Saudi Arabia inatengeneza zaidi ya trilioni 30 kwa mwaka kutoka kwa waislamu

Saudi Arabia inatengeneza zaidi ya trilioni 30 kwa mwaka kutoka kwa waislamu

Ilikuwepo jina tu ilikuwa tofauti. Ila ardhi ni ile ile.

Ni kama ardhi ya tanganyika na Tanzania.

Wakati nyerere anapigania uhuru Tanzania haikuwepo ila kariakoo ilikuwepo pale pale ilipo leo
Ukisema Saudi Arabia ni nchi/mamlaka iliyoanza Karne ya 19,na ni jina la mfalme wa kwanza wa hayo mamlaka,kabla iliitwa Hijaz,wakati Aya za hijja zinashuka Makkah alikozaliwa mtume ilikua nchi tofauti na nchi ya Madina alikokimbilia na kufia,nchi ya saudia haikuwepo hivyo isingeweza kuingia kitu kwenye QUR'AN,nchi lilinga ya mkwawa na tabora ya milambo zilikua na sheria na taratibu zake tofauti na nchi ya Tanganyika na baadae Tanzania
 
Ukisema Saudi Arabia ni nchi/mamlaka iliyoanza Karne ya 19,na ni jina la mfalme wa kwanza wa hayo mamlaka,kabla iliitwa Hijaz,wakati Aya za hijja zinashuka Makkah alikozaliwa mtume ilikua nchi tofauti na nchi ya Madina alikokimbilia na kufia,nchi ya saudia haikuwepo hivyo isingeweza kuingia kitu kwenye QUR'AN,nchi lilinga ya mkwawa na tabora ya milambo zilikua na sheria na taratibu zake tofauti na nchi ya Tanganyika na baadae Tanzania

Naona unajitekenya mwenyewe. Mimi nimesemq Macca na madina zipo kwenye ardhi ile ile. Ila jina la nchi tu limebadilika. Nikatoa mfano wa kariakoo ya tanganyika na kariakoo ya Tanzania
 
Naona unajitekenya mwenyewe. Mimi nimesemq Macca na madina zipo kwenye ardhi ile ile. Ila jina la nchi tu limebadilika. Nikatoa mfano wa kariakoo ya tanganyika na kariakoo ya Tanzania
Tofauti,hutaki kuelewa, Saudi Arabia ni mamlaka mpya,Haina uwezo Wala fursa ya kupachika chochote mwenye QUR'AN Kama mlivyidai,hata wakati wa mtume Hilo jambo halikufanyika kwa shura Bali ni ufunui kwa mtume,so hakuna mamlaka ya kibinadam iliyopachika Hilo Kama mnavyodai
 
Una jina la kiarabu,
Unamuomba mungu wa kiarabu,
Unavaa kama muarabu,
Unamchukia mtanzania mwenzio kisa maandiko ya kiarabu,

Kwanini unajihisi uko huru ewe mtanzania?

Wakati huo huo,
Hakuna Muarabu ana jina kiafrika,
Hakuna Muarabu anamuomba Mungu wa Mzaramo,
Hakuna muarabu anamchukia mwarabu mwenzie kisa mtu mweusi( mtumwa tu)

Mtu mweusi amka, jivue uoga wa kuchomwa moto na ahadi hewa za pepo isiyo na uhalisia wowote.
 
Tanzania imekosa ubunifu wangepachika kipengele cha kuhijj Serengeti tungevuna mihela kuliko Saudia.
Kama ni ubunifu tu basi Saudia wala wasingeweza na hakuna mwengine atakayeweza mpaka mwisho wa dunia.
Wako ambao wanajaribu na wanashindwa sana.Angalia India wanavyotengeneza ibada za kuzuru maeneo lakini ni balaa tupu na uchafu.
Hija ni suala la ibada na nguzo kwa waislamu.Hata watu wakifa kwa matukio ya kimaumbile bado watu watarudi mwaka unaofuata kwa idadi ile ile.
Tukio la hija tuseme ni miujiza na haliwezi kulinganishwa na mikushanyiko mingine ya kibinadamu.
Muhimu ni hayo mapato yanayoingia Saudia jee wanayatumia kihalali au ndiyo wanayotumia kujenga miji ya kufanyia ufisadi.Iwapo wanaitumia vibaya basi ni haki ya waislamu duniani kote kuhoji na kupatiwa majibu sahihi.
 
