SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Neema na Baraka za Mungu zitaendelea kuambatana na kuandamana nami daima,

nami nitaendelea kua muaminifu kwa Mungu na kwa wananchi, ili kibali changu cha utumishi uliotukuka kwa wananchi kisiishe muda wake, badala yake kingare zaidi huko tuendako
Unaongea maneno Kama Masheikh wa kuchonga...Porojo nyingi kuhusu Mungu na mwili umejaa chale.
 
Huyo kijana ni mtu mzima.Usihusishe wazazi wake wala malezi.Mtu mkamilifu akichukizwa au kuumizwa aachwe alie au atoe sumu mwilini mwake.Wewe kachome mbalagha ule Luca!
Pamoja na utu uzima wake.je alipata malezi ya wazazi wake? Walimlea na kumkuza katika maadili yanayokubalika katika jamii na kumfundisha adabu?
 
Kwa hiyo wewe unaweza kufananisha akili yako na yangu?
Kwani wewe una akili? shetani kabisa usie na aibu, upumbavu wa kukaa unasifia upate uteuzi huku rasilimali za nchi zinachotwa ndiyo akili? wewe una laana ya milele. Tanzania ni nchi ya kuomba misaada nje pamoja na rasilimali za nchi hivi kama siyo ujinga wa CCM?
 
Acha kuweweseka hapa.
Ni weweseke na nini sasa? Kati ya mimi na wewe nani anaweweseka? Wewe ambaye ukimuona raisi tu machozi yanakububujika. Kuna kuweweseka zaidi ya huko.
Wewe siyo IGP wala siyo chochote ni CHAWA MPUMBAVU TU uliyekomaa na kukosa AKILI unawezaje kulipangia cha kufanya jeshi la polisi?
Punguza upumbavu
 
Kwani wewe una akili? shetani kabisa usie na aibu, upumbavu wa kukaa unasifia upate uteuzi huku rasilimali za nchi zinachotwa ndiyo akili? wewe una laana ya milele. Tanzania ni nchi ya kuomba misaada nje pamoja na rasilimali za nchi hivi kama siyo ujinga wa CCM?
Wewe ndiye umelaaniwa
 
Back
Top Bottom