Saud Arabia, UAE, USA na Israel Kushambulia Al Hudaida Yemen ili Kumuokoa Israel

Wairan hawana shida, shida ni hiyo Islamic Regime Iran inatakiwa irudishwe kwenye Usecular kama ilivyokuwa hapo awali.
Pole sanaa wa kufanya hivyo hayupo
We phalla umewahi kuina wapi Israel amevamia nchi nyingine bila kuchokozwa?
Kwenu huna wazazi kama mimi huna adabu mzayuni mweusi mkubwa wewe
 
Bro; si unajibu tu maswali hapo; ulisema tunapotoka halafu unatujumlisha Wakristo wote what do u mean? Usikute hata satellite inayotufanya mi na wewe tuwasiliane hapa ni hayo hayo mazayuni.
Namaanisha mmepotoka kweli kwahio kama ya mzayuni kwani tunatumia bure
 
Pole sanaa wa kufanya hivyo hayupo
Hata kwa Saddam watu kwenye Kahawa walikuwa wakisema hivyo hivyo lakini US Army Rangers walipoingia Baghdad Kahawa nyingi zilikuwa chungu kama shubiri.
 
Pole sanaa wa kufanya hivyo hayupo

Kwenu huna wazazi kama mimi huna adabu mzayuni mweusi mkubwa wewe
Tatizo lako mdini hadi umekuwa muongo.
Nitanie nchi moja iliyovamiwa na Israel kwa uchokozi tu
 
Kwa sasa sidhanii kama saudia anaweza kupeleka vita Yemen maana anajua kitakachomtokea kama yemen wanarusha drones mpaka israhell vipi hapo saudia ila acha tuone
Japo nimechelewa kuuona huu uzi na kuchangia, lakini ulichoandika ndicho na mimi nilitaka kukiandika. Saudia hawezi kuingia kwenye huu mtego. Hizi ni taarifa za kuuza magazeti tu ili waandishi na familia zao waweze kwenda msalani au mkono kufika kinywani.
 
Kuna Jewish series ipo Netflix inaitwa rough diamond, imeelezea scenario uliyoielezea kuhusu Jews kutumia Bank zao za Israel kutakatishia pesa zao ili kukwepa mikono ya sheria kutoka nchi nyengine.
 
Hata kwa Saddam watu kwenye Kahawa walikuwa wakisema hivyo hivyo lakini US Army Rangers walipoingia Baghdad Kahawa nyingi zilikuwa chungu kama shubiri.
Endeleeni kujidanganya safari hii americant hana mtu wakumburuza kwenda nae vitani dhidi ya Iran zamani alikua anasomba somba tu ila kwa sasa ulisahau hili wanangojea nini kwani kumchapa ajemi au mme wa zayuni
 
Tatizo lako mdini hadi umekuwa muongo.
Nitanie nchi moja iliyovamiwa na Israel kwa uchokozi tu
Uongo kwetu dhambi nchi nyingi zimevamiwa na israhell ya kwanza palestina ya pili Lebanon ya tatu Syria niendelee au inatosha
 
Kabisa ila sioni saudia anaingiaje vitani wangeenda kwanza alipoambiwa na marekani waunde muu ngano dhidi ya Houthi na red sea ila wakakimbia ila acha tuone
 
Tatizo lako mdini hadi umekuwa muongo.
Nitanie nchi moja iliyovamiwa na Israel kwa uchokozi tu
Unaijua Damascus crisis ya 1958!?
Ilisababishwa na Israel,sasa niambie Syria iliifanya nini Israel wakati huo!?
 
Endeleeni kujidanganya safari hii americant hana mtu wakumburuza kwenda nae vitani dhidi ya Iran zamani alikua anasomba somba tu ila kwa sasa ulisahau hili wanangojea nini kwani kumchapa ajemi au mme wa zayuni
UK,US Ausralia wanatosha kuwaondoa Ayatolah Regime.
SaudI Arabia Oman na Bahrain wanatoa Bases.

B2 Bombers zinaletwa Diego Garcia
 
Sawa mkuu. Tuwaache wafe wakawazike wafu wao.
 
Hata kwa Saddam watu kwenye Kahawa walikuwa wakisema hivyo hivyo lakini US Army Rangers walipoingia Baghdad Kahawa nyingi zilikuwa chungu kama shubiri.
US alienda na mataifa 44 aliogopa kumsogelea Sadam peke yake.

Kumbe nyie wanaume ni wale wanao saidiwa na mataifa mengi kupigana vita 😄
 
US Airforce na UK Royal Airforce ndio zilizotoa Dozi hao wengine walikuwa ni Vidampa tu.
Hahaha wacha uwongo Saud Arabia Air force pia walikuwepo, Australia, Netherlands nenda katazame fact sio unaropoka tu.
 
Wahi Mirembe, hujui kama UK ndio inayomlinda Oman😂
UK aliomba akampige Yemen akambiwa haruhusiwi kupita katika Oman airspace apewe base apige Iran 😄 We hata hapo Mirembe hapakufai wakupeleke kwenye vituo vyenye uwezo wa kutibu vichaa kuliko Mirembe.
 
Ni hivi hakuna mbabe yeyote wa dunia anaweza sogea Iran, si walikua wanamtafuta sasa kajaa walipue visima alafu waende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…