Saud Arabia, UAE, USA na Israel Kushambulia Al Hudaida Yemen ili Kumuokoa Israel

Mkiambiwa wakristo wengi mmepotoka unabisha huko juu nimeelezea tafuta koment yangu sirudi Google waarabu wamekuletea nini uache ufinyu wa kufikiria bila mazayuni dunia ingekua kama peponi
 
Mkiambiwa wakristo wengi mmepotoka unabisha huko juu nimeelezea tafuta koment yangu sirudi Google waarabu wamekuletea nini uache ufinyu wa kufikiria bila mazayuni dunia ingekua kama peponi
 
Mkiambiwa wakristo wengi mmepotoka unabisha huko juu nimeelezea tafuta koment yangu sirudi Google waarabu wamekuletea nini uache ufinyu wa kufikiria bila mazayuni dunia ingekua kama peponi
 
Ulitaka aseme kuwa ni Muislam ? Stone kisser? Mfuasi wa dini ya Waislam waongo?
Bibilia inalitukuza jiwe Jeusi. We kaa na ujinga wako tu.

Petro 2:4-5:11
Neno: Bibilia Takatifu
Jiwe Hai Na Taifa Takatifu
4 Basi, njooni kwake yeye aliye Jiwe lililo hai, ambalo lili kataliwa na watu bali kwa Mungu ni teule na la thamani kubwa. 5 Ninyi pia, kama mawe hai mjengwe kuwa nyumba ya kiroho, mpate kuwa makuhani watakatifu, mkitoa sadaka za kiroho zinazokubaliwa na Mungu kwa njia ya Yesu Kristo. 6 Kwa maana imeandikwa katika Maandiko: “Tazama, ninaweka jiwe kuu la msingi huko Sayuni; jiwe la pembeni teule na la thamani kubwa, na kila amwaminiye hataaibika.” 7 Kwenu ninyi mnaoamini, yeye ni wa thamani kubwa. Lakini kwao wasioamini, “Lile jiwe walilokataa waashi limekuwa jiwe kuu la msingi,” 8 na, “Jiwe ambalo litawafanya watu wajik wae; mwamba ambao utawafanya waanguke.” Wanajikwaa kwa sababu hawatii lile neno, kama walivyopangiwa tangu mwanzo.

9 Lakini ninyi ni uzao mteule, ukuhani

TKU;SNT;NIV;NKJV - Jiwe Lililo Hai na Taifa Takatifu
Mkaribieni Bwana Yesu, aliye Jiwe lililo Hai, lililokataliwa na watu, bali kwa Mungu ni jiwe lililoteuliwa na kuheshimika

Kwanza.mnambiwa Jiwe lililo hai ni taifa takatifu. Pia hata Yesu anaitwa jiwe afu unalidharau jiwe 😄

Nyie jiwe leni liko wapi dogo? Au hamna nchi takatifu bado ina jiwe.
 
Makabila ya Yemen yasaidiwe kwa Silaha na pesa ili kuwaondoa Houthi Sanaa na Hudeida pamoja na Taiz.

Inatakiwa kuzidhibiti hizo Bandari ikiwemo hiyo ya Hodeida ambayo inatumiwa na Ayatolah kuingizia Silaha Yemen.
Kawasaidie sasa wenzio wameshindwa
 
Makabila ya Yemen yasaidiwe kwa Silaha na pesa ili kuwaondoa Houthi Sanaa na Hudeida pamoja na Taiz.

Inatakiwa kuzidhibiti hizo Bandari ikiwemo hiyo ya Hodeida ambayo inatumiwa na Ayatolah kuingizia Silaha Yemen.
Kawasaidie sasa wenzio wameshindwa
 
Hitler na wewe ni generation moja ya kuamini akifanikiwa mwenzako anatumia njia ya panya. Hitler alijaribu ila aliishia wapi? Hiyo race haitawai kufutika duniani watu wana miaka zaidi ya elfu 3 bado wamepreserve culture yao. Wewe mmatumbi ukifa kesho watoto wako hawajui walipotoka wanaishia dar. Acheni kutukuza tamaduni za watu babu zenu waliabududu mizimu rudini huko muwe huru.
 
