Kwamba hatujui lolote? Wanaotukana nchi ndio hawa wanaokulipa kuweka mauzi marefu hapa kuwapamba, unatupotezea muda kwa kujiliza kuhusu mtukanaji aliyeumizwa kwa amri za hao majizi!Hakuna bandari wala mbuga wala mali ya Tanzania iliyouzwa kama mbuzi mnadani.
Matusi anayotukana ni kwa faida ipi? Kwa ajili ya kupata nini? Ni lini na vipi na kwa namna gani matusi yanaweza kuwa silaha ya ushindi au kupata haki yako? Kwanini asiende mahakamani kutafuta na kupigania haki yake badala ya kuporomosha matusi yake?Hana cha kupoteza, alishakufa akarudi tena. Umeshiba mapera hapo kazi kusifia chama la wezi ili upate mkate wako, hujawahi kushikwa na pliers hicho kibamia chako huwezi kuelewa mwamba anapitia nini.
Mimi silipwi kwa ajili ya kuwepo hana jukwaani .Mimi ni mzalendo kwa Taifa languKwamba hatujui lolote? Wanaotukana nchi ndio hawa wanaokulipa kuweka mauzi marefu hapa kuwapamba, unatupotezea muda kwa kujiliza kuhusu mtukanaji aliyeumizwa kwa amri za hao majizi!
Ukishakiwa wa mbogamboga huwa unapata uwezo wa ziada na hata wa kipepo.Naagiza polisi wakukamate.
Wapi nilipoandika maneno hayo.Unataka wamuue!?
Gentleman,..wewe ikupendeze kwanza kumuacha sativa aseme kinachosumbua moyo wake, hata wewe ukikerwa na matusi ya sativa unaweza kuvuta bangi, au madawa kujiliwaza..!
Hakuna uzalendo wa kujipendekeza kwa majizi.Mimi silipwi kwa ajili ya kuwepo hana jukwaani .Mimi ni mzalendo kwa Taifa langu
Uwe na adabu dogo kwa kaka yako.mimi nimepiga kitabu kwenye chuo bora AfrikaAlisoma chuo cha utumishi wa umma Tabora, si unaona halina akili kabisa ni shetani tupu
Mimi naongea ukweli na siyo kujipendekeza kwa mtu au watuHakuna uzalendo wa kujipendekeza kwa majizi.
Huyu jamaa ni mjinga sana sijapata kuonaAlipotekwa na kudhulumiwa UTU wake ulipiga kelele hivi?.Punguza upumbavu
Endelea na dharau zako .ipo siku utajutia maneno yako pale utakapo hitaji msaada wa hali na mali kutoka kwa hao hao polisi.Polisi wote ni mafilauni shwain
Ukweli wa kutetea majizi?Mimi naongea ukweli na siyo kujipendekeza kwa mtu au watu
Wewe hunaga akili kabisa.Huyu jamaa ni mjinga sana sijapata kuona
Polisi hawatoi msaada bali ni wajibu wao, na hawafanyi hivyo kama hisani bali wanalipwa mshahara. Na kwa taarifa yako ni taasisi inayoongoza kwa rushwa hapa nchini.Endelea na dharau zako .ipo siku utajutia maneno yako pale utakapo hitaji msaada wa hali na mali kutoka kwa hao hao polisi.
Pumbavu kabisa wazazi wako wana hasara sanaWewe hunaga akili kabisa.
Nyie na genge lenu,Nani amuue?
Viongozi wao Gani? Hawa wa "nashukuru mama Samia kwa kuwaokoa watu wa kariakoo?"Tangia lini wafanyabiashara wanatetewa na watu wasiojitambua ilihali wana viongozi wao na jumuiya zao.
Kwa mahakama ipi, hizi za chama la wezi? Mkuu jaribu kuwa na akili kidogo basi.Matusi anayotukana ni kwa faida ipi? Kwa ajili ya kupata nini? Ni lini na vipi na kwa namna gani matusi yanaweza kuwa silaha ya ushindi au kupata haki yako? Kwanini asiende mahakamani kutafuta na kupigania haki yake badala ya kuporomosha matusi yake?