Sativa225 (Edgar Mwakabela) kijana maarufu kwa kukosoa serikali X apatikana, baada ya kutekwa na ‘watu wasiojulikana’

Clip tu kuingalia inasikitisha but lijitu linaacha kumpeleka hospitali linamuuliza maswali ya ki wack
 

HAWA WANYAKYUSA HUWA NI WAKAIDI WAMESHINDWA KABISA UCHAWA WAPUUZI HAWA. MNASHINDWA KUJIPENDEKEZA MUENDELEZE MKOA WENU?????????????????KWA NINI HILI KABILA WABISHI SANA?
 
Hapo wanapanga kumpelekw police kwanza kabla ya kumfikisha hospitali!
Unbelievable.
Hospitali zetu unaweza kumfikisha wakakataa kumtibu mpaka awe na PF3


Kuna jamaa yetu alishavamiwa akachomwa na visu tumekimbia police haraka kupitia pf3 hapo tumepanic balaa akatoka askari ile tunamwambia tuandike haraka jamaa linajibu "huyo mbona bado mpya, hata hajapigwa sana, Kuna watu wanaletwa hapa wamechakaa" 😃
 
Shughuli kuu ya vyombo vya habari duniani kusema mazuri ya Serikali.Ikikosoa tu kesho leseni haipo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…