Yani haka ka mwenyekiti kachawa ka CCM ndio ulifikiri kangetetea wafanyabiashara walioamua kufunga maduka kutokana na kodi kandamizi?Tangia lini wafanyabiashara wanatetewa na watu wasiojitambua ilihali wana viongozi wao na jumuiya zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani haka ka mwenyekiti kachawa ka CCM ndio ulifikiri kangetetea wafanyabiashara walioamua kufunga maduka kutokana na kodi kandamizi?Tangia lini wafanyabiashara wanatetewa na watu wasiojitambua ilihali wana viongozi wao na jumuiya zao.
Wewe ndiyo mwema? Wewe si unatakasika roho unaposikia wakosoaji wa serikali wakitkwa na kuuwawa. Kuna kitu kingine dunia hii kinakufikisha kwenye kilele cha furaha yako kama habari za kutekwa na kuuliwa wakosoaji ?Mngekuwa wema na mnampenda huyo kijana juu ya hatima ya Maisha yake .basi mngejitajidi kumshauri na kumsihi aache mara moja tabia hiyo ya kutukana matusi
Ungekuwa na umakini na unayejitambua vizuri ungeuliza na kufanya uchunguzi wa hayo matusi nayoyazungumzia . Na uone kama matusi na maneno hayo yanaweza kutolewa hadharani na mtu mwenye akili Timamu na anayejitambua vyema na aliyelelewa vizuri na mwenye hofu ya Mungu. Lakini kitendo cha kutoa maneno mengi bila kuelewa msingi wa hoja inakuwa ni kukurupuka sana na kukosa umakini.Hayo matusi ya huyo Sativa, japo hatuyajui wala hujayataja, yanafanalingana kwa namna yoyote ile na vitendo vile vilivyofanywa na shetani mafwele na hao mashetani wengine, waliaoamua kumteka na kumwua? Huyo Sativa, anamtukana nani? Kama anawatukana hao waliotaka kumwua, ni halali kwani waliyomtendea yanapita viwango vya uhayawani wote.
Mambo hayo ya wazazi wa Sativa, ungeachana nayo tu. Humu watu wengi wenye uelewa wanawaonea huruma wazazi wa chawa mbobezi Lucas aliyeamua kuudhalilisha ubinadamu wake ili tu watawala wamrushie makombo. Yaani a.eamua tumbo liufute ubinadamu na utu wake.
Kwanini hiyo dawa usingeanza kuinywa wewe ili upate akili kichwani mwako?We mjinga dawa yako inachemka
Wewe tukana tu mpaka Uchoke maana hujitambuiKupotea wapi bora yeye kuliko weye unaenena kwa makalio mbwa jike wewe
Mungu siyo Mwanadamu kama ulivyo wewe mwenye moyo wa kishetaniLucas utaadhibiwa na Mungu siku si nyingi
Kweli wewe una matatizo makubwa sana.kwa hiyo unataka aendelee kutukana matusi? Hivi unajitambua kweli wewe?Moderator hawa wajinga mnawaacha hapa jukwaani na mada zao hizi za kijinga ni kukosa weledi.
Angalia huyu mpumbavu anahamasisha mauaji Kwa SATIVA Kwa kosa lipi?
SATIVA aachwe jamanii Kwa KIFO alichopitia mwacheni atukane Tu hakuna namna
Kwani na wewe una akili kichwani mwako 🤣🤣Binafsi simtaki kabisa anachafua jukwaa wote tunaonekana ni wajinga kama yeye
Mpaka Leo jeshi lenu la police wamefikia wapi katika kumsaidia SATIVA? Kama muuzaji anamtaja Kwa jina lake na anaweka Hadi picha zake kwenye mtandao polisi inafanya jitihada gani kumsaidia SATIVA?Kweli wewe una matatizo makubwa sana.kwa hiyo unataka aendelee kutukana matusi? Hivi unajitambua kweli wewe?
aliyekuumba wewe ndiye aliyemleta hapa tanzania..Aende Burundi
Kwa hiyo siku mtu akiweka sura na picha yako kwamba wewe ni jambazi sugu pasipo kuweka ushahidi.utataka watu waanze kukushanbulia kwa kujichukulia sheria mkononi?Mpaka Leo jeshi lenu la police wamefikia wapi katika kumsaidia SATIVA? Kama muuzaji anamtaja Kwa jina lake na anaweka Hadi picha zake kwenye mtandao polisi inafanya jitihada gani kumsaidia SATIVA?
Hizi chuki mmezilea wenyewe na huyo kifo ni kifo wenu.Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unampa mbwa jina baya ili umuuwe, kama katukana si unaenda kumshitaki tu, Maneno meeengi. Kwanza huyo mtu hata mkimpeleka mahakamani afungwi kwasabu akionyesha kovu la risasi lililo vunja taya hata akimu mwenyewe lazima akae. Hata bila kwenda kumpima atajua tu ubongo umesheki anamwachia.Ndugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ingekuwa rahisi km kuwaza unavyowaza hata wewe usingekuwepo!Soon atapotea,safari hii watahakikisha kafa kabisa.
Hizi nguvu unazotumia kuhamasisha mauaji Kwa SATIVA ungehamisha Kwa mmiliki wa jengo lililoanguka pale kariakoo tungekuona wa maana Sana..Kwa hiyo siku mtu akiweka sura na picha yako kwamba wewe ni jambazi sugu pasipo kuweka ushahidi.utataka watu waanze kukushanbulia kwa kujichukulia sheria mkononi?
Wewe huna tofauti na mbwa jike aliyepandwa na joto na hakuna dume,those days Sativa kafanyiwa abduction did you wrote any thing to express your heartfelt sorrows towards?,filho da putaNdugu zangu Watanzania,
Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.
Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.
Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.
Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.
Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.
Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tanzania hatuna wehu huyo mrundi.aliyekuumba wewe ndiye aliyemleta hapa tanzania..
Sipendi kuona mtu akitoa matusi ya nguoni kama afanyavyo huyo mtu wako. Mwambie kuwa jambo hilo halikubaliki hata kidogo.na ni lazima atawajibishwa kwa mujibu wa sheriaHizi nguvu unazotumia kuhamasisha mauaji Kwa SATIVA ungehamisha Kwa mmiliki wa jengo lililoanguka pale kariakoo tungekuona wa maana Sana..
Waambie hao police watutajie jina la mmiliki mbona mnashindwa kudili na matajiri? SATIVA anakupunguzia nini?