Saud Arabia, UAE, USA na Israel Kushambulia Al Hudaida Yemen ili Kumuokoa Israel

Saud Arabia, UAE, USA na Israel Kushambulia Al Hudaida Yemen ili Kumuokoa Israel

Chuki dhidi ya waisilam imekujaa mpaka mkunduni jiangalie usije ukapasuka mjinga ww.
Shehe ubwabwa katika ubora wake na akifuata kikamilifu mafundisho ya mtume (saw). Nothing to worry about.
 
Chuki dhidi ya waisilam imekujaa mpaka mkunduni jiangalie usije ukapasuka mjinga ww.
Shehe ubwabwa katika ubora wake na akifuata kikamilifu mafundisho ya mtume (saw). Nothing to worry about.
 
Kwa hiyo Sudan kuna zayuni. Congo kuna zayuni Somalia na alshabab kuna zayuni. Vita mliyopigana na Uganda aliileta zayuni vipi Russia na Ukraine je? Njoo North korea pia kuna zayuni ..rudi Boko haram kote kuna Zayuni . Hapo msumbiji pia napo kuna Zayuni Sasa ukishaosha ndevu zako jiulize kwenye hizo conflicts ngapi zipo affiliated na dini ile??!...japo nakujua huwezi kudadavua chochote zaidi ya kuja na matusi.
Kijana sijawahi kumtukana mtu nisiemjua mitandaoni na wala sijawahi kumtukana mtu nnaemjua mitaani kiufupi wazazi wangu wamenilea vyema matusi sio sehemu ya maisha yangu ila nakwambia ukweli ukiwa huna akili kama wewe nitakwambia Sudan mgogoro ulianza baada ya Russia kutaka kujenga kambi ya jeshi la majini kikundi cha wazayuni wa marekani na ulaya kikamind na kule ukraine wazayuni wa ulaya na marekani baada ya kutaka kufanya utanuzi wa NATO kuielekea Russia ndio unakiona kinachotokea leo hii kongo wazayuni wanagombania malighafi ndio maana hakuna amani tokea 90s Somalia baada ya wazayuni wa marekani kupigwa 94 kama sijakosea ndio wazayuni wamarekani wakanzishia hapo zengwe msumbiji kulikua na amani mpaka wazayuni walipo gundua mafuta wakapeleka zengwe ili waibe mafuta ya watu North Korea zayuni aliingia mwaka 50s akafanya uharibifu mpaka leo hajataka kuiacha nakuongezea na Venezuela zayuni kaiekea vikwazo watu wanakufa tu na njaa nakuongezea na Cuba zayuni kafanya watu wafe kwa maradhi wewe huna akili kakojoe ukalale
 
Kwa hiyo Sudan kuna zayuni. Congo kuna zayuni Somalia na alshabab kuna zayuni. Vita mliyopigana na Uganda aliileta zayuni vipi Russia na Ukraine je? Njoo North korea pia kuna zayuni ..rudi Boko haram kote kuna Zayuni . Hapo msumbiji pia napo kuna Zayuni Sasa ukishaosha ndevu zako jiulize kwenye hizo conflicts ngapi zipo affiliated na dini ile??!...japo nakujua huwezi kudadavua chochote zaidi ya kuja na matusi.
Kijana sijawahi kumtukana mtu nisiemjua mitandaoni na wala sijawahi kumtukana mtu nnaemjua mitaani kiufupi wazazi wangu wamenilea vyema matusi sio sehemu ya maisha yangu ila nakwambia ukweli ukiwa huna akili kama wewe nitakwambia Sudan mgogoro ulianza baada ya Russia kutaka kujenga kambi ya jeshi la anga kikundi cha wazayuni wa marekani na ulaya kikamind na kule ukraine wazayuni wa ulaya na marekani baada ya kutaka kufanya utanuzi wa NATO kuielekea Russia ndio unakiona kinachotokea leo hii kongo wazayuni wanagombania malighafi ndio maana hakuna amani tokea 90s Somalia baada ya wazayuni wa marekani kupigwa 94 kama sijakosea ndio wazayuni wamarekani wakanzishia hapo zengwe msumbiji kulikua na amani mpaka wazayuni walipo gundua mafuta wakapeleka zengwe ili waibe mafuta ya watu North Korea zayuni aliingia mwaka 50s akafanya uharibifu mpaka leo hajataka kuiacha nakuongezea na Venezuela zayuni kaiekea vikwazo watu wanakufa tu na njaa nakuongezea na Cuba zayuni kafanya watu wafe kwa maradhi wewe huna akili kakojoe ukalale
 
