SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Inatakiwa akamatwe haraka sana.maana amevuka mpaka na mstari wa kibinadamu unaokubalika katika jamii yoyote ile.
Ujasiri wa kujua Sativa anavuka mpaka na mstari wa kibinadamu mnaotoa wapi ninyi wanywa-damu? He survived to tell.....
 
Alipotekwa na kudhulumiwa UTU wake ulipiga kelele hivi?.Punguza upumbavu
Sasa MATUSI yatasaidia nini kwenye kupata hiyo haki yake?.. Nimemdharau sana kwa kutumia lugha chafu namna ile kitendo cha kumtukana mkuu wa polisi si uungwana kwani ukiachilia mbali kuwa polisi yule ni Baba na ana watoto anapaswa kupewa heshima kama mtu mzima au mzazi wake. Sativa amejivunjia heshima hata waliokuwa wanamuunga mkono hapo awali amewasikitisha sana na sidhani kama wataambatana nae kwenye hili. THINK BEFORE YOU ACT!
 
 
Kwa sasa hata wafuasi wake wanamuona kama mgonjwa wa akili anayetakiwa kupatiwa matibabu
 
Nadhani anachokifanya sasa SATIVA ustaarabu sana!. Matusi pekee hayatoshi!. Ningekuwa mimi nimetendewa na polisi aliyotendewa SATiVA, wallah ningeunda VIKUNDI vya Uasi kama BOKO HARAM au Al shaabab kupigana na serikali. Nchi isingetawalika
 
Mwalimu alishasema, demokrasia sio kama Coca Cola, kila jamii ina tamaduni zake, mambo ya magharibi kuleta Africa tunakuona wewe ni kichaa, huko X anatukana matusi ya nguoni , mpaka unasema huyu ni mtanzania au ni mkenya? Sometimes you never wrestle with a 🐖
 
Nadhani anachokifanya sasa SATIVA ustaarabu sana!. Matusi pekee hayatoshi!. Ningekuwa mimi nimetendewa na polisi aliyotendewa SATiVA, wallah ningeunda VIKUNDI vya Uasi kama BOKO HARAM au Al shaabab kupigana na serikali. Nchi isingetawalika
Jaribu ufanye hivyo uone moto wake
 
Hakuna demokrasia ya kutukana watu matusi
 
Anatafuta aguswe aseme ameguswa....alianza kidogo kidogo wamempotezea anazidisha.
Heri wampotezee tu thamani yake izidi kushuka maradufu
Anajiharibia maisha yake mwenyewe,
Maana kama ni siasa wakumpa attention wala nafasi hatakuwepo
Na wanaompigia kelele na makofi ya kinafki watamgeuka
 
Kuna uwezekano account inatumiwa na walioomba password. Bin Adam hamuaminiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…