Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Sina uhakika ana maana gani? lakini kama anaongelea wenye dollar watakuwa in disadvantage kutokana na market au currency nyingine, anajidanganya tuu na yeye ndio ataumia, China bado sana na huwezi kuamini wakomunisti wanao control pesa yao kwa vikao badala ya market forces, China ana exports to US na European countries zaidi ya dollar trillion kwa mwaka, anawahitaji hao wazungu na dollar zao kuliko sisi tunavyowahitaji, story za kutumia currency nyingine zaidi ya dollar ni siasa zaidi kuliko uchumiUmesema ulikuwa Kenya,na hii unaisemeaje kutoka Kenya yenyewe uliokuepo?
Umeelewa alichokisema Ruto? Aliposema "Those who hold dollars" hii sentesi umeielewaje?? Au aliposema "After a couple of weeks this market is going to be different" ndiyo ulitaka kumaanisha kwamba wanaachana na Dollar!!?Umesema ulikuwa Kenya,na hii unaisemeaje kutoka Kenya yenyewe uliokuepo?
Kuna watu wanadhani wako vitani dhidi ya Marekani.story za kutumia currency nyingine zaidi ya dollar ni siasa zaidi kuliko uchumi
Sterling pound iliangukaje ?Sina uhakika ana maana gani? lakini kama anaongelea wenye dollar watakuwa in disadvantage kutokana na market au currency nyingine, anajidanganya tuu na yeye ndio ataumia, China bado sana na huwezi kuamini wakomunisti wanao control pesa yao kwa vikao badala ya market forces, China ana exports to US na European countries zaidi ya dollar trillion kwa mwaka, anawahitaji hao wazungu na dollar zao kuliko sisi tunavyowahitaji, story za kutumia currency nyingine zaidi ya dollar ni siasa zaidi kuliko uchumi
Mkuu ujue kuna vitu watu wanongea hadi unajiuliza wanaishi dunia ipi,Fall of USA is the fall of the world,hizo ni ndoto tena saudia ndio kibaraka mkubwa wa USA ingekua mchina au mrussi kasema hivyo sawa.
Pound iliangushwa sana na ujio wa euro , hata hivyo pia pound haikuwahi kuwa na dominace kama Us dollarSterling pound iliangukaje ?
Nimeimagine hii situation halafu nikajiuliza; then what was the point ya electric car kuweka jenereta ya mafuta tena!!!!🤣🤣. Wabongo mmmhBongo yatakuwa dili kuendeshea generators maana chini ya mdudu ccm hakuna siku kero ya umeme itaisha nchi hii kila siku hali inazidi kuwa mbaya.
Baki na ujinga wako..Wewe ndio hujui. Eti mimi nisijue wewe ndio ujue, wewe pambana na swaumu tu.
Sina uhakika ana maana gani? lakini kama anaongelea wenye dollar watakuwa in disadvantage kutokana na market au currency nyingine, anajidanganya tuu na yeye ndio ataumia, China bado sana na huwezi kuamini wakomunisti wanao control pesa yao kwa vikao badala ya market forces, China ana exports to US na European countries zaidi ya dollar trillion kwa mwaka, anawahitaji hao wazungu na dollar zao kuliko sisi tunavyowahitaji, story za kutumia currency nyingine zaidi ya dollar ni siasa zaidi kuliko uchumi
Mimi ni mtafiti,sio wa kusiliza udaku kwenye vijiwe vya kahawa na kusoma Mtanzania,Uhuru,Nipashe, Habari leo etc. na kusikiliza ITV,TBC,Channel 10,Clouds TV au BBC, CNN na Aljazeera kama wewe,We look for true,authentic state of the art information.Siwezi kuleta pumba hapa, kwa kuwa nia yangu ni kuelimisha.
Nenda na shilingi yako ukanunue mafuta uone kama mwarabu atakuuzia hata lita moja, atakurudisha kwa vibao na mijeledi
Nafikili tunashindwa kuelewa. Swala ni kwamba hoa waujazi wa mafuta hawatakuwa na ulazima wa mteja kutumia dola kununua mafuta. Mfano mzuri ni Russia jinsi anavyouza mafuta yake kwa sasa. Mmemfungia dola lakini mauzo yake yanazidi kupaa
Kama mtu hujui uchumi utaishia kusema hii ndoto ya mchana. Kwa wasiojua biashara kubwa duniani inafanyika kwa malipo ya dola over 38% sawa na almost 90trillion dollar. Sasa kati ya hizo transaction 55% ni mauzo ya mafuta peke yake. Na wauzaji wakubwa wa mafuta duniani Russia na Saudia tayari wanaacha kutumia dollar kama pesa ya malipo.