Chuki dhidi ya waisilam imekujaa mpaka mkunduni jiangalie usije ukapasuka mjinga ww.
Shehe ubwabwa katika ubora wake na akifuata kikamilifu mafundisho ya mtume (saw). Nothing to worry about.
 
Kijana sijawahi kumtukana mtu nisiemjua mitandaoni na wala sijawahi kumtukana mtu nnaemjua mitaani kiufupi wazazi wangu wamenilea vyema matusi sio sehemu ya maisha yangu ila nakwambia ukweli ukiwa huna akili kama wewe nitakwambia Sudan mgogoro ulianza baada ya Russia kutaka kujenga kambi ya jeshi la anga kikundi cha wazayuni wa marekani na ulaya kikamind na kule ukraine wazayuni wa ulaya na marekani baada ya kutaka kufanya utanuzi wa NATO kuielekea Russia ndio unakiona kinachotokea leo hii kongo wazayuni wanagombania malighafi ndio maana hakuna amani tokea 90s Somalia baada ya wazayuni wa marekani kupigwa 94 kama sijakosea ndio wazayuni wamarekani wakanzishia hapo zengwe msumbiji kulikua na amani mpaka wazayuni walipo gundua mafuta wakapeleka zengwe ili waibe mafuta ya watu North Korea zayuni aliingia mwaka 50s akafanya uharibifu mpaka leo hajataka kuiacha nakuongezea na Venezuela zayuni kaiekea vikwazo watu wanakufa tu na njaa nakuongezea na Cuba zayuni kafanya watu wafe kwa maradhi wewe huna akili kakojoe ukalale
Hizi ni porojo tu za masjid ubwabwa. Waislam kabisa wa kweli wanaolinda utamaduni wao, acha nyie feki mlioingizwa chaka, hawana shida na mataifa hayo.
 
Hizi ni porojo tu za masjid ubwabwa. Waislam kabisa wa kweli wanaolinda utamaduni wao, acha nyie feki mlioingizwa chaka, hawana shida na mataifa hayo.
Si kama zile mnazopewa kanisani kwamba mupakatane au
 
Hizi ni porojo tu za masjid ubwabwa. Waislam kabisa wa kweli wanaolinda utamaduni wao, acha nyie feki mlioingizwa chaka, hawana shida na mataifa hayo.
Si kama zile mnazopewa kanisani kwamba mupakatane au
 
Sasa mimi ntajua wapi hiyo Lugha ya Kigeni ya kusomea Quruani?!
Subhanallah Mwenyezi Mungu anamiujiza nyie wacheni, dini yake unakuta kipofu anaisoma Qur'an tena kaihifadhi na unakuta mchina, mjapani, mkorea wanaifahamu Qur'an kuliko warabu wengine.

Wacha sisi tulio zaliwa kwenye Uislam, tena anakutfsiria kuliko aliye zaliwa uarabuni. We unadhani wale warabu wanaelewa Qur'ani hata kama ni lugha yao? Trust me hawaelewi sababu Mungu kajalia Qur'an inaingia kwa watu wenye iman tu. Awe msukuma au mnyemwezi kitu muhimi Imani yake, Allahu Akbariii.

Unaweza kumkuta Mpakistani anaitafsiri Qur'an kuliko mwarabu ambaye ni lugha yake. Kamsikilize Othman Maalimu anavyo itafsiri na kuisoma Qur'an unaweza kusema huyu ni Mwarabu kumbe hata uarabu hana, lakini imani yake Mungu ndio kamjalia kuliko warabu walio zaliwa Saud Arabia au nchi zingine za kiarabu.


