Kwamba watu wazima wamuambie akae kimya ?Dogo kapoteza uelekeo huwezi kushindana na watu wazima Muliro jana kamprovoke dogo kama mzazi na dogo kaingia upepo vibaya mno
Wazazi jitahidini kukaa na vijana wenu muwafundishe ukakamavu namna ya kusema na kujibu watu wazima
Huna akiliChadema watamponza bw. Mdg
Chadema imeingiaje hapo we NgiliChadema watamponza bw. Mdg
Suluhu la tatizo lake na yanayo endelea nchini kama yaliyo mkuta yeye ni yapi ? ikiwa Rais hata ajaliUkiwa katika hali ya emotional usifanye maamuzi yatakayobeba hatima yako badala yake ihusishe akili ama tulia kwanza. Hakuna tatizo lisilo na suluhu.
Ana haribu nini ?Sio chadema ni maria ana kakesi kake amemfungulia IGP akishinda alipemwe tubilioni kana mvimbisha kichwa shauri yake
Dogo yuko kina kirefu cha bahari time will tell
Wakili wake amasidie dogo namna wa kujibu na kubehave makubwa mitandaoni anaharibu sana
Kwani sasa hivi hajaumia ?Wata mu eliminate "juzi juzi nilikua natembea hapo gerezani kwenye treni nikaona watu wengi sanaaa watu kibao"
Sativa atulize ball Aishi Maisha yake otherwise ataumia.
Haki huinua taifa.
Mawazo yako siafikiani nayo. Kwamba binadamu tuogope kuanika maovu kwa sababu ya kuogopa kuuawa. Dunia imefika hapa ilipo kwa sababu ya watu majasiri kama Satifa. Woga hauna nafasi. Yaani mtu walipanga kuumua, akapona kimuijuza halafu eti aogope kutetea haki kwa sababu ya woga. Hvi unajua kuna wengi tu wanakufa kwa sababu ya kuogopa kama unavyotaka wewe?Mkuu,
Unazijua BTX, VX, POLONIUM 201, RICIN, BOTOX ni Jambo la muda TU.
Haki hui nua Taifa.
PoliCCM nizaidi ya magaidi.Edgar Mwakabela maarufu kama Sativa ambaye ni muhanga wa matukio ya utekaji, leo hii amelipia matangazo ya Instagram ili kuanika uhalifu unaofanywa baadhi ya askari wa jeshi la polisi.
Haya ameyaeleza Sativa katika ukurasa wake wa Twitter (X) leo tarehe 06/10/2024, ambapo ametenga bajeti ya Tshs. 135,000/= kwa muda wa siku tano kulipia matangazo hayo.
Ifuatayo ni nukuu kutoka kwenye ukarasa wa X wa Sativa:
MULILO TIME YO SHINE.🔥
Mnalipa CHAWA 20k wanichafue.
Mimi nawalipa INSTAGRAM kuaniaka uchafu wenu.
@tanpol u messed w/ GEN Z.
Budget $50 = 135,000/= TSH.
Duration: siku 5.
@tanpol shindaneni na Technology.😁
Let's Cruise🤝
Mwisho wa kunukuu.
Kina nyinyi endeleeni ku "MPAMBILA" sativa ataendelea kua yeye ie.anaishi na Maumivu na anatumia dawa mpaka muda huu hapa unajifanya kum support but really hujamsaidia chochote.Ipi bora, awe eliminated akiwa kimya au akiwa anapambana?
Huyo walishamuua, na yeye amelipokea hilo na ndiyo maana anatumia makosa waliyoyafanya ya kudhani wamemaliza kazi, hivyo muache awafichue, kupona kwake siyo jitihada za binaadam yoyote bali ni Mungu wake ametaka awafichue hivyo muacheni awafichue, mlishindwa kuifanya kazi yenu so muacheni aiganye ya kwake
Let’s wait and seeAkikaa kimya itamsaidia nini ?
Mafwele the King himself. Asaaleko mkuuAtulie bwana mdogo atapotea
Huna akiliLet’s wait and see
Mdomo uliponza bichwa
Wewe ulimsaidia nini? Kama kuna sheria anaivunja ningekuelewa, ila kwa kuwa hakuna sheria anaivunja basi usimfundishe jinsi ya kulia kwa maumivu waliyomsabanishia.Kina nyinyi endeleeni ku "MPAMBILA" sativa ataendelea kua yeye ie.anaishi na Maumivu na anatumia dawa mpaka muda huu hapa unajifanya kum support but really hujamsaidia chochote.
Walitaka kuchukua wanamchukua na itabaki history.
Ajifunze kwa kina Dr.ulimboka, kubenea, mwakyembe, Roma, kabendera na wengineo walio wai kupitia hayo mazila.
Kunguru mwoga huepusha mbawa zake mapema.
Mfano sisi wengine ambao tumepata body fracture kwa ajari still tunaishi na Maumivu na dawa.Kwani sasa hivi hajaumia ?