Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo wewe boya Bado hujasema Hadi useme.
Hakuna kitu kinaendelea. Kama kuna ujenzi wowote weka picha. Nyie mnameza maneno ya RC Homera!! Wacheni siasa kwenye maendeleo ya mkoaWewe bwege kweli ,Kwa hiyo umesafiri kuanzia Ifisi Hadi Uyole ukakuta hakuna shughuli zinazoendelea? Unajua maana ya ujenzi wa Barabara kwanza ?
Naishi Burundi
Kama yapi hayo ambayo hamjawahi yapata? 😂😂Mbeya, Mbeya,tunahitaji mabadiliko!
Ni wewe tu ndiyo unaona barabara ikijengwa. Sisi tunaona vumbi tu kulia na kushoto mwa barabara. Hata ukikubali kuwa CHAWA wa Tulia, mara nyingine tumia akili yako.Kwa hiyo Mkandarasi anaweza timua vumbi Kwa kujipendea au bila malipo au ikoje?
Wewe ni mjinga kama sio mpumbavu,Kwa nini usiseme kwamba licha ya kutimua vumbi amejenga na anaendelea na ujenzi wa Makalvati na miundombinu mingine?
Kujenga Barabara sio sawa na kujenga madarasa,hapo km 35*2= Zinajengwa
Ndio kwani alijicuagua? Wewe ulitaka wamchague nani? 😂😂😂😂Wananchi gani waamue? Kwani kuna mtu alimchagua Tulia mwaka 2020?? Huyu aliwekwa na Magufuli tu,
Kwani kama hutaki kuona na umechagua kuona vumbi Kuna ubaya gani? Kuna Barabara itajengwa bila vumbi kutimka? 😂😂😂😂Ni wewe tu ndiyo unaona barabara ikijengwa. Sisi tunaona vumbi tu kulia na kushoto mwa barabara. Hata ukikubali kuwa CHAWA wa Tulia, mara nyingine tumia akili yako.
Utakuta una familia halafu kutwa kutetea UJINGA
Ndio kwani alijicuagua? Wewe ulitaka wamchague nani? 😂😂😂😂
Bado hujasema Hadi useme 👇👇
View: https://youtu.be/YvSP-8l3AHg?si=eAC7wyf7kn3z9oGt
Kwani kama hutaki kuona na umechagua kuona vumbi Kuna ubaya gani? Kuna Barabara itajengwa bila vumbi kutimka? 😂😂😂😂
Dalili za kukata tamaa 👇👇
View: https://youtu.be/75M91tAZ9U4?si=VDvelV8gjM-sECrZ
Mlimchagua nani wewe nyumbu? Mnataka Mabadiliko au hamtaki? 😆😆Wana Mbeya hatukumchagua Tulia bali aliwekwa na hawara yake Mwendazake kwa kutumia NEC na POLISI. Tukutane mwaka kesho, patachimbika
Barabara ni madarasa? Kama Mkandarasi hajalipwa atawezaje kutimua vumbi? 😂😂Vumbi miezi 10 ni kielelezo kwamba hakuna fedha za kuemdeleza mradi. Mbeya siyo kipaumbele cha Serikali
Wewe wa roho nzuri weka picha Yako tuone ulivyonenepa 😁😁Hii njiti inakonda kwa roho mbaya
Viwanda vya Ndizi na magimbi!Kama yapi hayo ambayo hamjawahi yapata? 😂😂
Jibu swali ,mnataka Mabadiliko gani ambayo Babu Sugu hakuwaletea Kwa miaka 10? 😀😀Viwanda vya Ndizi na magimbi!
Alileta Mabadiliko ndo maana akina sativa walitekwa kwa ajili ya kuzuia akili kubwa!Jibu swali ,mnataka Mabadiliko gani ambayo Babu Sugu hakuwaletea Kwa miaka 10? 😀😀
Mbeya inahitaji Mbunge, ila siyo Betina wala siyo Sugu
Anaandika kijana aliyetekwa na kunusrika kuliwa na mamba huko Katavi maarufu kama Sativa.
HUU NI MKOA WA MBEYA. NA MBUNGE WAKE NI SPIKA WA BUNGE.
Huyu spika yupo kwenye nafasi hiyo ya uspika na unaibu spika kwa zaidi ya miaka 7 sasa.
Hapa ndio jimboni kwake, yeye ndie anaesimamia vikao vya ujenzi wa barabara kwenda mikoa mingine na maendeleo mengine kwenye mikoa yote Tanzania.
Kuna muda kama wananchi wa mkoa wa Mbeya tunapata aibu sana kuunadi mkoa wetu. watu wengi sana hawajawahi kufika Mbeya na ni mkoa unaojiuza sana mitandaoni.
Mtu anakuja Mbeya na hamu zake za kuuona mkoa afu anakutana na MABWAWA kama haya. Ni mkoa ambao kipindi cha VUMBI inakuwa kasheshe.
Msimu wa matope inakuwa ni kasheshe. Wananchi wa Mbeya hatujawahi kupumzika miaka yote tangu tuzaliwe. Na ukimsikiliza MBUNGE yeye hoja zake ni kwamba yupo karibu na wananchi anahudhuria sana kwenye misiba.
Anamiliki kitega uchumi cha kukopesha wakina mama , analeta mashindano watu wakimbie kimbie kama wamewehuka vichwani. Hizo ndio hoja zake.
Nawaza tuanzishe mfuko kama wananchi tuchange hela tujenge barabara zetu wenyewe maana tunaoteseka ni sisi. Wao wanashinda DAR.
Mvua zikianza mbeya USIJE utajuta, jua likianza mbeya usije utajuta kwa vumbi. Hiyo ndio Mbeya hatutaki wageni tutaona aibu.
Inaumiza sana aisee.
SATIVA17🫡
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - CHADEMA Mbeya Mjini, Tafuteni Mgombea Mwingine
- Kuelekea 2025 - Joseph Mbilinyi adai mbunge Tulia Ackson ameshindwa kuendeleza mazuri Mbeya
- Kuelekea 2025 - Kinachoendelea Mbeya kamatakamata ya viongozi wa CHADEMA ni msiba kwa spika Tulia Akson na CCM
Kwani hilo jimbo lilianza wakati wa Sugu?Jibu swali ,mnataka Mabadiliko gani ambayo Babu Sugu hakuwaletea Kwa miaka 10? 😀😀
Ngoja tuje tulikulia Mbeje na wenye Mbeya,tukutane Mwakani,nikiwa mgombea huru!Mbeya inahitaji Mbunge, ila siyo Betina wala siyo Sugu