Pre GE2025 SATIVA: Mbeya Mjini Haina Faida kuwa na Mbunge Ambaye ni Spika

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Naunga mkono hoja
 
Kwani hilo jimbo lilianza wakati wa Sugu?
Kipindi cha Tulia unabaki ku share maendeleo ya kwenye michoro kwenye makaratasi wakati ukienda ground kila kitu zero
Hawa ndio chawa wa CCM mjomba wake Mwashambwa na shangazi Yao tlatlaah! wao mapambio ya kusifu hata watu walitekwa!
 


Spika kaegesha tu siyo? Wewe Savita wenzio watakusavita. Unaiga simba tundu lissu? Na wewe umeondolewa uoga?
 
Weka picha kama alivyoweka mtoa mada, vinginevyo na wewe wa ukae utakuwa ni mfanyakazi wa TULIA TRUST tu kama alivyo ChoiceVariable au Lucas Mwashambwa

Wanyiha watatu mazumbukuku
Sina sababu ya kuwa chawa kwani hiyo Tulia hanisaidii chochote kwenye maisha yangu ila ninachoongea nimekishuhudia kwa macho yangu kwa sasa nipo Dar keshokutwa nitakapoludi nitapiga picha na kuziweka humu Mkuu
 
Mlimchagua nani wewe nyumbu? Mnataka Mabadiliko au hamtaki? πŸ˜†πŸ˜†
Nafuu kuwa nyumbu kuliko kumuunga mkono mtu anawaletea marathon, mashindano ya ngoma na juzi Hamlets Zuchu.

Tulia AMEWADHARAU sana Wanyakyusa, Wasafwa, Wakinga na Wanyiha
 
Sina sababu ya kuwa chawa kwani hiyo Tulia hanisaidii chochote kwenye maisha yangu ila ninachoongea nimekishuhudia kwa macho yangu kwa sasa nipo Dar keshokutwa nitakapoludi nitapiga picha na kuziweka humu Mkuu
Sawa,usiwe chawa ni mdudu mchafu na sio sifa NJEMA kuwa dudu chawa.
 
SATIVA ni nani ndani hii nchi hadi asikilizwe
 
Sina sababu ya kuwa chawa kwani hiyo Tulia hanisaidii chochote kwenye maisha yangu ila ninachoongea nimekishuhudia kwa macho yangu kwa sasa nipo Dar keshokutwa nitakapoludi nitapiga picha na kuziweka humu Mkuu
Usisahau kupiga picha na kuweka humu. Nitakukumbusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…