min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Haujasema popote , wap nimesema wewe ndio umesema ?Wapi nimesema mtu mwenye kauli tata anastahili kupigwa risasi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haujasema popote , wap nimesema wewe ndio umesema ?Wapi nimesema mtu mwenye kauli tata anastahili kupigwa risasi?
Wakitokea 10 wafanye km Hamza alifanya..tatizo litakuwa kubwa sana!Hivi aliyemteka amepatikana?
Kuna wakati mtu akikata tamaa na ukosefu wa haki.....anajua ni suala la muda tu, atakuna na mambo magumu zaidi.
Ni ubinadamu upi mliomwonyesha ili mpate haki ya kuudai kwake?Inatakiwa akamatwe haraka sana.maana amevuka mpaka na mstari wa kibinadamu unaokubalika katika jamii yoyote ile.
Na wewe kwanini hujiungi kutukana kama sababu za kufanya hivyo unazo?Kutukana kunatokea baada ya jinai inayotokana na kukosolewa..tena jinai ya kuteka na kuua sabab amekosoa serikali, serikali gn haikosolewi..? waliomo ndani ya serikali ni malaika? Watekaji na wauaji wametajwa kwa majina lkn hata kuhojiwa tu hakuna, kwa hiyo kuna watu wako juu ya sheria? Yupo Mch. Mbeya analalamika mwanae kuuawa na Said masoro former DG wa tiss lkn serikali inajifanya haisikii..kwa hali ya namna hiya unataka mtu afanye nini, wewe unaona jinai anavyotukana lkn huona jinai zilizosababisha atoe matusi..!
Haki na usalama wa kila mwananchi ni jambo la msingi sanaWakitokea 10 wafanye km Hamza alifanya..tatizo litakuwa kubwa sana!
We uliona wakati unatungwa mimba?Uliona wakati akipigwa hiyo Risasi ya kichwa?
Ume panic 😉Unajuaje kama sitoki kuongea ewe mpumbavu usiejitambua. Hivi mtu ukipewa 10k, kofia na t-shirt huwa nini kinaifubaza akili. Chama la wezi limeweza kuteka akili za watu kama wewe, nitolee undezi hapa...
Waanze kudhibitiwa waliotaka kumuua nadhani wao ndio wamefanya makubwa zaidi kuliko hayo matusi, hv unaelewa maana ya kuchungulia kaburi? Sativa muacheni kama alivyo maumivu ya risasi sio lelemama, aendelee kuwatukana hao waliomtekaNdugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwahiyo we unajiona mzima kabisaaa na hujapotea? Sijaona mwanaume wa ajabu na kipuuzi kama wewe. Dogo fanya kazi uwe busy, hii sio kazi.Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Una aakili timamu wewe? Mbona hujasema hao waliotakaa kumuua wakamatwe kama unauchungu wa vijana wa Taifa lako, muacheni Sativa wangu amepitia mengi amechungulia kaburi na anaona watesi wake wanapetaa tuuHuyu dogo kwa sasa ni kama amewehuka. Ana andika utumbo tu.... Adhibitiwe.... Hatuwezi kuwa na taifa la vijana mabingwa wa kuandika matusi mitandaoni.
Wamfanyie kama Sanga si ndio,akamatwe asirudi tena.kuingilia kazi ya Mungu majuto yake makubwa sana,we ongea kama umekatwa kichwa🚮Inatakiwa akamatwe haraka sana.maana amevuka mpaka na mstari wa kibinadamu unaokubalika katika jamii yoyote ile.
Endelea kumjaza ujinga huku ukitumia Fake ID