka yote Kwa mbinu za kihasibu? Utakataaje ikiwa nitakuja na hesabu zinazoonesha hasara? Kwa mfano nikaamua kufanya mambo kwenye transfer pricing, depreciation na kuinfalete gharama za manunuzi ya mitambo ya kutumia bandarini? Hapo utatumia criteria gani? Afadhali hata ungesema nitachukua mapato ghafi asilimia kumi ningekuona wa maana. Pia je malipo yatafanyikia benki za Tanzania au za uswisi na uingereza na marekani? Maana inawezekana hujavifikiria vyote hivyo.
Mkuu ndio Maana Ya IGA kuwepo kabla ya HGA kuwepo ukijua kazi za hii mikataba miwili utajibu swali lako
 
Kumekuwa na malalamiko hata baada ya kufanyika marekebisho ya mikataba ya HGA na IGA .na wengine wakifikia Kuilaumu TEC kwa kutokuwa na msimamo.

Bila kujua kuwa TEC walisema kuwa kama mkataba utaendelea kuwa hivyo ni bora kufutwa na Serikali iwasikilize wananchi.

Wananchi walitaka maboresho ya kimktaba.

TLS ilitaka maboresho ya mkataba na ASASI zote za kiraia na zisizo za kiraia zilitaka Mabiresho ya mkataba na TEC na TAAsisi zingine hazikupinga Uwekezaji.


MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

  • Mkataba maximum miaka 30
  • Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
  • Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
  • Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
  • Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
  • Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
  • Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
Sasa kwa maboresho hayo Bado wengi nimeona wamefungua Nyuzi za kuilaumu TEC na baadho ya Wananchi na ASASI nyingine za kiraia.

Naomba kuwauliza kuwa Tatizo ni MKATABA AU Tatizo ni waarabu kuwekeza??
Kwa hiyo wewe unamwona muarabu ni mtu mzuri sana kwetu waafrica your very stuupid pig [emoji241]

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Na wewe niambie ubaya wa binadamu hadi huyo mungu waka akaweka jehanamu au mungu ni mpuuzi kama wewe nguruwe

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Me sijazungumzia Mungu mkuu nimezungumzia Mkataba wa DPW IGA na hizo HGA. Piata humu nakushauri, Kama kuna kipengele cha jehanamu au kama kuna kipengel kinataja Mungu ningependa kukifahamu
 
Swali lako la kipumbavu la nikuambie ubaya wa muarabu ndiyo na mimi nikakuuliza ubaya wa binadamu maana jibu ni moja

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Wewe umekuja moja kwa moja na ukauliza hivi
Kwa hiyo wewe unamwona muarabu ni mtu mzuri sana kwetu waafrica your very stuupid pig [emoji241]

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
Nikakujibu unipe angalau ubaya wa mwarabu maana wewe umetaja kuwa si mtu mzuri...

Siku nyingine jitahidi kuwa katika hoja
 
Wewe umekuja moja kwa moja na ukauliza hivi

Nikakujibu unipe angalau ubaya wa mwarabu maana wewe umetaja kuwa si mtu mzuri...

Siku nyingine jitahidi kuwa katika hoja
Na mimi kikakuuliza kwa ujumla je ubaya wa binadamu ni upi hadi huyo mungu wako akaumba jehanamu ? Kama ubaya wa binadamu upo ndiyo sababu mungu kaumba jehanamu sasa swali lako ni upumbavu au unataka kutuambia waarabu jehanamu awawezi kwenda ?

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Kumekuwa na malalamiko hata baada ya kufanyika marekebisho ya mikataba ya HGA na IGA .na wengine wakifikia Kuilaumu TEC kwa kutokuwa na msimamo.

Bila kujua kuwa TEC walisema kuwa kama mkataba utaendelea kuwa hivyo ni bora kufutwa na Serikali iwasikilize wananchi.

Wananchi walitaka maboresho ya kimktaba.

TLS ilitaka maboresho ya mkataba na ASASI zote za kiraia na zisizo za kiraia zilitaka Mabiresho ya mkataba na TEC na TAAsisi zingine hazikupinga Uwekezaji.


MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…

  • Mkataba maximum miaka 30
  • Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
  • Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
  • Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
  • Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
  • Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
  • Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
Sasa kwa maboresho hayo Bado wengi nimeona wamefungua Nyuzi za kuilaumu TEC na baadho ya Wananchi na ASASI nyingine za kiraia.

Naomba kuwauliza kuwa Tatizo ni MKATABA AU Tatizo ni waarabu kuwekeza??
Waarabu hatuwataki mbona hamaikii? Uarabu na uislamu ni kitu kimoja. Tutaanza kushuhudi ugaidi ukitamalaki nchini
 
Back
Top Bottom