Saud Arabia, UAE, USA na Israel Kushambulia Al Hudaida Yemen ili Kumuokoa Israel

Saud Arabia, UAE, USA na Israel Kushambulia Al Hudaida Yemen ili Kumuokoa Israel

Sasa kati ya Ayatola mmoja na wanajeshi 100 wa Irani, yupi unadhani akiuliwa dunia itatikisika?
Mkuu wewe sio mwanajeshi, ila vaa viatu vya mwanajeshi, kiongozi wako yupo Miami huko anakula bata, Mtoto wake yupo salama nyie kila siku mnapewa kichapo wenzenu wanakufa, lazima Morale iwe chini.

At same time wewe ni mwanajeshi ila kiongozi wako yupo Frontline anauliwa, Morale lazima iwe juu.

Just imagine hapo Gaza hawana Chochote kile wanatumia hadi mabomba ya maji kutengeneza silaha, kila kitu kinatengenezwa kienyeji, wamezungukwa kila upande then wanapigana na Jeshi linalosaidiwa na Taifa Tajiri zaidi Duniani kwa zaidi ya mwaka na bado wanapelekea Moto Balaa.
 
Yaani vita isingekuwa inazingatia misingi ya haki za binadamu, Palestina, Lebanon na Yemen kwa sasa zingekuwa zishafumuliwa...
 
Adui atabaki kuwa adui hata wimbo wao wa taifa la Israel unasema warabu ni madui zao. Vipi hawa Saud Arabia, UAE, Jordan, Egypt na Morocco wanawaona ni bora kuliko Hamasi na Hezbullah, ajabu sana hi dunia adui una
Hata wimbo wao wa Taifa la Israel unasema, waarabu ni maadui zao!

Halafu mshenzi mmoja aseme kuwekwe sijui mapatano sjiui mikataba ya Amani...!

Endeleeni kuamini hiyo kitu

Waraabu watapigwa mpaka wachakae
 
Hata wimbo wao wa Taifa la Israel unasema, waarabu ni maadui zao!

Halafu mshenzi mmoja aseme kuwekwe sijui mapatano sjiui mikataba ya Amani...!

Endeleeni kuamini hiyo kitu

Waraabu watapigwa mpaka wachakae
We hujui US anavyo tapa tapa kumukoa Israel kila mda ukienda Israel inazidi kudharaulika. US na UK walilipandikiza hilo taifa kwa agenda zao, wanaogopa lisipotee na mimi nasema Hezbullah, Hamasi, Yemen na Iran kamatieni hapo hapo msikubali kudangan'ywa na Qatar na Egypt.
 
Adui mkubwa wa nchi za kiarabu ni Iran na magenge yake ya kigaidi, siyo Israel.

Israel ipo front line kumwangamiza adui wa ustaarabu Duniani, Iran. Nyuma ya Israel kuna mataifa yote ya Kiarabu yanayochukia ugaidi.

Hutasikia hata siku moja, kuna nchi ya kiarabu imeilaani Israel kwa kuwatwanga magaidi ya Hezbollah, Houth au Hamas. Concerns zao ni vifo vya raia.
Mimi sijawahi kuelewa concept ya ugaidi kabisa, mfano Israel ilisupport ISIS kumpindua Al Assad ila haikuitwa ugaidi, haya USA wana support waasi wa Libya hawaitwi kusponsor ugaidi same case US ili support Taliban kupambana na uvamizi wa Urusi 1970s ila haikuitwa kudhamini ugaidi. Achilia mbali USA ilisuppport Savimbi huko Angola, Ila muarabu akisponsor kikundi hicho hicho anaitwa Anasupport ugaidi.

Mbona ni kama kuna double standards
 
Hao Houth Toka USA awatwange na midege mipya sijawasikia tena miez mi2 sasa
 
Adui mkubwa wa nchi za kiarabu ni Iran na magenge yake ya kigaidi, siyo Israel.

Israel ipo front line kumwangamiza adui wa ustaarabu Duniani, Iran. Nyuma ya Israel kuna mataifa yote ya Kiarabu yanayochukia ugaidi.

Hutasikia hata siku moja, kuna nchi ya kiarabu imeilaani Israel kwa kuwatwanga magaidi ya Hezbollah, Houth au Hamas. Concerns zao ni vifo vya raia.
Vipi kuhusu Israeli kuchukua maeneo ya Palestine nalo wanaribariki hao waarabu wanaoiunga mkono Israeli?
 
