Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kutekwa ni sawa ila matusi ni tatizo, hawa UWT ni wapumbavu snAlipotekwa na kudhulumiwa UTU wake ulipiga kelele hivi?.Punguza upumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutekwa ni sawa ila matusi ni tatizo, hawa UWT ni wapumbavu snAlipotekwa na kudhulumiwa UTU wake ulipiga kelele hivi?.Punguza upumbavu
Unaongea maneno Kama Masheikh wa kuchonga...Porojo nyingi kuhusu Mungu na mwili umejaa chale.Neema na Baraka za Mungu zitaendelea kuambatana na kuandamana nami daima,
nami nitaendelea kua muaminifu kwa Mungu na kwa wananchi, ili kibali changu cha utumishi uliotukuka kwa wananchi kisiishe muda wake, badala yake kingare zaidi huko tuendako
Nimekwambia kuwa kaa pembeni uache wenye akili Timamu wajadili hojaLucas mbona wewe ni mpumbavu kabisa.
Huwa wanaona watu wengine wanaishi kwa hisani yaoIlibaki kidogo tu mumuue.
Yaani sasa unaona matusi yake ni mazito kuliko uhai wake?
Mnajiona nyie ndio mnaostaili kuishi tu!!
Acheni hizo
Acha hoja hii ijadiliwe na wenye akili TimamuKutekwa ni sawa ila matusi ni tatizo, hawa UWT ni wapumbavu sn
SureHaya ndio mazara ya kuonea watu,kuteka watu,kuumiza watu.na kukandamiza haki.
SATIVA wamemkatisha tamaa ya kuishi kwa kufanya jaribia la kumtaka kumuua.
UWT mnafurahia watu kutekwa, wajinga wakubwa nyie.Acha hoja hii ijadiliwe na wenye akili Timamu
Wewe una akili gani? mwacheni mtu ateme nyongo akeWanaompa sapoti wanafanya hivyo makusudi ili kuendelea kumpoteza kabisa .Maana mwenye akili Timamu hawezi kutoa lugha chafu na za matusi kama afanyavyo huyo jamaa.
Ndiyo wanachojadili nowMuueniii tu,,, mmezoea kuua…🥹
Pamoja na utu uzima wake.je alipata malezi ya wazazi wake? Walimlea na kumkuza katika maadili yanayokubalika katika jamii na kumfundisha adabu?Huyo kijana ni mtu mzima.Usihusishe wazazi wake wala malezi.Mtu mkamilifu akichukizwa au kuumizwa aachwe alie au atoe sumu mwilini mwake.Wewe kachome mbalagha ule Luca!
Kwa hiyo wewe unaweza kufananisha akili yako na yangu?Wewe una akili gani? mwacheni mtu ateme nyongo ake
sasa kama wew ulieanzisha uzì hamnazo kichwani unataka tuseme nini kwako wewe break mindedUngeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja
izo hoja mbona huzijibu?Nimekwambia kuwa kaa pembeni uache wenye akili Timamu wajadili hoja
Kwani wewe una akili? shetani kabisa usie na aibu, upumbavu wa kukaa unasifia upate uteuzi huku rasilimali za nchi zinachotwa ndiyo akili? wewe una laana ya milele. Tanzania ni nchi ya kuomba misaada nje pamoja na rasilimali za nchi hivi kama siyo ujinga wa CCM?Kwa hiyo wewe unaweza kufananisha akili yako na yangu?
Ni weweseke na nini sasa? Kati ya mimi na wewe nani anaweweseka? Wewe ambaye ukimuona raisi tu machozi yanakububujika. Kuna kuweweseka zaidi ya huko.Acha kuweweseka hapa.
Chizi kabisa hilosasa kama wew ulieanzisha uzì hamnazo kichwani unataka tuseme nini kwako wewe break minded
Wakiitwa wenye akili timamu na wewe unaenda? Seriously!!Nimekwambia kuwa kaa pembeni uache wenye akili Timamu wajadili hoja
Wewe ndiye umelaaniwaKwani wewe una akili? shetani kabisa usie na aibu, upumbavu wa kukaa unasifia upate uteuzi huku rasilimali za nchi zinachotwa ndiyo akili? wewe una laana ya milele. Tanzania ni nchi ya kuomba misaada nje pamoja na rasilimali za nchi hivi kama siyo ujinga wa CCM?