Nimekupa fact umeamua kuruka ruka tuuu mazayuni hitler alitaka kuwafyeka sababu ni jamii ya hovyo sanaa ila Kuna jamii zipo leo na zina miaka zaidi ya 20 elf kijana hoja zimeisha unaleta vihoja
 
Adui mkubwa wa nchi za kiarabu ni Iran na magenge yake ya kigaidi, siyo Israel.
Bila shaka unakomenti ukiwa umelewa.
Israel ipo front line kumwangamiza adui wa ustaarabu Duniani, Iran. Nyuma ya Israel kuna mataifa yote ya Kiarabu yanayochukia ugaidi.
Nini maana ya ugaidi? Sifa za mtu au nchi kuwa gaidi ni zipi?
Unawezaje kuitaja Iran ni nchi ya kigaidi ilihali umeiacha USA kilanja wa ugaidi duniani, akiwemo na Mtoto wake Israel.
Hutasikia hata siku moja, kuna nchi ya kiarabu imeilaani Israel kwa kuwatwanga magaidi ya Hezbollah, Houth au Hamas. Concerns zao ni vifo vya raia.
Nchi za kiarabu viongozi wengi ni machoko wa USA. Wamefungwa midomo sababu ya vijimisaada Vya kijeshi na budget ya nchi wanayosaidiwa na bwana wao USA. Iran Hana msaada Kwa US, Hana Cha kupoteza Kutoka USA, na ndiyo maana Yuko hyper reactive.
 
Nimekupa fact umeamua kuruka ruka tuuu mazayuni hitler alitaka kuwafyeka sababu ni jamii ya hovyo sanaa ila Kuna jamii zipo leo na zina miaka zaidi ya 20 elf kijana hoja zimeisha unaleta vihoja
Kama unaamini Qur'an huwezi sema kuna jamii zina miaka elfu 20
manabii wote unaowasoma wewe asilimia 99.9 ni waisrael mmoja tu ndo mwarabu sasa jiulize kwa nini Allah alitumia mitume wote waisraeli wana kitu gani special ...
Kwa nini asitumie wamatumbi kabila lako?
 
Makabila ya Yemen yasaidiwe kwa Silaha na pesa ili kuwaondoa Houthi Sanaa na Hudeida pamoja na Taiz.

Inatakiwa kuzidhibiti hizo Bandari ikiwemo hiyo ya Hodeida ambayo inatumiwa na Ayatolah kuingizia Silaha Yemen.
Kawasaidie sasa wenzio wameshindwa
Magaidi wa Houthi hawapendwi sana na Makabila mengi ya Kiarabu ya Yemen wanajua kuwa hao Mashia ni Puppets wa Ayatolah.
 
Hakika makafiri hamtoacha chuki zenu dhidi ya uislam
 
Hakika makafiri hamtoacha chuki zenu dhidi ya uislam
Lakini si Quruani ndio imeanza kusema Makafiri wasakwe wakikataa Kusilimu au kulipa Jizya wauwawe?! Sasa ni nani alieanza chuki?!
 
Wanangojea nini hata Iran waliiacha kama wanavyoiacha Yemen Leo Iran haishikiki hakuna wakuigusa Houth
 
Wanangojea nini hata Iran waliiacha kama wanavyoiacha Yemen Leo Iran haishikiki hakuna wakuigusa Houth
Wairan hawana shida, shida ni hiyo Islamic Regime Iran inatakiwa irudishwe kwenye Usecular kama ilivyokuwa hapo awali.
 
Mkiambiwa wakristo wengi mmepotoka unabisha huko juu nimeelezea tafuta koment yangu sirudi Google waarabu wamekuletea nini uache ufinyu wa kufikiria bila mazayuni dunia ingekua kama peponi
Bro; si unajibu tu maswali hapo; ulisema tunapotoka halafu unatujumlisha Wakristo wote what do u mean? Usikute hata satellite inayotufanya mi na wewe tuwasiliane hapa ni hayo hayo mazayuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…