SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

SATIVA adhibitiwe kwa matusi ya nguoni anayotoa mitandaoni

Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Zilaaniwe Shahawa zilizokuzaa CHOKO wewe
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Omba yasikukute
 
Wewe Lucas ni haujielewi kabisa ,unapambana na matokeo badala ya kudeal na chanzo.

Sativa analalamika waliotaka kumuua ni "TANIPORI" wakiongozwa na "Afisa X kutoka kituo Y" kwanini huyo mtuhumiwa hajawahi kuhojiwa? Inakuwaje unaona matusi yanauma sana kuliko risasi ya kisogoni kwenda kuvunja taya? Je wewe ukiambia uchague moja kati ya kutukanwa na kupigwa risasi ije kufumua taya utachagua nini?
 
Unaweza ukawa na hoja lakini majibu yako inaonyesha kwamba huna UTU hata kidogo ndiyo maana watu nao wanakujibu kama unavyokuja ,sasa jibu gani hilo? SATIVA si alimtaja aliyempiga risasi au unajitoa ufahamu?
Kutaja tu hakutoshi pasipo ushahidi.kwani utajisikiaje mtu leo hii akikuta wewe kuwa ni jambazi sugu pasipo kuweka ushahidi wa aina yoyote ile? Suala siyo kutaja tu.Dunia ya leo inataka uipatie ushahidi wa kutosha usioacha mashaka
 
Wewe Lucas ni haujielewi kabisa ,unapambana na matokeo badala ya kudeal na chanzo.

Sativa analalamika waliotaka kumuua ni "TANIPORI" wakiongozwa na "Afisa X kutoka kituo Y" kwanini huyo mtuhumiwa hajawahi kuhojiwa? Inakuwaje unaona matusi yanauma sana kuliko risasi ya kisogoni kwenda kuvunja taya? Je wewe ukiambia uchague moja kati ya kutukanwa na kupigwa risasi ije kufumua taya utachagua nini?
Mambo anayoyaongea amewahi lini kuweka ushahidi? Utathibitisha vipi na kukubali maneno matupu pasipo ushahidi? Je ndio sheria inavyotaka hivyo?
 
Sasa MATUSI yatasaidia nini kwenye kupata hiyo haki yake?.. Nimemdharau sana kwa kutumia lugha chafu namna ile kitendo cha kumtukana mkuu wa polisi si uungwana kwani ukiachilia mbali kuwa polisi yule ni Baba na ana watoto anapaswa kupewa heshima kama mtu mzima au mzazi wake. Sativa amejivunjia heshima hata waliokuwa wanamuunga mkono hapo awali amewasikitisha sana na sidhani kama wataambatana nae kwenye hili. THINK BEFORE YOU ACT!
Nyie watu mbona mnajitoa ufahamu hivo?huyo unaetaka aheshimiwa ana mchango gani kuhakikisha sativa anapata haki yake?mtu kataja Hadi aliemteka mbona hampigi kelele kuhakikisha wahusika wanachunguzwa na kufikishwa mahakamani? Mnapiga watu halafu hamtaki walie?mnajisikia vby mkisemwa?vumilieni tu, mkiweza mtekeni Tena mmalize kazi kns anyamaze milele
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kiwango alichofikia huyu kijana ni kibaya sana,ni kiwango ambacho hakihitaji kuvumiliwa wala kuachwa hivi hivi pasipo kudhibitiwa na kuchukuliwa hatua kali za kisheria.

Kwa sasa anatukana matusi ya nguoni mpaka mtu mwenye hekima na akili timamu unabaki unaona aibu na fedheha kubwa.Ni matusi na lugha ambazo yeyote mwenye akili Timamu,mwenye hofu ya Mungu na mcha Mungu na aliyepata malezi mazuri ya wazazi wake hawezi kutukana wala kutoa iwe hadharani au mafichoni.

Sielewi huyu kijana kama wazazi wake wapo hai au walishatangulia mbele za haki.sielewi ikiwa huyu kijana ana ndugu wa karibu au viongozi wa Dini . sielewi huyu kijana kama amewahi hata kujua kama Mungu yupo na kwamba kuna siku sisi wanadamu tutakufa na kwenda kutoa hesabu mbele za Mwenyezi Mungu.sielewi kama huyu Kijana amewahi kuishi na wazazi wake na kulelewa katika ukuaji wake.

