Pre GE2025 SATIVA: Mbeya Mjini Haina Faida kuwa na Mbunge Ambaye ni Spika

Pre GE2025 SATIVA: Mbeya Mjini Haina Faida kuwa na Mbunge Ambaye ni Spika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Eti Spika wa mabunge, kumbe ni hovyo kabisa
hakuna spana hapo ujinga mtupu

kwamba kwa kuwa mbeya wamebahatika kupata spika basi maendeleo yote yaelekezwe huko tu

sisi ambao hatuna viongozi wa ngazi za juu kwamba ndo hatustahili maendeleo

wote tupewe maendeleo bila kuangalia huyu katoa kiongozi huyu hapana
 
hakuna spana hapo ujinga mtupu

kwamba kwa kuwa mbeya wamebahatika kupata spika basi maendeleo yote yaelekezwe huko tu

sisi ambao hatuna viongozi wa ngazi za juu kwamba ndo hatustahili maendeleo

wote tupewe maendeleo bila kuangalia huyu katoa kiongozi huyu hapana
Umewahi kusikia hata siku moja anatetea wananchi?
 
Mbona kama Sativa anajipa Sana umuhimu wenye Hana


Anaandika kijana aliyetekwa na kunusrika kuliwa na mamba huko Katavi maarufu kama Sativa.

HUU NI MKOA WA MBEYA. NA MBUNGE WAKE NI SPIKA WA BUNGE.

Huyu spika yupo kwenye nafasi hiyo ya uspika na unaibu spika kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Hapa ndio jimboni kwake, yeye ndie anaesimamia vikao vya ujenzi wa barabara kwenda mikoa mingine na maendeleo mengine kwenye mikoa yote Tanzania.

Kuna muda kama wananchi wa mkoa wa Mbeya tunapata aibu sana kuunadi mkoa wetu. watu wengi sana hawajawahi kufika Mbeya na ni mkoa unaojiuza sana mitandaoni.

Mtu anakuja Mbeya na hamu zake za kuuona mkoa afu anakutana na MABWAWA kama haya. Ni mkoa ambao kipindi cha VUMBI inakuwa kasheshe.

Msimu wa matope inakuwa ni kasheshe. Wananchi wa Mbeya hatujawahi kupumzika miaka yote tangu tuzaliwe. Na ukimsikiliza MBUNGE yeye hoja zake ni kwamba yupo karibu na wananchi anahudhuria sana kwenye misiba.

Anamiliki kitega uchumi cha kukopesha wakina mama , analeta mashindano watu wakimbie kimbie kama wamewehuka vichwani. Hizo ndio hoja zake.

Nawaza tuanzishe mfuko kama wananchi tuchange hela tujenge barabara zetu wenyewe maana tunaoteseka ni sisi. Wao wanashinda DAR.

Mvua zikianza mbeya USIJE utajuta, jua likianza mbeya usije utajuta kwa vumbi. Hiyo ndio Mbeya hatutaki wageni tutaona aibu.

Inaumiza sana aisee.

SATIVA17🫡

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA Mbeya Mjini, Tafuteni Mgombea Mwingine

- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi adai mbunge Tulia Ackson ameshindwa kuendeleza mazuri Mbeya

- Kuelekea 2025 - Kinachoendelea Mbeya kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA ni msiba kwa spika Tulia Akson na CCMt
 
hakuna spana hapo ujinga mtupu

kwamba kwa kuwa mbeya wamebahatika kupata spika basi maendeleo yote yaelekezwe huko tu

sisi ambao hatuna viongozi wa ngazi za juu kwamba ndo hatustahili maendeleo

wote tupewe maendeleo bila kuangalia huyu katoa kiongozi huyu hapana
Mbona kwa Pinda kuna uwanja wa ndege wa kimataifa,kwa Philip Mpango mambo yamepamba moto,kwa Mwigulu Nchemba ndio usiseme kabisa Tanzania imehamia pale,Chato kwa marehemu kuna ikulu na uwanja wa ndege wa kimataifa.Wewe acha kujifariji kwa siasa mfu zisizo na tija.
 

Anaandika kijana aliyetekwa na kunusrika kuliwa na mamba huko Katavi maarufu kama Sativa.

HUU NI MKOA WA MBEYA. NA MBUNGE WAKE NI SPIKA WA BUNGE.

Huyu spika yupo kwenye nafasi hiyo ya uspika na unaibu spika kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Hapa ndio jimboni kwake, yeye ndie anaesimamia vikao vya ujenzi wa barabara kwenda mikoa mingine na maendeleo mengine kwenye mikoa yote Tanzania.

Kuna muda kama wananchi wa mkoa wa Mbeya tunapata aibu sana kuunadi mkoa wetu. watu wengi sana hawajawahi kufika Mbeya na ni mkoa unaojiuza sana mitandaoni.

Mtu anakuja Mbeya na hamu zake za kuuona mkoa afu anakutana na MABWAWA kama haya. Ni mkoa ambao kipindi cha VUMBI inakuwa kasheshe.