Adui mkubwa wa nchi za kiarabu ni Iran na magenge yake ya kigaidi, siyo Israel.

Israel ipo front line kumwangamiza adui wa ustaarabu Duniani, Iran. Nyuma ya Israel kuna mataifa yote ya Kiarabu yanayochukia ugaidi.

Hutasikia hata siku moja, kuna nchi ya kiarabu imeilaani Israel kwa kuwatwanga magaidi ya Hezbollah, Houth au Hamas. Concerns zao ni vifo vya raia.
Vipi kuhusu Israeli kuchukua maeneo ya Palestine nalo wanaribariki hao waarabu wanaoiunga mkono Israeli?
 
Habari ndio hio Al Hourh wa Yemen wamepeleka majeshi yao Al Hudaida bada ya kusikia fununu Saud Arabia. UAE. USA na Israel wamejipanga kuishambulia Al Hudaida. Saud Arabia kisha jiandaa na ground forcei na Air force wao ndio watanza kushambulia pamoja na UAE, na kuna fununu pia USA na Israel wameisha peleka askari Sourh Yemen, ili wamsaidie Israel. Hali imekuwa tete huko Israel. Hizo nchi zinataka kuondoa majeshi ya Yemen ya Al Houth pale Red Sea, sababu wamejua kumkaba Israel kwenye koo pale Red Sea.

Mimi naona Saud Arabia na UAE wanataka kupotezwa na US itakula kwao. Israel hatawasaidia kabisa maishani kwao. Adui atabaki kuwa adui hata wimbo wao wa taifa la Israel unasema warabu ni madui zao. Vipi hawa Saud Arabia, UAE, Jordan, Egypt na Morocco wanawaona ni bora kuliko Hamasi na Hezbullah, ajabu sana hi dunia adui una muona rafiki na adui una muona rafiki.
Siku nyingine ukiona umeshiba sana jitahidi kufanya mazoezi ya nguvu kidogo.
 
Mimi naona Saud Arabia na UAE wanataka kupotezwa na US itakula kwao. Israel hatawasaidia kabisa maishani kwao. Adui atabaki kuwa adui hata wimbo wao wa taifa la Israel unasema warabu ni madui zao. Vipi hawa Saud Arabia, UAE, Jordan, Egy
Wewe Mswahili wa Ikwiriri ni kitu gani kinachokuuma wakati hao uadui wao ni wa kindugu.
 
Habari ndio hio Al Hourh wa Yemen wamepeleka majeshi yao Al Hudaida bada ya kusikia fununu Saud Arabia. UAE. USA na Israel wamejipanga kuishambulia Al Hudaida. Saud Arabia kisha jiandaa na ground forcei na Air force wao ndio watanza kushambulia pamoja na UAE, na kuna fununu pia USA na Israel wameisha peleka askari Sourh Yemen, ili wamsaidie Israel. Hali imekuwa tete huko Israel. Hizo nchi zinataka kuondoa majeshi ya Yemen ya Al Houth pale Red Sea, sababu wamejua kumkaba Israel kwenye koo pale Red Sea.

Mimi naona Saud Arabia na UAE wanataka kupotezwa na US itakula kwao. Israel hatawasaidia kabisa maishani kwao. Adui atabaki kuwa adui hata wimbo wao wa taifa la Israel unasema warabu ni madui zao. Vipi hawa Saud Arabia, UAE, Jordan, Egypt na Morocco wanawaona ni bora kuliko Hamasi na Hezbullah, ajabu sana hi dunia adui una muona rafiki na adui una muona rafiki.
Hizi ndo habari hua mnapeana baada ya kutoka kuswali shekhe?
Ina onekana we ni mmbobevu haswa wa masuala ya Mashariki ya mbali yaani Chambuzi
 
Hao Houth Toka USA awatwange na midege mipya sijawasikia tena miez mi2 sasa
Huwezi wasikia sababu husikilizi habari siku tatu nyuma wamezitia kiberiti meli tatu za mazayuni
Hizi ni hoja mfu, uchoko uliopamba moto Zanzibar na Mombasa napo ni Israel?
Hoja mfu sababu mnatetea kufirana lini ulisikia huko wanaeka gwaride lakusapoti uchoko na kufirana au bungeni kupitisha ndoa za kufirana
 
Back
Top Bottom