Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Acheni kujifariji, IGA iko vilevile, haijabadilishwa hata nukta!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dubai inatoa VISA? Uliwah kumsikia nani anamiliki Visa ya Dubai?Hujasikia Kuwa Dubai sasa tunaingia Bila Visa,
Tunapewa Opportunity za kibiashara pia
Umeona nilichoandika Sijasema kutoa visa nimesema its free KwendaDubai inatoa VISA? Uliwah kumsikia nani anamiliki Visa ya Dubai?
Maandishi ya TEC hayakuwa na option mbili mkuu, yalikuwa na option moja tu, tuendeshe wenyewe mbona bank tumeweza ?Hiyo kwa upande mmoja, na upande wa pili mkataba urekebishwe. Serikali ime-opt upande wa kurekebishwa. To me sioni shida.
Tatizo lako unataka ionekane kuwa waraka wa TEC hauja-impact chochote..!!
Ukiona mtu anakunyooshea kidole ujue una mambo hayako sawa, hao jamaa asilimia kubwa huwa hawana ubinadamu ni washarishari sanaNaomba kuwauliza kuwa Tatizo ni MKATABA AU Tatizo ni waarabu kuwekeza?
Nenda shule.😅😅😅😅😅 Asante mkuu haya nifanyeje ili mambo madogo madogo kma haya yasinishinde 🤣🤣
Tatizo ni kwamba kwa sasa wao ndo wanauchumi mkubwa na unaokuwa kwa kasi!Ukiona mtu anakunyooshea kidole ujue una mambo hayako sawa, hao jamaa asilimia kubwa huwa hawana ubinadamu ni washarishari sana
🤣🤣🤣 Watanikubali Shule kweli na umri huu maana Umri wangu unakaribia miaka 54 mwezi wa kumi na moja natimiza Sasa naruhusiwa kurudi darasa la Pili B kweli?Nenda shule.
Lakini nasi tulipaswa kuiba mbinu tujijengeTatizo ni kwamba kwa sasa wao ndo wanauchumi mkubwa na unaokuwa kwa kasi!
Kwa Vijana wapi hawa wanaowaza kuiba kila mara Na kutajirika? Au wanaojiwazia wao badala ya Taifa kwa ujumla?Lakini nasi tulipaswa kuiba mbinu tujijenge
Inasikitisha tutaendelea kuwa tegemezi for years to comeKwa Vijana wapi hawa wanaowaza kuiba kila mara Na kutajirika? Au wanaojiwazia wao badala ya Taifa kwa ujumla?
Natamani kuona hapo ulipoona. Wekeni hapa tuone, isije ikawa mnasema mmeona kumbe mmesikizishwa.Mkuu nilikuwa mmoja niliyekuwa nakupinga sana ila kwa sasa nimegundua kuwa ulikuwa sahihi...
Tatizo sio Mkataba Tatizo ni uwekezaji na Taifa linalowekeza..
Maana Nimeona serikali imefanyia kazi malalamiko yote ya wananchi pamoja na Waraka wa TEC na Mkataba umeboreshwa na umekuwa na maslahi mapana kwa nchi..
Ila bado watu wanahoji kwanini TEC anajihusisha na serkali...na kwanini Serikali bado wanasign Mikataba..
Kwahyo Hata baada ya kurekebishwa kwa mkataba unatka Uadui?
Mkataba umerekebishwa ila bado watu wanajipa umuhimu usio stahili..
Natamani kuona hapo ulipoona. Wekeni hapa tuone, isije ikawa mnasema mmeona kumbe mmesikizishwa.TEC hawana tofauti na vyama vya siasa vya upinzani vya Tanzania, tofauti ni hivi TEC hujificha kwenye kivuli cha dini tu...
Natamani kuona hapo ulipoona. Wekeni hapa tuone, isije ikawa mnasema mmeona kumbe mmesikizishwa.Kwa hiyo wewe na akili zako tuseme za kuzaliwa tu ulidhani issue ilikuwa mkataba mbovu? Huo mkataba ulikuwa na ubovu gani hadi ukaamini?
Watanzania mnapaswa kujifunza sana kuhusu siasa za nchi yenu na ujinga wa wananchi. Na siku mkijua siasa zenu za hovyo na ujinga wenu ndo chanzo cha umaskini wenu hapo ndo mtakapogomboka.
