Saudi Arabia inatengeneza zaidi ya trilioni 30 kwa mwaka kutoka kwa waislamu

Nchi ya Saudi Arabia ipongezwe kwa ubunifu wa chanzo kikubwa cha mapato.

Jamaa walioweka vifungu vya kuwataka watu waende Madina na Mecca waliona mbali sana.

View attachment 2851322
Kuna shida gani kwani?? Walikuja kukuomba pesa za kwenda hija??

Uzuri ibada ya hija ni kwa watu wenye uwezo tu



Haitakiwi asiye na uwezo kujikandamiza na kujibana kisa kwenda hija.
 
Nyie ni mifugo tu ya wasaudia inakusanya pesa sawa na bajeti ya tz . Kweli wajinga ndio waliwao uchafu kidogo tu kwenye vikaratasi walivyohifadhi waroma ndio unawapeleka saudia kuzurula
 
Baada ya papa kubariki kulana malinda tutasikia mengi kwa wafuasi ili kujipa relief

😂😂😂😂😂😂
Bora papa sasa nyie mtume wenu alibaka vitoto vya miaka 9 na kukigeuza mke na kuoa kizee akawa mariooo anatunzwa mtume alikua anapenda sana ngono nasikia ashawahi mnyonya mate mpaka mwanaume
 
Nyie ni mifugo tu ya wasaudia inakusanya pesa sawa na bajeti ya tz . Kweli wajinga ndio waliwao uchafu kidogo tu kwenye vikaratasi walivyohifadhi waroma ndio unawapeleka saudia kuzurula
Wewe punguani kweli unalazimisha uharo wako Saudia na Hijja kipi kimewahi unajua Hija ya kwanza ilikiwa Palestina? Ufahamu Uislam wewe nenda kafunge ndoa za mashoga Kanisani.
 
Royal tour yetu nayo ije na ubunifu utakaofanya mamilioni ya watu kutoka pande na kona za ulimwengu huu waje Tanzania kwa karne na karne zijazo kutuletea mabilioni ya fedha za kigeni
 
Bora papa sasa nyie mtume wenu alibaka vitoto vya miaka 9 na kukigeuza mke na kuoa kizee akawa mariooo anatunzwa mtume alikua anapenda sana ngono nasikia ashawahi mnyonya mate mpaka mwanaume
Mtume wetu sisi alioa

Pale vatican kuna kesi ngapi za hao mnowaita makasisi wenu kunajisi watoto wadogo?

Njoo na facts siropoki tuendelee kama uko na facts
 
Wakatoliki wa kule Roma na matawi yao dunia nzima hawana uhusiano na kanisa la Yesu Kristo.

Wasaudi angalau wawafanyie muende bure maana wanawanyonya.
 
Halafu utumbie israel anatengeneza ngapi mkienda kuhiji mpk mnarudi na viudongo
Mtu anayekwenda kuchukua udongo Israel anafanya hivyo kwa utashi wake, hakuna agizo hilo kwenye biblia.
 
Kuna shida gani kwani?? Walikuja kukuomba pesa za kwenda hija??

Uzuri ibada ya hija ni kwa watu wenye uwezo tu



Haitakiwi asiye na uwezo kujikandamiza na kujibana kisa kwenda hija.
Jamaa waliunda dini kupiga hela za maskini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…