Saud Arabia, UAE, USA na Israel Kushambulia Al Hudaida Yemen ili Kumuokoa Israel

Jamaa hata historia ya mzozo wa Mashariki ya kati nahisi hajaujua vizuri.
Syria imeanza kuandamwa toka 1950s tumuulize atupe jibu je hao Iran walikuaje kipindi hiko!?
 
1. Lete tafsiri ya neno gaidi hapa huenda umelishwa sumu na nchi zinazounga mkono ushoga LGBTQ.
 
Hata Hezbollah mlituambia hivyo hivyo, lakini makamanda wao walianza kupukutika katika wiki ya kwanza tu, afadhali hata Hamas kamanda wao amekufa na silaha begani huku akiirushia ukuni drone, hata kama alikufa mdomo wazi
Uliza saivi mziki Hezbollah kwa wanajua taarifa yaan tenki linaungua huku wanarekodiwa fuatilia habari telegram kwa channel zao
 
Uliza saivi mziki Hezbollah kwa wanajua taarifa yaan tenki linaungua huku wanarekodiwa fuatilia habari telegram kwa channel zao
Hiyo vita wanaipigania kwenye ardhi gani, Israel au Lebanon? Yaani mapambano yanafanyikia nyumbani kwako, halafu unajiita mziki mnene? 😁😁😁
 
Hiyo vita wanaipigania kwenye ardhi gani, Israel au Lebanon? Yaani mapambano yanafanyikia nyumbani kwako, halafu unajiita mziki mnene? 😁😁😁
Acha ubishi kijana kwani hujui vita inapigania kote hata hizbo nao wanapiga ndani ya Israel mpaka gay viv na haifa hapakaliki?
 
Hata Hezbollah mlituambia hivyo hivyo, lakini makamanda wao walianza kupukutika katika wiki ya kwanza tu, afadhali hata Hamas kamanda wao amekufa na silaha begani huku akiirushia ukuni drone, hata kama alikufa mdomo wazi
Hezbollah ni Chama cha Kisiasa na na kundi la kijeshi, wanasiasa wengi wameuliwa ila jeshini wapi vizuri mpaka leo, just juzi Israel ka Admit 80 wamefariki, kwa jinsi wanavyoficha no hao Israel jua hapo ni Mamia ama zaidi ya 1000 washalambishwa mchanga, na jamaa kila tukio wanarecord na kupost online hakuna kupepesa.
 
Sasa kati ya Ayatola mmoja na wanajeshi 100 wa Irani, yupi unadhani akiuliwa dunia itatikisika?
 
Hao Saudi Arabia na UAE ndio waislam wewe kapuku umedandia tu lifti na utakuja kutelemshwa muda si mrefu. Waafrika na uislam wapi na wapi.

Hao Saudi Arabia na UAE wanaijua mashariki ya kati kuliko wewe unayeiga kunya kwa tembo na wanafahamu fika kwamba Israel pale ni kwake na ndio maana huoni wakihangaika naye.
 
We kweli hazikutoshi Algeria, Oman, Yemen, Libya hizo sio nchi za kiarabu? Wananchi wa Jordan na Egypt wanailani Israel wachana na vibaraka ndio wanafiki hao viongozi.
 
Chuki dhidi ya waisilam imekujaa mpaka mkunduni jiangalie usije ukapasuka mjinga ww.
Ukiutetea uislam kwa kutukana matusi machafu namna hii na hasira ,, unadhihirisha uislam na waislam walivyo wa hovyo na hatari kwa dunia. Nawaza tu,, huyu mtu uliyemtukana kiasi hiki mngekutana umgemuua hadharani kumtetea Allah wako.
 
Kuna Zayuni gani kule Msumbiji ambapo magaidi wa Ansar al-Sunna wamechinja watu wasio na hatia wengi mnoo?!

Uhalisia ni kuwa bila magaidi dunia ingekuwa mahali salama sana
Hakuna sehemu yenye Mali Africa ambapo mzayuni/Beberu hayupo, Tatizo lenu mnaangalia mgambo waliopo front line na mnajiziba macho na masikio kuangalia nani yupo nyuma ya hao mgambo.

Hao magaidi wametokea immediately baada ya kugundulika mafuta/Gesi kama maeneo mengine Africa hebu Soma hizi Article kama unataka ujielimishe, even though najua yataingia sikio hili yatoke sikio la kule




 
Warabu wapi na Uislam wapi hivi wewe akilini kwako unadhani kila anaye sema yeye ni Muislam ni Muislam haswa akiwa mwarabu.
Huyo kiongozi wa Saud Arabia na UAE siwezi kuingilia affairs zao laki kama wanaifahamu dini kweli ya kislamu? Sidhani hata wanaweza kunizidi mimi haha wakinifikia mimi 50% hawawezi kuipa support Israel hata siku moja, au kusema Israel ni kwake hapo.

Anaye sema Israel ndio inahaki pale Jerusalem au kama tunavyo ita sisi wa Islam Al Quds huyo hawezi kuwa Muislam ni mnafiki tu.
 
Endelea kuteseka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…