DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
- #81
π π π π πSi upo kitengo cha mawasiliano kwa umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π πSi upo kitengo cha mawasiliano kwa umma
SSH jana kasema kuwa mikataba imetokana na IGA, hajasema kuwa IGA imefanyiwa amendments, kama imefanyiwa heb leta hio iliyofanyiwa amendments tuioneNaelewa na nimeshaeleza post za nyuma Na Nikushauri wewe usome na uelewe zaidi Tofauti ya IGA na HGA na ioi inanguvu kuliko nyingine..
Nilichoeleza ni kuwa IGA imefanyiwa ammendments tayari ili mikataba ya HGA ipate nafasi ya kusainiwa
Unadai upo huku, na hiki ulichokiandika kwenye post yako #58 ni nini?Mie haya ya banadari yameshapoita, napiga chapuo tu, kimeeleweka.
Sasa hivi nipo huku:
Sakata la Israel na Palestina anaetafutwa na Marekani ni Saudi Arabia. Gaza wanazuga tu
Kuvamiwa kwa Isael ni mpango uliosukwa ukasukika kama ulivyosukwa mpango wa 9/11. Kinachotafutwa ni Saudi Arabia siyo Gaza wala Palestina wala Iran. Naamini kuwa Israel na Palestina na yanayoendelea huko Gaza ni uwakala (proxy) tu wa kutafutwa Saudi Arabia. MBS wa Saudi Arabia" alimtowa nishai"...www.jamiiforums.com
TEC walitaka bandari wapewe wazawa kwa kuwa uwezo huo tunao wa kuiendesha, hawakutaka kabisa wawekezaji mkuuUkweli mchungu ni kwamba mapendekezo yote ya TEC yamefanyiwa kazi, wewe bibi na waislam wenzio mliousifia na kusema hauna kasoro yoyote kisa wawekezaji ni waislam jana mmevuliwa nguo na mwislam mwenzenu mama Samia. Polen sana, TEC 3- Faiza 0. Hii imeenda, kula chuma hiko bibi
IGA kuonekana mtaani ilivuja na wala haikuwahi kuonekana kwa kupenda hta sasa huwezi kuiona watu wamekula kiapo kuilinda!SSH jana kasema kuwa mikataba imetokana na IGA, hajasema kuwa IGA imefanyiwa amendments, kama imefanyiwa heb leta hio iliyofanyiwa amendments tuione
Wewe ndiye huna akili. Kama mkataba haukuwa na tatizo kwa nini umerekebishwa?Kwa hiyo wewe na akili zako tuseme za kuzaliwa tu ulidhani issue ilikuwa mkataba mbovu? Huo mkataba ulikuwa na ubovu gani hadi ukaamini?
Watanzania mnapaswa kujifunza sana kuhusu siasa za nchi yenu na ujinga wa wananchi. Na siku mkijua siasa zenu za hovyo na ujinga wenu ndo chanzo cha umaskini wenu hapo ndo mtakapogomboka.
Kiufupi hakuna shida yeyote kwenye uwekezaji wa DP World nchini Tanzania. Ni chuki, uzandiki, siasa za hovyo na ujinga tu ndo zilisababisha kelele zote zile
Hiyo kwa upande mmoja, na upande wa pili mkataba urekebishwe. Serikali ime-opt upande wa kurekebishwa. To me sioni shida.TEC walitaka bandari wapewe wazawa kwa kuwa uwezo huo tunao wa kuiendesha, hawakutaka kabisa wawekezaji mkuu
Hivi kma mkataba haukuwa na shida wamerekebisha nini? Mbona ni kawa haueleweki hoja yako? Maana mara haukuwa na shida ila waarabu...Mkuu nilikuwa mmoja niliyekuwa nakupinga sana ila kwa sasa nimegundua kuwa ulikuwa sahihi...
Tatizo sio Mkataba Tatizo ni uwekezaji na Taifa linalowekeza..
Maana Nimeona serikali imefanyia kazi malalamiko yote ya wananchi pamoja na Waraka wa TEC na Mkataba umeboreshwa na umekuwa na maslahi mapana kwa nchi..
Ila bado watu wanahoji kwanini TEC anajihusisha na serkali...na kwanini Serikali bado wanasign Mikataba..
Kwahyo Hata baada ya kurekebishwa kwa mkataba unatka Uadui?
Mkataba umerekebishwa ila bado watu wanajipa umuhimu usio stahili..
Aiseee..!!! Mbona TEC waliorozesha mapungufu yote?? Mwenzetu ulikuwa wakati waraka wa TEC unatoka?Kwa hiyo wewe na akili zako tuseme za kuzaliwa tu ulidhani issue ilikuwa mkataba mbovu? Huo mkataba ulikuwa na ubovu gani hadi ukaamini?
Watanzania mnapaswa kujifunza sana kuhusu siasa za nchi yenu na ujinga wa wananchi. Na siku mkijua siasa zenu za hovyo na ujinga wenu ndo chanzo cha umaskini wenu hapo ndo mtakapogomboka.
Kiufupi hakuna shida yeyote kwenye uwekezaji wa DP World nchini Tanzania. Ni chuki, uzandiki, siasa za hovyo na ujinga tu ndo zilisababisha kelele zote zile
Fuatilia kisa hiki cha mhaya na mdigo, kwa akili huru. Hii siyo hadithi bali tukio halisi na la kweli lililowahi kutokea:Kumekuwa na malalamiko hata baada ya kufanyika marekebisho ya mikataba ya HGA na IGA .na wengine wakifikia Kuilaumu TEC kwa kutokuwa na msimamo.