Msimu wa matope inakuwa ni kasheshe. Wananchi wa Mbeya hatujawahi kupumzika miaka yote tangu tuzaliwe. Na ukimsikiliza MBUNGE yeye hoja zake ni kwamba yupo karibu na wananchi anahudhuria sana kwenye misiba.

Anamiliki kitega uchumi cha kukopesha wakina mama , analeta mashindano watu wakimbie kimbie kama wamewehuka vichwani. Hizo ndio hoja zake.

Nawaza tuanzishe mfuko kama wananchi tuchange hela tujenge barabara zetu wenyewe maana tunaoteseka ni sisi. Wao wanashinda DAR.

Mvua zikianza mbeya USIJE utajuta, jua likianza mbeya usije utajuta kwa vumbi. Hiyo ndio Mbeya hatutaki wageni tutaona aibu.

Inaumiza sana aisee.

SATIVA17🫡

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA Mbeya Mjini, Tafuteni Mgombea Mwingine

- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi adai mbunge Tulia Ackson ameshindwa kuendeleza mazuri Mbeya

- Kuelekea 2025 - Kinachoendelea Mbeya kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA ni msiba kwa spika Tulia Akson na CCM
M

Anaandika kijana aliyetekwa na kunusrika kuliwa na mamba huko Katavi maarufu kama Sativa.

HUU NI MKOA WA MBEYA. NA MBUNGE WAKE NI SPIKA WA BUNGE.

Huyu spika yupo kwenye nafasi hiyo ya uspika na unaibu spika kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Hapa ndio jimboni kwake, yeye ndie anaesimamia vikao vya ujenzi wa barabara kwenda mikoa mingine na maendeleo mengine kwenye mikoa yote Tanzania.

Kuna muda kama wananchi wa mkoa wa Mbeya tunapata aibu sana kuunadi mkoa wetu. watu wengi sana hawajawahi kufika Mbeya na ni mkoa unaojiuza sana mitandaoni.

Mtu anakuja Mbeya na hamu zake za kuuona mkoa afu anakutana na MABWAWA kama haya. Ni mkoa ambao kipindi cha VUMBI inakuwa kasheshe.

Msimu wa matope inakuwa ni kasheshe. Wananchi wa Mbeya hatujawahi kupumzika miaka yote tangu tuzaliwe. Na ukimsikiliza MBUNGE yeye hoja zake ni kwamba yupo karibu na wananchi anahudhuria sana kwenye misiba.

Anamiliki kitega uchumi cha kukopesha wakina mama , analeta mashindano watu wakimbie kimbie kama wamewehuka vichwani. Hizo ndio hoja zake.

Nawaza tuanzishe mfuko kama wananchi tuchange hela tujenge barabara zetu wenyewe maana tunaoteseka ni sisi. Wao wanashinda DAR.

Mvua zikianza mbeya USIJE utajuta, jua likianza mbeya usije utajuta kwa vumbi. Hiyo ndio Mbeya hatutaki wageni tutaona aibu.

Inaumiza sana aisee.

SATIVA17🫡

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA Mbeya Mjini, Tafuteni Mgombea Mwingine

- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi adai mbunge Tulia Ackson ameshindwa kuendeleza mazuri Mbeya

- Kuelekea 2025 - Kinachoendelea Mbeya kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA ni msiba kwa spika Tulia Akson na CCM
Mbeya ndo mkoa wenye miundombinu mibovu kabisa ya Barabara. Alichofanikiwa Tulia nikuanzisha mikopo ya kausha damu akijinufaisha na umasskini na uhitaji wa wakazi wa mbeya. Tulitegemea kuwepo huko bungeni kama msikamizi wa moja ya mihimili kungesaidia lakini wapi
 

Anaandika kijana aliyetekwa na kunusrika kuliwa na mamba huko Katavi maarufu kama Sativa.

HUU NI MKOA WA MBEYA. NA MBUNGE WAKE NI SPIKA WA BUNGE.

Huyu spika yupo kwenye nafasi hiyo ya uspika na unaibu spika kwa zaidi ya miaka 7 sasa.

Hapa ndio jimboni kwake, yeye ndie anaesimamia vikao vya ujenzi wa barabara kwenda mikoa mingine na maendeleo mengine kwenye mikoa yote Tanzania.

Kuna muda kama wananchi wa mkoa wa Mbeya tunapata aibu sana kuunadi mkoa wetu. watu wengi sana hawajawahi kufika Mbeya na ni mkoa unaojiuza sana mitandaoni.

Mtu anakuja Mbeya na hamu zake za kuuona mkoa afu anakutana na MABWAWA kama haya. Ni mkoa ambao kipindi cha VUMBI inakuwa kasheshe.

Msimu wa matope inakuwa ni kasheshe. Wananchi wa Mbeya hatujawahi kupumzika miaka yote tangu tuzaliwe. Na ukimsikiliza MBUNGE yeye hoja zake ni kwamba yupo karibu na wananchi anahudhuria sana kwenye misiba.

