SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Je una neno lolote kuhusuMafwere na uhusika wake kwenye issues za mauaji ya raia?
 
Sema leo umeandika kidogo kuhusu mama Abdu kiongozi sio kawaida yako(kweli anatosha)

Hivi ulishawahi kujaribiwa kifo na ukanusurika?(usiombe)

Anaweza kuwa anafanya makosa(labda kachukua the worst approach to express his feelings but trust me,acha afanye anachoweza kwa sasa,the man went through hell.Just kubaliana na anachofanya kwa sasa maana yeye ndio anajua chungu na tamu ya kuwa Katavi)
 
Yako wapi hayo matusi?
 
Ni vigumu kuelewa kama akili inayokuambia usikae kimya sabb sativa ametukana watu..inashindwa kukumbusha vile sativa alitendewa na sabb za yeye kutukana..km unaona ni porojo kukumbusha yaliyowapata wenye tabia ya unaowatetea..hata sisi tuona ni upumbavu kumhurumia na kumlalamikia sativa anakosea na kwamba watamtafuta wammalize..hawahitaji kuwatuma nyinyi kusema hapa, waambie watekeleze..hatutaki kusikia mnaleta taatifa hizo.
 
kama alichokutana nacho ndicho kinampa ujasiri wa kuporomsha matusi kwa waandamizi nchini, hiyo ni sawa asonge mbele..

lakini ikikupendeza wewe, yeye na wadau wengine kujiepusha na kutukana wengine bila sababu nieafadhali hekima na busara ikakuelekeza hata kujifariji kwa nyimbo na mapambio,

kuliko kusubiri majibu ya vitendo kwa unaowatukana. Inaumiza sana kuumizwa kwaajili ya matusi ya makusudi 🐒
 
..wewe ikupendeze kwanza kumuacha sativa aseme kinachosumbua moyo wake, hata wewe ukikerwa na matusi ya sativa unaweza kuvuta bangi, au madawa kujiliwaza..!
 
Jee umewahi kuwapa ushauri jeshi la policcm kuhusu kuteka watu kwamba waache tabia hiyo?
Kazi ya jeshi la polisi ni kulinda Raia na mali zao.hiyo ndio kazi kubwa ambayo imekuwa ikifanywa na jeshi letu siku na wakati wote usiku na mchana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…