SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Tangia lini matusi yakawa silaha na njia ya kupata ushindi wa haki? Tangia lini matusi yakawa njia ya kupata haki? Ndio ulivyofundishwa na kujifunza hivyo? Ndio akili yako inachoamini hicho?
 
Hatakiwi kukaa kimya kwa alichofanyiwa ila kutukana watu sio sawa.
Okay, tufanye leo hii akiuliwa, ww kama raia/wanaJF ambaye ulikuwa unamsapoti kwa kutoa yale matusi utamsaidia kwa lipi?

Kwa alipotekwa nilimsaidia nini?

Mimi nasapoti jitihada zake za kujitetea ikiwa dunia tumeshindwa kumsaidia.

Ni kama Hammas na Israel.

Kumuunga mkono anayeonewa hata kwa kuonyesha ni sehemu ya kumsaidia. Kuliko kukaa kimya ambapo itaonekana inasapoti alichofanyiwa
 
 
Tangia lini matusi yakawa silaha na njia ya kupata ushindi wa haki? Tangia lini matusi yakawa njia ya kupata haki? Ndio ulivyofundishwa na kujifunza hivyo? Ndio akili yako inachoamini hicho?

Sasa kama matusi sio silaha hii mada umeileta hapa ya nini?
Au akili yako haielewi unachokijadili?

Maneno ni silaha. Matusi ni Maneno yenye sum. Ni silaha yenye sumu ndio maana umeandika hii mada.

Kumbe hujui hata ulichoandika
 
Matusi yanamsaidia vipi kupata haki anayoona hajapewa au kutendewa? Ni vipi matusi yakawa utetezi?ni vipi matusi yakakupa msaada wa njia ya kufikia ushindi wa kupata haki? Ni wapi na nani aliwa kupata ushindi kwakuporomosha matusi ya nguoni. Wewe unaweza kutukana matusi atukanayo SATIVA na ukawapa na wazazi wako waone na kusoma? Ndivyo unavyoweza kuwafundisha wanao kuwa wawe wanatukana sana matusi katika kupigania haki zao au kufikisha ujumbe fulani?Ndivyo unavyoweza kuwapa ushauri huo watu na jamii iwe ya kutukanana matusi katika kupigania haki?
 
Kwa hiyo haki inapatikana kwa kuporomosha matusi kama kichaa au mwendawazimu? Ndio akili yako inavyokuelekeza?

Hujui ulichoandika.
Hujui mambo yanayohusu vita.

Tafuta Watu katika jeshi wakuambia ni kwa namna gani matusi wanaweza kutumia katika Vita kama silaha.

Wewe UPEO wako bado upo chini kuyaelewa haya mambo
 
Saliva upo ushahidi wa wazi kuwa anayo haki ya kutoa matusi pia
Gentleman,
ni ushauri na mawaidha ya bure kabisa kwa muungwana, asitegemee wala kupumbazwa huruma za wananchi na wafadhili wake uchwara wa kitanzania waliopsnga huko kibra kenya mabatini kuna joto kichizi 🀣


kuporomosha matusi sio ujasiri hasa kwa watu wa vitendo tu πŸ’
 
Wewe ni wale wale ambayo wanatakiwa kitukanwa matusi ya nguoni .
 
Sawa sawa mpambanaji wa keyboard, endelea kumpa sapoti kwa njia ya online ila lolote lifakalomkuta litampata physical na sio online Tena.
Nimemaliza.
 
Mna bahati sana huko majimboni mnaongoza watu mnaowamudu gentleman πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…