Ilikuwepo jina tu ilikuwa tofauti. Ila ardhi ni ile ile.

Ni kama ardhi ya tanganyika na Tanzania.

Wakati nyerere anapigania uhuru Tanzania haikuwepo ila kariakoo ilikuwepo pale pale ilipo leo
Unamjibu vizur. Kishenz
 
Halafu utumbie israel anatengeneza ngapi mkienda kuhiji mpk mnarudi na viudongo
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
 
Tunarudia...
Tena mhenga JMK alikiri na kusema...
'......tunakuwa dini ni biashara...'
 
Nchi ya Saudi Arabia ipongezwe kwa ubunifu wa chanzo kikubwa cha mapato.

Jamaa walioweka vifungu vya kuwataka watu waende Madina na Mecca waliona mbali sana.

View attachment 2851322
Haya mapato ni dunia nzima,kuanzia pale anayekwenda kuhiji anakotoka,tena bila kuchagua kabila,dini,asiye na dini,utaifa,rangi ya mtu anayeyekwenda hija anawalipa kupata huduma kwao,nk.Mtu anaptoka nyumbani,mji anaoishi kuelekea kufanya Hija(ambayo hufanyika msimu maalumu)au UMRA(ambayo haina msimu,ni wakati wowote ndani ya Mwaka).anatumia pesa ya
1.Taxi,Bajaji,Daladala bus au chombo chochote cha usafiri,analipia nauli au mafuta,kunakuwa na mzunguko wa biashara,na mapato kwa serekali ya nchi anayotoka kutumika kwa mafuta,vipuli,oil
2.Akifika mji wa nchi anayoishi,wenye uwanja wa ndege,wa kimataifa,atalala hotel,atakula,atapanda usafiri tofauti,atalipia vyote hivyo,kunakuwa na mzunguko wa pesa na serekali kupata mapato.
3Atakata tiketi kwa agent wa wa mashirika ya ndege,atalipia,mashirika ya ndege yanapata pesa,serekali inapata kipato.Na kuongeza ajira kwenye mashirika ya ndege.
4.Atabadili pesa za nchi yake kupata pesa ya kigeni,wabadilishaj pesa,wanaogeza ajira.
5.Wanaokwenda Hija kuna nguo maalumu za kuvyaa kule Hija,watanunua,maduka na viwanda wanapata pesa,na kuongeza ajira,serekali inapata kodi.
6.Wenye biashsra za mifugo kama ng'ombe,mbuzi,kondoo,ngamia,wanapata biashara dunia nzima kwa kuuza Saudia,na kupata pesa za kigeni,,Kenya fursa hii wanaitumia bizarre,mbali na wanyama hao kuuzwa ndani ya nchi kwa waislamu,ambao hawakwenda Hija.Fugeni,ni fursa pesa sana.Hapo sijagusa kuku,kwa ulaji wa kwaida sio wa ibada.
7.Zawadi watakazonunua walokwenda Hija kutoka nchi mbali mbali duniani.
8.Haya mapato,ni.kwenda na kurudi,kwa hiyo nchi zote duniani,zinapata mapato.
9.Aliyeanzisha Hija,kwa waislamu,ni mjuxi wa hali ya juu,inatakiwa ashukuriwe sana.Amewezesha biashara za kimataifa.
 
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.

Allah alikuwa wapi kuzuia imam husseun hasiuwawe kikatili hapo karbala ?

Allah wenu ni mpuuzi na mzembe sana anaachaje watu wanaoutetea uislam wauwawe kikatili ?

Allah wenu hana nguvu kabisa
 
Back
Top Bottom