Sasa nimegundua, tatizo sio uwekezaji wala Mkataba bali ni Waarabu kuwekeza

Sasa nimegundua, tatizo sio uwekezaji wala Mkataba bali ni Waarabu kuwekeza

Tatizo siyo Waarabu, tatizo Waislam. Ingekuwa huyo Mwarabu anaitwa George Elias, wala usingesikia malalamiko, ungeona anasifiwa.

Hii nchi wajinga ni wengi.

Mama samia ni kichwa, unafikiri hata TEC, nia na madhumuni ilikuwa ni uchokozi tu wa wazi, kwani walishindwa kuongea na serikali kimya kimya.

Hata TEC imewauma jana, nilikuwa nawatazama walivyovimbisha nyuso.
Nimeona hilo na kuna watu humu wamesema wazi wazi kabisa kuwa Tatzo ni uislamu...

Kwakweli tuna safari ndefu ya kufika tuendako maana kama hawa ndo vijaana wa nchi hii basi kazi ipo....
 
Yeah imerekebishwa na ndo hivyo vipengele nilivyoweka hapo
Jifunze uelewe,
Hakuna mkataba uliobadilishwa, ile IGA ni makubaliano na bado yapo yamesimama, hii sasa ndio mikataba mahususi ambayo serikali ilikuwa inasema itaingia ambayo itaspecify kila kitu, ila kwa ujinga wetu hatukutaka kuelewa na ndo mana kina mwabukusi, TEC, CHADEMA wakapinga sanaaaa,

Nakumbuka kuna siku Zito alisema IGA ni karatasi tu la kufungia vitumbua ila mikataba inayokuja ndo ya muhimu
 
Tatizo siyo Waarabu, tatizo Waislam. Ingekuwa huyo Mwarabu anaitwa George Elias, wala usingesikia malalamiko, ungeona anasifiwa.

Hii nchi wajinga ni wengi.

Mama samia ni kichwa, unafikiri hata TEC, nia na madhumuni ilikuwa ni uchokozi tu wa wazi, kwani walishindwa kuongea na serikali kimya kimya.

Hata TEC imewauma jana, nilikuwa nawatazama walivyovimbisha nyuso.
We pindisha tu, ila mabadiriko yote sababu ni waraka wa TEC..!! Hutaki acha..!!
 
Mkuu ndio Maana Ya IGA kuwepo kabla ya HGA kuwepo ukijua kazi za hii mikataba miwili utajibu swali lako
Braza unless umeuona mkataba ulivyoandikwa then bado hapo hujanishawishi. I am an accountant and I know I can manipulate the data and not even the auditor can unmask. Nitaaminije nitakachopewa wakati Sina watu ndani?
 
Kwa hiyo wewe na akili zako tuseme za kuzaliwa tu ulidhani issue ilikuwa mkataba mbovu? Huo mkataba ulikuwa na ubovu gani hadi ukaamini?

Watanzania mnapaswa kujifunza sana kuhusu siasa za nchi yenu na ujinga wa wananchi. Na siku mkijua siasa zenu za hovyo na ujinga wenu ndo chanzo cha umaskini wenu hapo ndo mtakapogomboka.

Kiufupi hakuna shida yeyote kwenye uwekezaji wa DP World nchini Tanzania. Ni chuki, uzandiki, siasa za hovyo na ujinga tu ndo zilisababisha kelele zote zile
Mlamba asali umeshavimbiwa na asali unakuja kuropoka humu[emoji3]
 
Jifunze uelewe,
Hakuna mkataba uliobadilishwa, ile IGA ni makubaliano na bado yapo yamesimama, hii sasa ndio mikataba mahususi ambayo serikali ilikuwa inasema itaingia ambayo itaspecify kila kitu, ila kwa ujinga wetu hatukutaka kuelewa na ndo mana kina mwabukusi, TEC, CHADEMA wakapinga sanaaaa,

Nakumbuka kuna siku Zito alisema IGA ni karatasi tu la kufungia vitumbua ila mikataba inayokuja ndo ya muhimu
Naelewa na nimeshaeleza post za nyuma Na Nikushauri wewe usome na uelewe zaidi Tofauti ya IGA na HGA na ioi inanguvu kuliko nyingine..
Nilichoeleza ni kuwa IGA imefanyiwa ammendments tayari ili mikataba ya HGA ipate nafasi ya kusainiwa
 
Nimeona hilo na kuna watu humu wamesema wazi wazi kabisa kuwa Tatzo ni uislamu...

Kwakweli tuna safari ndefu ya kufika tuendako maana kama hawa ndo vijaana wa nchi hii basi kazi ipo....
Tuna safari ndefu saa ya kwenda, lakini naamini hizo ni heri kubwa. Uislam ndiyo unapata kujulikana uzuri wake.

Kwa yale aliyoongea jana CEO wa DP World, labda ni mjinga tu asiyeelewa.

Kasema DP World siyo uboreshaji wa bandari tu, Dp Worlld ni ustawi (prosperity) wa Tanzania.

Huo ndiyo Uislam.
 
Tatizo siyo Waarabu, tatizo Waislam. Ingekuwa huyo Mwarabu anaitwa George Elias, wala usingesikia malalamiko, ungeona anasifiwa.

Hii nchi wajinga ni wengi.

Mama samia ni kichwa, unafikiri hata TEC, nia na madhumuni ilikuwa ni uchokozi tu wa wazi, kwani walishindwa kuongea na serikali kimya kimya.

Hata TEC imewauma jana, nilikuwa nawatazama walivyovimbisha nyuso.
Ukweli mchungu ni kwamba mapendekezo yote ya TEC yamefanyiwa kazi, wewe bibi na waislam wenzio mliousifia na kusema hauna kasoro yoyote kisa wawekezaji ni waislam jana mmevuliwa nguo na mwislam mwenzenu mama Samia. Polen sana, TEC 3- Faiza 0. Hii imeenda, kula chuma hiko bibi
 
Hapana hilo nakataa Walivyoona vina mushkeli vyote vimerekebishwa ulitaka wafanye nini waendelee kuilaumu serikali kwa kurekebisha?
Uwongo bwana,lengo lako ni kuliondolea aibu tec,unazunguka unadhani tu wajinga,toka mwanzo ilisemwa muda wa mkataba utatajwa kwenye hga,unataka kusema iga ilisema hawatolipa kodi?!..mnahangaika sana akina roma locuta
 
Braza unless umeuona mkataba ulivyoandikwa then bado hapo hujanishawishi. I am an accountant and I know I can manipulate the data and not even the auditor can unmask. Nitaaminije nitakachopewa wakati Sina watu ndani?
I know sasa Mkataba wa IGA ni kati ya Nchi na nchi nchi Na mkataba wa HGA ni kati nchi mwanachama wa IGA na host Government ambayo inafanyiwa Tukio..

Sasa Jut imagine makataba wa kwanza wa IGA umesema nchi itakayoingiza hasara italipa 20% ya hasara unafikir Nchi shiriki itaruhusu wewe uingize hasara ...
Na ndo maana nikakuambia kwamba Ndo maana xha kwanza kilisainiwa kwanza IGA (intergovernment Agreement) kabla ya HGA (Host government Agreements)
 
Uwongo bwana,lengo lako ni kuliondolea aibu tec,unazunguka unadhani tu wajinga,toka mwanzo ilisemwa muda wa mkataba utatajwa kwenye hga,unataka kusema iga ilisema hawatolipa kodi?!..mnahangaika sana akina roma locuta
Inama nikusweke Mimi sio Mkristo wala si chochote nachosemq ni kilichotokea
 
Back
Top Bottom