CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Hujawahi kuwa na akili timamu, vinginevyo usingekuwa chawa wa kiwango hiki.Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujawahi kuwa na akili timamu, vinginevyo usingekuwa chawa wa kiwango hiki.Ungeacha wenye akili Timamu wajadili hoja
Akili yangu huwezi kuifikia hata robo.Hujawahi kuwa na akili timamu, vinginevyo usingekuwa chawa wa kiwango hiki.
Na nyie ma CCM ndo wapumbavu. Huyo sativa kulikuwa hakuna haja ya kuhangaika nàe hadi kàtavi, mngemfukia pale mto ruvu, leo añgeshasahaulika. Sasa mmemwaçhia anatukana wazazi wake.Hajitambui kabisa yule jamaa.ndio maana anajiropokea tu chochote kile kinachomjia Mdomoni mwake
Mbaga jr.,haya yanayotokea huenda ni kuelekea ama kwenye hatua ya kukata tamaa ama tayari hatua ya shida ya akili,tukubali au hata kama tukikataa yapo mambo mengi ya kuvunja moyo,yakuhuzunisha ,yajukasirisha na yakuchosha yanafanywa kwa makusudi na kimfumo haya yasiwe tu sababu ya kupoteza udhibiti wa amani yetu siku moja.Hali hii ikiachwa kuendelea tusishange mnaosema wanakosa adabu wakaenea kama moto wa nyikani.Sio kwa nia mbaya ila huyu dogo sativa hana adabu, hata kama alifanyiwa vibaya ila sio kwa matusi yale, na mbaya zaidi kuna watu wanampa sapoti + chadema na anashindwa kujua likimtokea jambo atapambana nalo yeye mwenyewe afu hao wanaompa kichwa wataongea tuu huko mtandaoni na itaishia hapo.
..taifa hili ni lako? unapoteza au unaongeza nini kutoka kwenye matusi ya sativa..Kila uhuru una mipaka yake.huwezi ukasema aachwe aendelee kutukana watu matusi.hiyo haiwezekani hata kidogo katika Taifa hili.
Katika taifa letu watu wajinga pekee ni machawa.Acheni kumjaza ujinga kwa mambo ya kijinga anayoyafanya
Lucas mbona wewe ni mpumbavu kabisa.Endelea kumjaza ujinga huku ukitumia Fake ID
wewe chawa unaongea nini embu ficha aibu yakoAcheni kumjaza ujinga kwa mambo ya kijinga anayoyafanya
Huyu mshamba ni mtekaji jamani mjueni!Alichokifanya dogo Sativa sio kizuri kimaadili yetu sema wewe hauko fair.
Watu wanatekwa na kuuliwa hujawai kuandika andiko refu kukemea kama hili. Punguzeni uchawa vijana fanyeni kazi kwa maendeleo yenu ili musiwe wanafiki.
Toka hapa , huna reasoning capacity thinking, unaulizwa kwanini hukukemea kwa kilichomkuta unaleta bla bla tu, jibu hayo maswali uliyoulizwa.Acha matusi yako hapa.
Wewe mbwiga umeweka hadi namba za simu ili wakuite lakini wamekupotezea kwani mada zako ni za kipumbavu pumbavu tu, sana sana watakutupia makombo tu.Sasa wewe endelea kutukana matusi na kuunga mkono watukana matusi. Mimi ni muungwana na ndio maana sijifichi katika fake Id
Umeshaulizwa alipotekwa ulikuja kupiga kelele hapa au ulinyamaza tu sahiv mnaambiwa ukweli mnakuja kulalamika Nutshel kabisa wewUtukanaji wa matusi na kutoa lugha chafu zisizo kubalika katika jamii ya aina yoyote ile hapa chini ya Jua.
Huyo kijana ni mtu mzima.Usihusishe wazazi wake wala malezi.Mtu mkamilifu akichukizwa au kuumizwa aachwe alie au atoe sumu mwilini mwake.Wewe kachome mbalagha ule Luca!Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Huna akiliUngeacha wenye akili Timamu wajadili hoja
Kabisa Kila siku mama anatosha ,aache kutupigia makelele kila siku huyo hakuna lolote alilofanya anatembelea upepo wa watuWewe ni chawa mwandamizi!
Siwezi kuifikia kwa sababu haipo.Akili yangu huwezi kuifikia hata robo.
Tulia kwa code tuwakande vizuri mmekalia ushuzi tuWewe ndiye mwenye ushetani ndani yako kwa kuunga mkono ushetani wa mtu kutukana matusi utafikiri mgonjwa wa akili.