min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Mkuu vip la lissu anavyotukanwa shoga?Kwahy akitukana watu ndio atasaidiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu vip la lissu anavyotukanwa shoga?Kwahy akitukana watu ndio atasaidiwa?
Sina sababu ya kujibizana na wewe maana inaonyesha akili yako ni sawa jina lako linavyosomeka hapa.Wewe inasemekana ulikuwa unatoka na Makonda then akakuchukua Kafulila. Hayo maneno yamezagaa sana siyo riziki
Alikutukana sana? Au na ww umeambiwa tuuNinyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Umejifunzia wapi huo uchafu dogo? Wanakutumia tu unaachwa unatapatapa.Sina sababu ya kujibizana na wewe maana inaonyesha akili yako ni sawa jina lako linavyosomeka hapa.
Wewe ndiye mwenye ushetani ndani yako kwa kuunga mkono ushetani wa mtu kutukana matusi utafikiri mgonjwa wa akili.Wewe ungekuwa mwema hata kwa serikali, ungeshauri polisi waharakishe uchunguzi wa waliomteka huyo Sativa.
Hakuna polisi na kiongozi yeyote WA maana atakayefuatilia ushauri wako ikiwa utakuwa na Tabia hizi za kishetani.
Utakuwa Liability sikuzote za Maisha yako kama utaendelea hivi.
Akitukana ndio atasaidiwa?Sativa anayohaki kufanya hayo kutokana na mateso waliyompa kisha wananyamazà kama vile siyo wao! Hata mimi ningegadhabika. Nyie machawa wapumbavu mbona hamhoji kwa nini waliotenda na yeye kuwatambua hawachukuliwi hatua yoyote, ni wazi mnaunga mkono alichotendewa.
Wewe unashauriwa uache kuingiliwa mbona hujaacha na sasa hivi upo kwa Kafulila? Kila mtu ana maamuzi yakeNinyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
Kwahy akitukana watu ndio atasaidiwa?
Swali juu ya swali ili ujibiwe swali au sio?Mkuu vip la lissu anavyotukanwa shoga?
Wewe una ushetani upinde mkubwa weeeeeeh..... Kila siku una.....Wewe ndiye mwenye ushetani ndani yako kwa kuunga mkono ushetani wa mtu kutukana matusi utafikiri mgonjwa wa akili.
Anatoa sumu. Alipigwa risasi na kuachwa afe. Waliofanya hivyo wapo mpaka leo wanadunda tu wameogopwa. Unadhani atawasifia?Kwahy akitukana watu ndio atasaidiwa?
Kwa hiyo haki inapatikana kwa kuporomosha matusi kama kichaa au mwendawazimu? Ndio akili yako inavyokuelekeza?Kutukana ni sehemu ya kuonyesha kuwa bado anajipambania HAKI zake na kile alichofanyiwa.
Serikali ingemsaidia au watu wangemsaidia tungekuwa na uhalali wa kumwona anachofanya sio sahihi.
Au ulitaka akae kimya kama Kondoo?
nadhani kuhusu ushoga zipo dalili za wazi kabisa, hasa kwa wale wanaogemea na kutegemezwa na wafadhili wa nchi za magharibi kwa kila kitu hadi familia zao..Juzi kati tu hapa tuliona vijana wa dogo wa hicho chama chenu wakiwaita baadhi ya viongozi wa upinzani mashoga na walevi je huo unavumilika? Au ni maswala ya mkuki kwa nguruwe 🤔 gentleman 🐒
Demokrasia ya kuteka na kuua ndo ipo sio?Hakuna demokrasia ya kutukana matusi ya nguoni na kudhalilisha watu wengine.
Hatakiwi kukaa kimya kwa alichofanyiwa ila kutukana watu sio sawa.Kutukana ni sehemu ya kuonyesha kuwa bado anajipambania HAKI zake na kile alichofanyiwa.
Serikali ingemsaidia au watu wangemsaidia tungekuwa na uhalali wa kumwona anachofanya sio sahihi.
Au ulitaka akae kimya kama Kondoo?
Halafu Lucas Mwashambwa anafanya vitendo hivyo hivyo na watu kadhaaMkuu vip la lissu anavyotukanwa shoga?
Kwa hiyo na wewe na akili yako timamu unaunga mkono Mimatusi anayotoa na kutukana? Kwa hiyo hiyo ndio njia unayounga mkono na kuwashauri vijana wafanye hivyo kuporomosha matusi ya nguoni kutukana watu? Ndio akili yako imegota hapo? Ndio suluhisho hilo?
Lucas Mwashambwa huwa anatukanaga pia yaani kuna yule Retired bila kutukana hajisikii Raha 😂Kuna watu humu humu Jamiiforums wanaotukana matusi ya nguoni, unawapa Kicheko😍 na malikes kibao.
Hatahivyo ndio DOMOKRASIA yenyewe hiyo.