Anatoa lugha na matusi makubwa na yenye kuibua hasira,chuki na ghadhabu kubwa sana . Ni matusi na lugha ambazo hazikubaliki mbele ya jamii iliyostaarabika. Ni matusi na lugha ambazo haziwezi na hazipaswi kufumbiwa macho na kuachwa zipite hivihivi.

Huyu kijana anapaswa kudhibitiwa haraka sana.hawezi kuachwa aendelee kutukana matusi ya Nguoni.ni lazima akamatwe na kuwajibishwa kisheria.ni lazima afundishwe adabu ,ni lazima aambiwe huo siyo utamaduni wetu na siyo maadili yetu ya kitanzania. Ni lazima aambiwe wazi kwa vitendo kuwa popote pale Duniani hakuna uhuru wa kutukana matusi kama kichaa au mwendawazimu mbele ya watu waliostaarabika na ukaachwa hivi hivi.

Kama kuna mtu anaweza kuunga mkono matusi ya huyu kijana basi atakuwa ni mtu wa ajabu sana,mwenye matatizo ya akili,mwenye kukosa hofu ya Mungu na aliyekosa malezi ya wazazi wake na mwenye matatizo kichwani na asiyejitambua.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
ungekuwa na akil timamu ungehoji Yule mtekaj anaemtaja jeshi limechukua hatua gan ? nje na hapo muache kama mlivyomuacha yule mtekaj anasemwa na wengi kila siku # Mafuele
 
Kutaja tu hakutoshi pasipo ushahidi.kwani utajisikiaje mtu leo hii akikuta wewe kuwa ni jambazi sugu pasipo kuweka ushahidi wa aina yoyote ile? Suala siyo kutaja tu.Dunia ya leo inataka uipatie ushahidi wa kutosha usioacha mashaka

Ushahidi si ameshautoa ,si alipelekwa O6BAY? Simu si ilionekana imezimwa O*Bay pia ,aliyekuja kutoa order akauawe si alimtaja kwa kimuonekano alivaa jezi ya simba?(Sitaki kwenda mbali alishaeleza usije ukadakia kila aliyevaa jezi ya simba ndiye aliyemteka).

Kwanini wasianzie hapo hao waliompeleka hapo karakakana wamechukuliwa hatua gani? Na waliompeleka kituo cha polisi arusha walimpeleka kama nani?

Kama hamchukui hatua mwache awatukane tu mpaka mtakapomsikiliza na kuwachukulia hatua wauaji.
 
Ninyi ndio mnampoteza huyo kijana badala ya kumsaidia hata kwa ushauri wa kisaikolojia. Hivi hamuoni kuwa anaendelea kupotea kabisa.
ushauri ni kusikiliza hoja zake na kuzifanyia kaz , sidhan kama watoto wenu wakiyapitia aliyoyapitia mngekaa kimya wanges nyiny
 
Inatakiwa akamatwe haraka sana.maana amevuka mpaka na mstari wa kibinadamu unaokubalika katika jamii yoyote ile.
amemtaja Mafwele mara ngap ? mechukua hatua gan ? mm naamin ww ni sehem ya watekaj na umetumwa hapa kimkakati ila amin yaliyotokea Liberia 1980 yanaeza tokea hapa Tz na mtawindwa kila kona kulipa mauaji mmekuwa mnayafanya kwa wanaowakosa kisiasa ( ambao katiba inawaruhusu )
 
Wakudhibitiwa ni serikali iache kuwateka na kuwauwa watu.mfano wewe utekwe na hii serikali ovu ya awamu hii halafu ikukosekose kukuua na kukutupa porini ili uliwe na Simba na kupigiwa risasi kichwani na ikaamini hii serikali imekuua kumbe hamna je hapo kama ungelikuwa wewe utaendelea kuisifu hii serikali serikali ya huyu mwana mama Kwa huo uovu?
 
Back
Top Bottom