Saudi Arabia has announced end of dollar dominance in global oil trade. The dominoes are beginning to fall on the US evil empire

Jibu zuri sana
 
China mwenyewe anaombea siku zote pesa yake iwe chini kwa dollar ili watu wanunue kwake, na ndo maana kaifix 6.2-6.8
 



Soma article ifuatayo,itakupa more insight into the subject.Solar power na wind energy haviwezi ku-replace mafuta ever.

 
Fall of USA is the fall of the world,hizo ni ndoto tena saudia ndio kibaraka mkubwa wa USA ingekua mchina au mrussi kasema hivyo sawa.
Hapo ni sawa na Zitto Kabwe aseme utawala wa Ccm umefika mwisho wakati inajulikana hata chama anachokiongoza ni tawi dogo la Ccm
 
Sio tu used car
Hata Used ideas.

Africans are the garbages of the world, kazi kuomba omba na kulia lia tu.
 
Jibu zuri sana
Dola ni stable currency.
Hii taarifa ukute hata Saudia wenyewe hawaijui[emoji23][emoji23][emoji23]
You are burrying your head in the sand mkuu.Mimi naamini sources zangu.After all Saudi Arabia has been moving away from the US and towards BRICS for a long time,and we new it was just a matter of time before it ditched the US $.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] at the same time mnasema habari zote ziko controlled na hao hao westerns leta chanzo kimojawapo tofauti na westernmedia kinacho eleza hizi habari zako unazo letaga umu jukwaan
Aliyekuambia vyombo vyote viko controlled na the West ni nani.Vyombo vinavyokuwa controlled na the West or the NWO Cabal if you wish ni Main stream media.Hata hivyo zipo independent media nyingi tu,ambazo the NWO Cabal do not control,huko ndiko unakoweza kupata habari ambazo hazija chakachuliwa.
 
Mbona wanatumia sana yote hayo na kila leo yanaongezeka
Sasa tubishane kwa kusoma au kuona
Uk ukiweka solar nyumba yako na kuibadili kutoka umeme serikali inakupa nusu ya gharama

Tujipe hope na Africa wabuni chochote
 
Kwahiyo hiyo taarifa ipo kwenye source zako Tu maana hata media za Saudia nimeitafuta HAIPO[emoji23].

Ila si vibaya kuota,we endelea kuota ila Dollar haiendi kokote na thread kama hizi sio mara ya Kwanza kuletwa hata mwakani na miaka inayokuja zitaletwa lkn Dola itakua palepale.
 
Mbona wanatumia sana yote hayo na kila leo yanaongezeka
Sasa tubishane kwa kusoma au kuona
Uk ukiweka solar nyumba yako na kuibadili kutoka umeme serikali inakupa nusu ya gharama

Tujipe hope na Africa wabuni chochote
Ukiweka Solar wanakulipa kwa kuwa kuna agenda kichaa ya "Net Zero Carbon Emmision." Actually nia halisi ya Net Zero Carbon Emmission ni depopulation.Mkuu I am sure of what I am talking about, wala sina sababu ya kubishana na wewe,na wala sitaki.
 
Wewe ndiye unayeota unayekataa ukweli.Wamarekani wameku-zombify mpaka huuoni ukweli.Sisi wenzio we knew this was coming,so sio surprise to us.
Kama unasubiri kuona taarifa hizi kwenye Main Stream Media za Saudia hutaziona,na utasubiri sana.Taarifa hizi zinapatikana kwenye independent media tu.
 
Independent media ya Mathanzua au sio[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hadi zije kua common sio leo,,,,,.....gari za mafuta hadi zije kuondoka kabisa sijui kama wengine tutakua hai hasa kwa huku africa wazee wa used cars

So as The fall of America mkuu
 
Ile tarehe 6 mwezi wa kwanza ulisema nini kitatokea?
 
Na Saudi wakitaka kununua vitu kutoka US mfano silaha na mitambo ya kuchimba mafuta, watatumia currency gani?
Na China akiuza bidhaa zake US, atalipwa kwa hela gani na ataitumiaje hiyo hela kama si kwa kiasi kikubwa kununua mafuta?
 
Saudi Arabia will never turn their back on US … the Saudi Kingdom is still existing because of military security from US … Saudi ndio nchi ya pili kupewa silaha nyingi kila mwaka na US … wewe unazani Kwa nini US ina mafuta ya akiba mengi kuliko nchi yeyote duniani ?
 
Kwanza US tayari mpaka ukifika mwaka 2030 watakuwa wamekata matumizi ya mafuta Kwa asilimia 70 … California ikifika 2030 ni marufuku kuendesha gari zinazotumia mafuta huku wanajenga power charger kila kituo cha mafuta na vituo barabarani ukinunua gari ya electric hulipi kodi sikuizi kampuni za magari huku hazitengenezi gari mpya za kutumia mafuta tena 😀
 
Wameshayauza mkuu.Continue to burry your head in the sand,the America you knew is no more,the Empire of lies and evil is crumbling.This is a fact and is happening right in front of our eyes.Many empires have collapsed before America, so the American collapsing will not be a surprise.
 
Na Saudi wakitaka kununua vitu kutoka US mfano silaha na mitambo ya kuchimba mafuta, watatumia currency gani?
Na China akiuza bidhaa zake US, atalipwa kwa hela gani na ataitumiaje hiyo hela kama si kwa kiasi kikubwa kununua mafuta?
Kwa hali ilivyo sasa Saudia hawana lazima ya kununua mitambo from the US,wanaweza kununua from Europe, China,au hata Russia,ila kama wakinua they will use the US$.China also kama watanunua anything from the US watanunua in US $.

Jambo la ku-note however is that the US has little to offer the World in terms of products,except military products,but here again countries are turning to China and Russia for their supplies.This means reduced demand for the US$ and hence a weaker America.
What Saudi Arabia has done has a very significant impact on the US economy.

The fact is America is now very worried about other countries following the example of Saudi Arabia,and to me there is no doubt that will happen,because America has proved itself to be a bully and an unreliable partner.Infact more and more countries are applying to join BRICS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…