Hivi kuna kipofu anaweza kusoma bibilia 😄
 
Kwa hiyo Sudan kuna zayuni. Congo kuna zayuni Somalia na alshabab kuna zayuni. Vita mliyopigana na Uganda aliileta zayuni vipi Russia na Ukraine je? Njoo North korea pia kuna zayuni ..rudi Boko haram kote kuna Zayuni . Hapo msumbiji pia napo kuna Zayuni Sasa ukishaosha ndevu zako jiulize kwenye hizo conflicts ngapi zipo affiliated na dini ile??!...japo nakujua huwezi kudadavua chochote zaidi ya kuja na matusi.
Wapo kote hao we akili yako Zionist ni nani si ndio hao kina Biden.



View: https://youtube.com/shorts/kU3ZerU8gug?si=D0YYwMCWNiZ59yyC
 
kobaz wanaumia sana kusikia el sisi wa misri mama yake ni myahudi asili ya algeria kama sikosei. na leo, Israel kapitisha meli ya vita mfereji wa suez pale kuelekea kwa wahuthi. soon maji wataita mma.
 
Kwa hiyo Sudan kuna zayuni. Congo kuna zayuni Somalia na alshabab kuna zayuni. Vita mliyopigana na Uganda aliileta zayuni vipi Russia na Ukraine je? Njoo North korea pia kuna zayuni ..rudi Boko haram kote kuna Zayuni . Hapo msumbiji pia napo kuna Zayuni Sasa ukishaosha ndevu zako jiulize kwenye hizo conflicts ngapi zipo affiliated na dini ile??!...japo nakujua huwezi kudadavua chochote zaidi ya kuja na matusi.
Najua umeandika bila kujua, ila cha ajabu comment yako ipo sahihi, nimeandika huko juu naandika na hapa. Israel yupo behind migogoro karibia yote Africa, Usifikiri Kina Mandela, Nyerere na viongozi wengine wenye Busara wanawapinga for nothing.

Kuna watu wawili unatakiwa uwafahamu kama mtu kutoka Africa
1. Dan Gertler
2. Ben Steinmez

1. Dan Gertler kwa jina Jengine anaitwa Master of cobalt, ndio mtu ambaye yupo nyuma ya migodi mingi ya Cobalt na shaba, vita vingi Congo, ukisikia watoto wadogo wanatumikishwa, watu wanapata kansa na migogor mbalimbali ya sehemu kama Congo huyu jamaa ndio yupo Nyuma, Even mataifa marafiki ya Israel kama Marekani huyu jamaa amekuwa sanctioned, mpaka Un Kofi Annan alilalamika sana Jinsi anavyoiibia Congo matrilioni ya Hela.
Hawa ndio wafanyakazi wake

images (53).jpeg


2. Ben Steinmez, huyu mzee wa Blood Diamond, Sierra lion, Guinea, Congo nenda Nchi yoyote watu wanaouana kwa ajili ya Almasi jamaa yupo Nyuma yake, Kampuni yake ni katika Kampuni zinazohodhi Almasi Duniani.

Wakienda Nchi za Ulaya wanakamatwa ila wanakimbilia Israel kukwepa hukumu kama Mabilionea wengi wa Israel wanavyofanya.

Hapo Sudan usisahau mwezi wa 9 Tu Netanyahu aliinua Ramani kuhusu the so called "Blessing" na "Cursed" akaleta mgogoro mkubwa tu kuhusu Sudan na anaowasuport.
AP24271500593026-e1727446901211-640x400.jpg


Hivyo ndio, bila kujijua umeitaja migogoro ya Africa ambayo mabwana zako wanahusika.
 
We hujui US anavyo tapa tapa kumukoa Israel kila mda ukienda Israel inazidi kudharaulika. US na UK walilipandikiza hilo taifa kwa agenda zao, wanaogopa lisipotee na mimi nasema Hezbullah, Hamasi, Yemen na Iran kamatieni hapo hapo msikubali kudangan'ywa na Qatar na Egypt.
"The days are coming,’ declares the Lord, ‘when I will bring my people Israel and Judah back from captivity[a] and restore them to the land I gave their ancestors to possess,’ says the Lord.”