Bila kujua kuwa TEC walisema kuwa kama mkataba utaendelea kuwa hivyo ni bora kufutwa na Serikali iwasikilize wananchi.
Wananchi walitaka maboresho ya kimktaba.
TLS ilitaka maboresho ya mkataba na ASASI zote za kiraia na zisizo za kiraia zilitaka Mabiresho ya mkataba na TEC na TAAsisi zingine hazikupinga Uwekezaji.
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tataβ¦
Sasa kwa maboresho hayo Bado wengi nimeona wamefungua Nyuzi za kuilaumu TEC na baadho ya Wananchi na ASASI nyingine za kiraia.
- Mkataba maximum miaka 30
- Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
- Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
- Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
- Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
- Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
- Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
Naomba kuwauliza kuwa Tatizo ni MKATABA AU Tatizo ni waarabu kuwekeza?
Mkataba ulikuwa na Shida na Hoja zimerekebishwa kipi usichoelewa Ndugu yangu au umequote wrong person!Hivi kma mkataba haukuwa na shida wamerekebisha nini? Mbona ni kawa haueleweki hoja yako? Maana mara haukuwa na shida ila waarabu...
Kuandika hapo ina maana kwamba Wamedhihirisha watu tatizo sio mkataba kwa sababu baada ya kurekebishwa kwa mkataba bado wanalalamika kuwa itakuwaje warabu kupewa uwekezaji watatuleta uislamu na hilo ndo tatizo la kuona kumbe tatizo halikuwa mkataba ila ni waarabu kuwekeza kuna kitu hujaelewa nikusaidieHivi kma mkataba haukuwa na shida wamerekebisha nini? Mbona ni kawa haueleweki hoja yako? Maana mara haukuwa na shida ila waarabu...
Mimi niseme nilikuwa miongoni mwa waliopinga uwekezaji wa DP World. Japo sijaona hiyo mikataba ila kama yanayosemwa yamefanyiwa marekebisho basi waje wawekeze. Kwa hiyo sioni kama kuna watu wataendelea kulaumu kama waliyoyataka yamefanyiwa kazi, otherwise ni hisia tu za kwamba bado watu wanapinga DP World kuwekezaKuandika hapo ina maana kwamba Wamedhihirisha watu tatizo sio mkataba kwa sababu baada ya kurekebishwa kwa mkataba bado wanalalamika kuwa itakuwaje warabu kupewa uwekezaji watatuleta uislamu na hilo ndo tatizo la kuona kumbe tatizo halikuwa mkataba ila ni waarabu kuwekeza kuna kitu hujaelewa nikusaidie
Usijitoe ufahamu chief. Kwenye mkataba kulikua na shida za wazi na zimerekebishwa .Kwa hiyo wewe na akili zako tuseme za kuzaliwa tu ulidhani issue ilikuwa mkataba mbovu? Huo mkataba ulikuwa na ubovu gani hadi ukaamini?
Watanzania mnapaswa kujifunza sana kuhusu siasa za nchi yenu na ujinga wa wananchi. Na siku mkijua siasa zenu za hovyo na ujinga wenu ndo chanzo cha umaskini wenu hapo ndo mtakapogomboka.
Kiufupi hakuna shida yeyote kwenye uwekezaji wa DP World nchini Tanzania. Ni chuki, uzandiki, siasa za hovyo na ujinga tu ndo zilisababisha kelele zote zile
Kama hukwenda shule hilo ni tatizo lako ndio maana mambo madogo madogo kama haya yanakushinda.Hahaha sikwenda mkuu niliishia darasa la pili ila nilikataa historia ya uongo ya kupandikizwa chuki hivyo nikapata historia yenye facts na ukweli wenye ushawishi..
Usionipandikiza chuki zisizo na sababu
Pitia huu uzi mkuu kuna watu wanatoa Kauli za kidini kwamba Dp world ni mwislam so Hawamtaki kutokana na uislamu wake na mengine mengi ya kibaguziMimi niseme nilikuwa miongoni mwa waliopinga uwekezaji wa DP World. Japo sijaona hiyo mikataba ila kama yanayosemwa yamefanyiwa marekebisho basi waje wawekeze. Kwa hiyo sioni kama kuna watu wataendelea kulaumu kama waliyoyataka yamefanyiwa kazi, otherwise ni hisia tu za kwamba bado watu wanapinga DP World kuwekeza
Shida ipi?Usijitoe ufahamu chief. Kwenye mkataba kulikua na shida za wazi na zimerekebishwa .
π π π π π Asante mkuu haya nifanyeje ili mambo madogo madogo kma haya yasinishinde π€£π€£Kama hukwenda shule hilo ni tatizo lako ndio maana mambo madogo madogo kama haya yanakushinda.
Wow!!!!Kwa hiyo wewe na akili zako tuseme za kuzaliwa tu ulidhani issue ilikuwa mkataba mbovu? Huo mkataba ulikuwa na ubovu gani hadi ukaamini?
Watanzania mnapaswa kujifunza sana kuhusu siasa za nchi yenu na ujinga wa wananchi. Na siku mkijua siasa zenu za hovyo na ujinga wenu ndo chanzo cha umaskini wenu hapo ndo mtakapogomboka.
Kiufupi hakuna shida yeyote kwenye uwekezaji wa DP World nchini Tanzania. Ni chuki, uzandiki, siasa za hovyo na ujinga tu ndo zilisababisha kelele zote zile