Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Alisoma chuo cha utumishi wa umma Tabora, si unaona halina akili kabisa ni shetani tupuKumbe mtu mwenyewe PS kutoka magogoni hapo!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisoma chuo cha utumishi wa umma Tabora, si unaona halina akili kabisa ni shetani tupuKumbe mtu mwenyewe PS kutoka magogoni hapo!!!
Shetani kabisa lileHahaha kumbe anaishi huko majoring ndo mana akili ndogo hivi
Amesikia kwa watu anakimbilia kuanzisha uziSasa Luka ndio umeshindwa hata kuweka kapicha.akitukana huko mtandaoni kaka.
Hajitambui huyu bwabwaChizi kabisa hilo
Atakufa masikini huyu mpumbavuHajitambui huyu bwabwa
Sababu ya kutekwa ni aliwatetea wafanya Biashara wa kariakoo ule mwezi wa Saba walipogoma kufungua maduka.Kwanza tujiulize hapo kabla ni kitu gani huyu Sativa alifanya mpaka kupelekea kutekwa?.
Je huko nyuma alikuwa akiishi vipi mitandaoni?.
Tusimtetee mtu au kumjaji kwa sababu za juu juu tuu pasipo kujua undani wa watu haoa, mtekwaji na watekaji, yatupasa kwanza hao wote tuwajue kinda ni.
Haiwezekani mtu aje tu pasipo sababu ya msingi aje akuteke ni wazi kuna jambo limejificha hapo panahitaji tafakari.
Tusiweke mihemko mbele kwa kila kitu cha mtandaoni, binafsi ngoja nifatilie kabla hajatekwa na maisha baada ya kutekwa halafu ndio nione upande up uko sawa.
So he is used with pain ,he wants deathHe's touched, he has pain.
He were almost killed.
Angalieni na hivi vitu mnavyofanyia watu.
Bc ukang'oe jino halafu tuseme umeng'olewa kichwa kwa sababu jino lipo kichwani.Mkuu kwani kichwa ni kipi ? Taya lipo mabegani siku hizi kumbe😅😅😅
Hapana, anataka kutekwa tena...kusema hivyo ndio anataka kusaidiwa?
Hivi huyu mwashamba no mtu/binadamu au robot? Masna namwona kama hana akili timamuAlipotekwa na kudhulumiwa UTU wake ulipiga kelele hivi?.Punguza upumbavu
Usitutaarifu, just do..!Hapana, anataka kutekwa tena
Jino ni sehemu ya kichwa hakuna mahali utapang'oa na utasema umeong'oa kichwa kwa sababu ili sehemu iitwe kichwa ni mjumuisho wa vyote vilivyopo juu ya shingo yako😂😂😂Bc ukang'oe jino halafu tuseme umeng'olewa kichwa kwa sababu jino lipo kichwani.
I'm not sure if he's hereSo he is used with pain ,he wants death
USSR
Mkuu muache ateme nyongo, Mwashambwa hujui maumivu ya kufumuliwa mdomo kwa risasi!!!Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mkuu ukisha sema kuwa ni mgonjwa, unasemaje achapwe!! Kipigo ndio dawa ya ugonjwa huo???HUYU SATIVA NI MGONJWA WA AKILI, SEMA UGONJWA WAKE UNAMPELEKA PABAYA!..
AKAMATWE ACHAPWE BAKORA TANO ZA NGUVU.