Kiufupi hakuna shida yeyote kwenye uwekezaji wa DP World nchini Tanzania. Ni chuki, uzandiki, siasa za hovyo na ujinga tu ndo zilisababisha kelele zote zile
Na kingine kumbuka huyu ana interest ya kuendesha bandari Mozambique. Anaweza kuamua kupeleka baadhi ya biashara bandari ya Mozambique kama masharti yake ni mazuri. Somehow Kuna tatizo sehemu namna Hawa walivyompa hizo conversion.I know sasa Mkataba wa IGA ni kati ya Nchi na nchi nchi Na mkataba wa HGA ni kati nchi mwanachama wa IGA na host Government ambayo inafanyiwa Tukio..
Sasa Jut imagine makataba wa kwanza wa IGA umesema nchi itakayoingiza hasara italipa 20% ya hasara unafikir Nchi shiriki itaruhusu wewe uingize hasara ...
Na ndo maana nikakuambia kwamba Ndo maana xha kwanza kilisainiwa kwanza IGA (intergovernment Agreement) kabla ya HGA (Host government Agreements)
Ajenda ya udiniKwahyo swala ni uoga wa Kidini na sio kiuchumi
Ulikubari=Ulikubali
Anyway sikuwahi kukubali mkataba kama ulivyo Unaweza ukafatilia Post zangu nilikuwa napinga sana mpaka utakapo rekebishwa.
Sasa baada ya kurekebishwa bado unataka nipinge?
Mkuu nilikuwa mmoja niliyekuwa nakupinga sana ila kwa sasa nimegundua kuwa ulikuwa sahihi...
Tatizo sio Mkataba Tatizo ni uwekezaji na Taifa linalowekeza..
Maana Nimeona serikali imefanyia kazi malalamiko yote ya wananchi pamoja na Waraka wa TEC na Mkataba umeboreshwa na umekuwa na maslahi mapana kwa nchi..
Ila bado watu wanahoji kwanini TEC anajihusisha na serkali...na kwanini Serikali bado wanasign Mikataba..
Kwahyo Hata baada ya kurekebishwa kwa mkataba unatka Uadui?
Mkataba umerekebishwa ila bado watu wanajipa umuhimu usio stahili..
usijitoe ufahamu wala kupotosha wengine,kilicho lalamikiwa tangu mwanzo ni mkataba mama(IGA)(sawa na katiba ya mkataba huu.) Ambao ndio msingi wa mikataba yote ambayo ingefuata(HGA),hayo unayodai yamefanyiwa marekebisho yalipaswa yaonekane kwenye IGA. (IGA ILIYO FANYIWA MAREKEBISHO IKOWAPI TUISOME)kwataarifa yako sheria,mwongozo,kanuni na taratibu zitakazo wekwa kinyume na IGA ni batili na mwisho itaonekana tunakiuka mkataba.hatahivyo shauri la kupinga IGA limekatiwa rufaa ,kulikuwa na haraka gani KUSAINI ukizingatia nchi yetu inafuata utawala wa sheria
Now you are misleading us. Vipengele vyote ulivyovitaja muda wake ulikuwa bado haujafika. Hata hivyo nikiri, maoni ya wananchi yamesaidia sana Serikali kuwa makini kwenye hii hatua ya pili.Kumekuwa na malalamiko hata baada ya kufanyika marekebisho ya mikataba ya HGA na IGA .na wengine wakifikia Kuilaumu TEC kwa kutokuwa na msimamo.
Bila kujua kuwa TEC walisema kuwa kama mkataba utaendelea kuwa hivyo ni bora kufutwa na Serikali iwasikilize wananchi.
Wananchi walitaka maboresho ya kimktaba.
TLS ilitaka maboresho ya mkataba na ASASI zote za kiraia na zisizo za kiraia zilitaka Mabiresho ya mkataba na TEC na TAAsisi zingine hazikupinga Uwekezaji.
MABORESHO YA MKATABA
Wamebadilisha vipengere vyote tata…
Sasa kwa maboresho hayo Bado wengi nimeona wamefungua Nyuzi za kuilaumu TEC na baadho ya Wananchi na ASASI nyingine za kiraia.
- Mkataba maximum miaka 30
- Watalipa kodi zote za Serikali kwa mujibu wa Sheria
- Wamewekewa performance key indicators na watakuwa accessed kila baada ya miaka 5
- Serikali itachukua 60% ya mapato ya faida
- Serikali inauwezo wa kuvunja mkataba muda wowote
- Mkataba huu sio wa gati zote za Bandari ya Dar es Salaam gati ambazo hazipo kwenye mkataba huu zinatafutiwa Mwekezaji mwingine (hata huyu wa sasa)
- Mkataba huu hauhusishi Bandari yoyote mwambao Bahari ya Hindi wala maziwa makuu.
Naomba kuwauliza kuwa Tatizo ni MKATABA AU Tatizo ni waarabu kuwekeza?