 
Bila zayuni dunia ingekua mahala salama na mashariki ya kati pia
Wakati wa Magufuli kulikua na kikundi cha kidini Kibiti pale, Zayuni gani alihusika? Boko haramu Nigeria wanabaka hadi watoto wa shule tena ya msingi, Zayuni gani anahusika? Pale Somalia wameuana weee since mwanzoni mwa miaka ya 90 na sasa wanaua Kenya watakavyo, Yahudi gani anahusika? Wamewahi kutega mabomu kwenye train Spain, France na wote hawa wakiisha ua wanatamka, "Allah akibaru" Myahudi gani anaehusika? Unatumia google mali ya Myahudi, upo WhatsApp, FB, una ana address ya Gmail, yahoo zote hizo mali ya Yahudi. Haya nambie nini tumekipata kutoka kwa magaidi?
 
Kijana sijawahi kumtukana mtu nisiemjua mitandaoni na wala sijawahi kumtukana mtu nnaemjua mitaani kiufupi wazazi wangu wamenilea vyema matusi sio sehemu ya maisha yangu ila nakwambia ukweli ukiwa huna akili kama wewe nitakwambia Sudan mgogoro ulianza baada ya Russia kutaka kujenga kambi ya jeshi la majini kikundi cha wazayuni wa marekani na ulaya kikamind na kule ukraine wazayuni wa ulaya na marekani baada ya kutaka kufanya utanuzi wa NATO kuielekea Russia ndio unakiona kinachotokea leo hii kongo wazayuni wanagombania malighafi ndio maana hakuna amani tokea 90s Somalia baada ya wazayuni wa marekani kupigwa 94 kama sijakosea ndio wazayuni wamarekani wakanzishia hapo zengwe msumbiji kulikua na amani mpaka wazayuni walipo gundua mafuta wakapeleka zengwe ili waibe mafuta ya watu North Korea zayuni aliingia mwaka 50s akafanya uharibifu mpaka leo hajataka kuiacha nakuongezea na Venezuela zayuni kaiekea vikwazo watu wanakufa tu na njaa nakuongezea na Cuba zayuni kafanya watu wafe kwa maradhi wewe huna akili kakojoe ukalale
You are too emotional bro. Kwa nini kila mzungu anapotia pua unamlink na mzayuni? Ushawahi kufuatilia walichokipia hao unaita wazayuni walipokuwa ulaya? Hao jamaa Acha wajilinde tu. Kwa cost yoyote ile Hawajawai onwards ile furaha uko nayo

Fuatilia kwenye zile camp za Hitler walichokipitia utajua kwa nini hawatakiuchezee uwepo wao.
 
Kijana sijawahi kumtukana mtu nisiemjua mitandaoni na wala sijawahi kumtukana mtu nnaemjua mitaani kiufupi wazazi wangu wamenilea vyema matusi sio sehemu ya maisha yangu ila nakwambia ukweli ukiwa huna akili kama wewe nitakwambia Sudan mgogoro ulianza baada ya Russia kutaka kujenga kambi ya jeshi la majini kikundi cha wazayuni wa marekani na ulaya kikamind na kule ukraine wazayuni wa ulaya na marekani baada ya kutaka kufanya utanuzi wa NATO kuielekea Russia ndio unakiona kinachotokea leo hii kongo wazayuni wanagombania malighafi ndio maana hakuna amani tokea 90s Somalia baada ya wazayuni wa marekani kupigwa 94 kama sijakosea ndio wazayuni wamarekani wakanzishia hapo zengwe msumbiji kulikua na amani mpaka wazayuni walipo gundua mafuta wakapeleka zengwe ili waibe mafuta ya watu North Korea zayuni aliingia mwaka 50s akafanya uharibifu mpaka leo hajataka kuiacha nakuongezea na Venezuela zayuni kaiekea vikwazo watu wanakufa tu na njaa nakuongezea na Cuba zayuni kafanya watu wafe kwa maradhi wewe huna akili kakojoe ukalale
You are too emotional bro. Kwa nini kila mzungu anapotia pua unamlink na mzayuni? Ushawahi kufuatilia walichokipia hao unaita wazayuni walipokuwa ulaya? Hao jamaa Acha wajilinde tu. Kwa cost yoyote ile Hawajawai kua na ile furaha uko nayo

Fuatilia kwenye zile camp za Hitler walichokipitia utajua kwa nini hawatakiuchezee uwepo wao.
 
Back
Top Bottom