Lapili ili ununue mafuta lazima uwe na dollar ili ufanye malipo kutoka kwa wauzaji. Hivyo unaponunua dollar maana yake US lazima ahakikishe zipo za kutosha kwenye mzunguko zikipungua anaongeza.
Tatu unapoacha kununua mafuta kwa fedha uliyokuwa unatumia awali(dollar) zile unazoacha kuzitumia zinarudi kwa mwemyewe(US). Pesa hizi hazirudi kama sadaka bali kupitia mauzo namanunuzi mbalimbali sasa zitakuwa nyingi kwemye mzunguko kulko mahitaji. Matokeo
Thamani ya hela husika inashuka(dollar inapoteza thamani). Kisha inapelekea kupanda kwa gharama inflation.
Kwa nini saudia ni hatari? Kwa sababu kiwango cha dollar anachotumia kufanya biashara ni kikubwa sana kusababisha madhara makubwa marekani na dunia kwa ujumla.
Mpango wa BRICS ni kwamba kila nchi ifanye biashara tokana na sarafu yake,,,,.......na sarafu wanataka zisapotiwe na resource fulani aidha dhahabu au madini mengine, ndo maana kwa sasa kuna nchi zinakusanya sana dhahabu.....ukienda kununua bidhaa nje,tuseme ndo hayo mafuta ukaambiwa ulipe kwa pesa yako...watapima thamani ya pesa yako tokana na soko la dhahabu lilivyo (mf....gram5 ya dhahabu ni sawa na tsh2), dollar ni mfumo wa kuprint tu makaratasi ila nyuma yake hayana kitu chochote cha kubeba thamani yake na ni sarafu ya kinyonyaji sana
Huo mkutano wa BRICS wa August, utakuwa pigo kubwa sana kwa west maana hawataamini macho yao kuona nchi nyingi sana kujiunga na BRICS
Bado haujawajua wahindi vizuri wewe🤣🤣🤣🤣. Pole sana.Sasa hivi Marekani anashirikiana na India ambaye ni mwanachama mmojawapo wa BRICS kuipiga pini China katika teknolojia ya microchips, na wako katika mpango kabambe wa ushirikiano wa kijeshi kuijengea India uwezo mkubwa zaidi wa kupambana na China
Shida hapo Sina Imani na India na SA kwa kuwa hawana utawala stable kama Hao watatu so anytime wanaweza kuwa vibaraka ndani ya bricks na mmarekani aka take advantage ya kuwamalizaKama mtu hujui uchumi utaishia kusema hii ndoto ya mchana. Kwa wasiojua biashara kubwa duniani inafanyika kwa malipo ya dola over 38% sawa na almost 90trillion dollar. Sasa kati ya hizo transaction 55% ni mauzo ya mafuta peke yake. Na wauzaji wakubwa wa mafuta duniani Russia na Saudia tayari wanaacha kutumia dollar kama pesa ya malipo.
Lapili ili ununue mafuta lazima uwe na dollar ili ufanye malipo kutoka kwa wauzaji. Hivyo unaponunua dollar maana yake US lazima ahakikishe zipo za kutosha kwenye mzunguko zikipungua anaongeza.
Tatu unapoacha kununua mafuta kwa fedha uliyokuwa unatumia awali(dollar) zile unazoacha kuzitumia zinarudi kwa mwemyewe(US). Pesa hizi hazirudi kama sadaka bali kupitia mauzo namanunuzi mbalimbali sasa zitakuwa nyingi kwemye mzunguko kulko mahitaji. Matokeo
Thamani ya hela husika inashuka(dollar inapoteza thamani). Kisha inapelekea kupanda kwa gharama inflation.
Kwa nini saudia ni hatari? Kwa sababu kiwango cha dollar anachotumia kufanya biashara ni kikubwa sana kusababisha madhara makubwa marekani na dunia kwa ujumla.
Mtaongea sanaaa marekani imeshaelekezwa kibra. Subirini hiyo August kwenye mkutano wa BRICS mpigwe na kitu kizitoShida hapo Sina Imani na India na SA kwa kuwa hawana utawala stable kama Hao watatu so anytime wanaweza kuwa vibaraka ndani ya bricks na mmarekani aka take advantage ya kuwamaliza
Unafikili India haifahamu kuwa marekani ni joka lenye sumu kalli? Marekani kama anataka kumtengeneza India kuwa adui wa China, basi imechelewa sanaaa na hizo mbinu za kizamaniSasa hivi Marekani anashirikiana na India ambaye ni mwanachama mmojawapo wa BRICS kuipiga pini China katika teknolojia ya microchips, na wako katika mpango kabambe wa ushirikiano wa kijeshi kuijengea India uwezo mkubwa zaidi wa kupambana na China