Anamiliki kitega uchumi cha kukopesha wakina mama , analeta mashindano watu wakimbie kimbie kama wamewehuka vichwani. Hizo ndio hoja zake.

Nawaza tuanzishe mfuko kama wananchi tuchange hela tujenge barabara zetu wenyewe maana tunaoteseka ni sisi. Wao wanashinda DAR.

Mvua zikianza mbeya USIJE utajuta, jua likianza mbeya usije utajuta kwa vumbi. Hiyo ndio Mbeya hatutaki wageni tutaona aibu.

Inaumiza sana aisee.

SATIVA17🫡

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA Mbeya Mjini, Tafuteni Mgombea Mwingine

- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi adai mbunge Tulia Ackson ameshindwa kuendeleza mazuri Mbeya

- Kuelekea 2025 - Kinachoendelea Mbeya kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA ni msiba kwa spika Tulia Akson na CCM
Huyo mtekwa Sina hakika kama akili imekaa sawa ila ilitakiwa kabla ya Kulaumu Tulia mwenye miaka 5 Kama. Mbunge wa Mbeya Mjini angeonesha walichofanya Sugu na Chadema Kwa miaka 10..

Barabara za Tulia hizi hapa zinaendelea na ujenzi 👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DA2bxrMNBRK/?igsh=MThiZ2psOTBweGJ5MA==
 
Mbeya naona kuna gen-z wengi saana akina pididi hawapo huko.2025 patachangamka sana pataeleweka ila Arusha naona kama imetekwa na wasiojulikana.
 
Mbona kwa Pinda kuna uwanja wa ndege wa kimataifa,kwa Philip Mpango mambo yamepamba moto,kwa Mwigulu Nchemba ndio usiseme kabisa Tanzania imehamia pale,Chato kwa marehemu kuna ikulu na uwanja wa ndege wa kimataifa.Wewe acha kujifariji kwa siasa mfu zisizo na tija.
uwanja wa ndege katavi haikuwa sababu ya pinda mkuu, ingekuwa hivyo angetandaza barabara za lami mji mzima cha ajabu hadi anaondoka madarakani hakuna barabara za maana zilizo jengwa ni vumbi tupu

uwanja wa ndege wa kimataifa mkuu umedata ndo uwanja wa ndege wa kimataifa unakuwaga vile ama ujawahi hata kufika
 
Huyo dogo kweli hana akili.

Sasa anafikiri kuwa spika ndio kupeleka miradi yote kwenu??

Haoni hayo niatumizi mabaya ya nafasi yake??

Sasa anachokitaka kinatofauti gani na hao anaowapinga kila wakati.

Au kwakuwa kasema yeye basi ni sawa?

Pathetic.
Sativa ana hoja. Wapambe wa Tulia wamekuwa wakitumia nafasi yake ya USPIKA wa Bunge na Urais wa Bunge la Dunia kama sababu ya kuwashawishi watu kuwa ni mtu wa maana kuwa mbunge wa Mbeya Mjini.

Kama angekuwa mtu wa maana mwenye uwezo basi leo Mbeya ingekuwa na barabara nzuri na miradi ya maendeleo.

Kwa hiyo Mbeya haihitaji mbunge ambaye ni Spika kuwa mwakilishi wao.
 
Mbona kama Sativa anajipa Sana umuhimu wenye Hana
Sativa amepiga palepale. Huyu kigagula hatoboi 2025. Uspika wake hausaidii chochote kwa maendeleo ya Mbeya.

Tunahitaji Spika atakaye pigania haki za wana Mbeya Bungeni
 
Kwa taarifa yako hizo kilometre 22 za barabara toka Uyole hadi Songwe, hakuna kinachoendelea kwa zaidi ya miezi 10 sasa
Una uhakika au unaropoka tuu? Harafu nani kukwambia ni km 22?

Mwisho kwani hujui kwamba Kuna km zingine 15 za Tactic,stendi na soko?

Mwambie Sugu aoneshe miaka 10 alijenga kipi? Naona unakuwa mjinga
 
Mbona kama Sativa anajipa Sana umuhimu wenye Hana
TULIA hakubaliki kabisa na wapiga kura wa kawaida ukiacha wapambe wake wachache huko Iduda, Itezi, Igawilo Uyole ambako ndiko wajinga wamejaa. Kama utashindanisha hawa wachovu 2 kati ya Sugu na Tulia nakuhakikishia Sugu ataibuka kidedea
 
Una uhakika au unaropoka tuu? Harafu nani kukwambia ni km 22?

Mwisho kwani hujui kwamba Kuna km zingine 15 za Tactic,stendi na soko?

Mwambie Sugu aoneshe miaka 10 alijenga kipi? Naona unakuwa mjinga
Haijalishi ni kilometres ngapi? Ila kimsingi Mbeya mumetapeliwa tu. Maana Mkandarasi alichofanya ni kupitisha grader toka Uyole hadi Songwe na kutimua vumbi tu. Hakuna kazi inayoendelea, hiyo ndiyo hoja kuu unayopaswa kuijibu achana na urefu wa barabara
 
Back
Top Bottom