SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Ni mchezo wa masikin wasio na elimu watoto wa tandale kigogo mbagala na nk huwez kuona wakristo wa masaki mikocheni wanalazwa makaburini ili washinde mech
 
Kutukana kunatokea baada ya jinai inayotokana na kukosolewa..tena jinai ya kuteka na kuua sabab amekosoa serikali, serikali gn haikosolewi..? waliomo ndani ya serikali ni malaika? Watekaji na wauaji wametajwa kwa majina lkn hata kuhojiwa tu hakuna, kwa hiyo kuna watu wako juu ya sheria? Yupo Mch. Mbeya analalamika mwanae kuuawa na Said masoro former DG wa tiss lkn serikali inajifanya haisikii..kwa hali ya namna hiya unataka mtu afanye nini, wewe unaona jinai anavyotukana lkn huona jinai zilizosababisha atoe matusi..!
Na wewe kwanini hujiungi kutukana kama sababu za kufanya hivyo unazo?
 
Mnashindwa kukamata majizi na watu wanaoua watu mchana kweupe, mnajifanya kuumia na matusi..Una akili kweli wewe???
Wewe ukiambiwa uchague kutukanwa au kuuliwa, utachagua nini??Watu kama nyie ndo mnachangia tuonekane waafrika ni matahira kabisa.
Yaani mtu kapigwa risasi, katoa ushahidi walau nani anawashuku..lkn hamna kinachofanyika. Yule mzee aliyetekwa Tegeta - akauwawa kikatili kabisa..wakaharibu na sura yake - hakuna chochote kinaendelea.
Yule bonge wa Kiluvya pale...ndo imeisha hiyo.
Kuna vijana wanapoteapotea hasa wa upinzani hakuna kinachosemwa.
Then unajifanya unaumia na matusi?? ULITAKA afanyeje???
Ulitaka afanye kama Hamza..alivyotwanga watu risasi. Bora Hamza au bora huyu anayetukana?? INJUSTICE ndo sababu ya kila kitu....
 
Unajuaje kama sitoki kuongea ewe mpumbavu usiejitambua. Hivi mtu ukipewa 10k, kofia na t-shirt huwa nini kinaifubaza akili. Chama la wezi limeweza kuteka akili za watu kama wewe, nitolee undezi hapa...
Ume panic 😉
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Waanze kudhibitiwa waliotaka kumuua nadhani wao ndio wamefanya makubwa zaidi kuliko hayo matusi, hv unaelewa maana ya kuchungulia kaburi? Sativa muacheni kama alivyo maumivu ya risasi sio lelemama, aendelee kuwatukana hao waliomteka
 
Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Kwahiyo we unajiona mzima kabisaaa na hujapotea? Sijaona mwanaume wa ajabu na kipuuzi kama wewe. Dogo fanya kazi uwe busy, hii sio kazi.
 
Huyu dogo kwa sasa ni kama amewehuka. Ana andika utumbo tu.... Adhibitiwe.... Hatuwezi kuwa na taifa la vijana mabingwa wa kuandika matusi mitandaoni.
Una aakili timamu wewe? Mbona hujasema hao waliotakaa kumuua wakamatwe kama unauchungu wa vijana wa Taifa lako, muacheni Sativa wangu amepitia mengi amechungulia kaburi na anaona watesi wake wanapetaa tuu
 
Hivi nani anawadanganya nchi hii Haina hicho kiitwacho demokrasia? Nchi hii Kwa muktadha wa demokrasia tupo mbali sana. Yule dogo anatukana nyie ! Matusi ambavyo binafsi nilivyoona na anaowatukana, na hakuna anayemgusa. Unajua Nini Kuna demokrasia kuu hapa. nimeamua kutoa machozi moyoni Unamtukana mkuu wa nchi na mkuu wa polisi na pengine viongozi wa taasisi zote za ulinzi bila hofu? Is he kidding with them? Tuendelee kusubiri!
 
Ni kweli sio utamaduni wetu,sijui ni wewe na nani.
Maana utamaduni wenu unajulikana mlichomfanyia kilitosha kuwatambulisha utamaduni wa KUTEKA WATU,INZI WA KIJANI WA CHOONI WALE.


Vp amekugusa na wewe kunguni mjinga.

Ole wenu Hilo genge lenu limteke Tena.

Walengwa wameufyata,wewe kama nani.

Piga kelele kifo Cha mzee Kibao mbwa Koko wewe.

Usiguse coment yangu hii,NTAKUPIDIDI SENGE WEWE.

Comment hii Ione kama nyuchi ya dada ako. Kubwa Zima ovyoo😡
 
Inatakiwa akamatwe haraka sana.maana amevuka mpaka na mstari wa kibinadamu unaokubalika katika jamii yoyote ile.
Wamfanyie kama Sanga si ndio,akamatwe asirudi tena.kuingilia kazi ya Mungu majuto yake makubwa sana,we ongea kama umekatwa kichwa🚮
 
1002329377.jpg
 
Back
Top Bottom