Ujasiri wa kujua Sativa anavuka mpaka na mstari wa kibinadamu mnaotoa wapi ninyi wanywa-damu? He survived to tell.....Inatakiwa akamatwe haraka sana.maana amevuka mpaka na mstari wa kibinadamu unaokubalika katika jamii yoyote ile.
Sasa MATUSI yatasaidia nini kwenye kupata hiyo haki yake?.. Nimemdharau sana kwa kutumia lugha chafu namna ile kitendo cha kumtukana mkuu wa polisi si uungwana kwani ukiachilia mbali kuwa polisi yule ni Baba na ana watoto anapaswa kupewa heshima kama mtu mzima au mzazi wake. Sativa amejivunjia heshima hata waliokuwa wanamuunga mkono hapo awali amewasikitisha sana na sidhani kama wataambatana nae kwenye hili. THINK BEFORE YOU ACT!Alipotekwa na kudhulumiwa UTU wake ulipiga kelele hivi?.Punguza upumbavu
Mwambieni huyo bwana aache matusiKusifu kukizidi sana, hugeuka ukichaa na wehu. Maana haoni, hawazi, hahoji, hafikiri Hana hisia.
Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wa
Kwa sasa hata wafuasi wake wanamuona kama mgonjwa wa akili anayetakiwa kupatiwa matibabuSasa MATUSI yatasaidia nini kwenye kupata hiyo haki yake?.. Nimemdharau sana kwa kutumia lugha chafu namna ile kitendo cha kumtukana mkuu wa polisi si uungwana kwani ukiachilia mbali kuwa polisi yule ni Baba na ana watoto anapaswa kupewa heshima kama mtu mzima au mzazi wake. Sativa amejivunjia heshima hata waliokuwa wanamuunga mkono hapo awali amewasikitisha sana na sidhani kama wataambatana nae kwenye hili. THINK BEFORE YOU ACT!
Ni tusi gani linauma kuliko maumivu makali ya risasi?Utukanaji wa matusi na kutoa lugha chafu zisizo kubalika katika jamii ya aina yoyote ile hapa chini ya Jua.
Nadhani anachokifanya sasa SATIVA ustaarabu sana!. Matusi pekee hayatoshi!. Ningekuwa mimi nimetendewa na polisi aliyotendewa SATiVA, wallah ningeunda VIKUNDI vya Uasi kama BOKO HARAM au Al shaabab kupigana na serikali. Nchi isingetawalikaNdugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Dogo hana adabu. Amenisikitisha sana , kutumia Lugha ya matusi tena ya nguoni hapana hilo halikubaliki hata kidogo.Kwa sasa hata wafuasi wake wanamuona kama mgonjwa wa akili anayetakiwa kupatiwa matibabu
Hivi na wewe una akili?Kaa pembeni uache wenye akili kubwa wajadili hoja
Kama unahisi unaumia kwa matusi yake kuliko Sativa alivyoumia kwa risasi, basi una upunguani.....Kwa sasa hata wafuasi wake wanamuona kama mgonjwa wa akili anayetakiwa kupatiwa matibabu
Mwalimu alishasema, demokrasia sio kama Coca Cola, kila jamii ina tamaduni zake, mambo ya magharibi kuleta Africa tunakuona wewe ni kichaa, huko X anatukana matusi ya nguoni , mpaka unasema huyu ni mtanzania au ni mkenya? Sometimes you never wrestle with a 🐖Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Jaribu ufanye hivyo uone moto wakeNadhani anachokifanya sasa SATIVA ustaarabu sana!. Matusi pekee hayatoshi!. Ningekuwa mimi nimetendewa na polisi aliyotendewa SATiVA, wallah ningeunda VIKUNDI vya Uasi kama BOKO HARAM au Al shaabab kupigana na serikali. Nchi isingetawalika
Hakuna demokrasia ya kutukana watu matusiMwalimu alishasema, demokrasia sio kama Coca Cola, kila jamii ina tamaduni zake, mambo ya magharibi kuleta Africa tunakuona wewe ni kichaa, huko X anatukana matusi ya nguoni , mpaka unasema huyu ni mtanzania au ni mkenya? Sometimes you never wrestle with a 🐖
🤣🤣🤣🤣🤣🤣mimi sijawahi kuwa chawa.
Ila ya kupiga mtu risasi ipo?Hakuna demokrasia ya kutukana watu matusi
Lakini kuna uhuru wa kutekana?Hakuna uhuru wa kutukana matusi.
Mwambie wewe unayemjua mnamteka,, mimi simjui napenda haki tuMwambieni huyo bwana aache matusi
Wapi watu wanapigwa Risasi.Ila ya kupiga mtu risasi ipo?
Ukiwa huna akili ni shida....