Mwana Taaluma
JF-Expert Member
- Oct 21, 2019
- 705
- 1,662
Upo vikindu sehemu Gani mkuu?Kumbuka, US siyo economic emerging country. BRICS karibu wote soko lao kubwa ni US, na partner wao mkubwa ni US.
Kwa umoja wao destination kubwa ya wananchi wao ni US.
China ni BRICS founder na India ni BRICS founder, lakini kati yao kuna sintofahamu, bifu na chuki. Undia wameongeza kodi kwa imports from China na wame ban some of their technology.
EAC ina solution zaidi kuliko BRICS.
Hawa ni wachumi kutoka igawaYani humu ndani kweli aliyesema mapenzi ni jambo au kitu fulani kunasababisha uwezo wa ubongo kupambanua mambo unapungua.
Watu wamewekewa hapo juu sifa za huo umoja na impact zake,
Wachambuzi wa kiuchumi Duniani kote hadi huko USA wenyewe wanakili kuwa umoja huo ni tishio la kiuchumi kwa western hasa kwa USA
Cha ajabu kuna wandengereko hapa Tanzania wanakuambia hakuna kitu kama hicho.
Haya tuhitimishe kwa kusema mpo sahihi kushinda wachambuzi wa Uchumi wa western-tuache muda uongee na tuwe hai.
Mkuu, nipo hapa vikindu wanapo park bodabodersUpo vikindu sehemu Gani mkuu?
Sasa kwa unavyo fikiria, Afrika ina uwezo wa kuingia kwenye Win-Win na India. Brasil, China na Russia and now Argentine and Saud Arabia?Challenge za BRICS zitakua solved at win-win situation. Sio kama Leo US anataka kuwa giant na mshindi kukandamiza wengine. US amejiweka kiranja wa Dunia na anafanya lolote kwa yeyote. Huu umoja unaleta balance katika Dunia. BRICS imechukua wazlishaji wakubwa wa mafuta na pia wanunuzi wakubwa pia kama China na Brazil. Hakuna nguvu ya vikwazo vya US tena
Tunapoenda Marekani atabaki na karatasi tuIkiwa watatumia sarafu zao iwe ni wao wenyewe wanachama wa BRICS au na mataifa mengine yaliyoonyesha nia ya kujiunga na BRICS itaathiri dollar ya Marekani kwa sababu Mmarekani atajikuta amebaki na dollars ambazo hazipo kwenye mzunguko duniani
Na biashara ya mafuta ni mojawapo ya biashara inafanya dollar iwe na demand kubwa duniani
Marekani ndiye muuzaji namba moja wa chakula kwa mataifa mengine duniani.Tunapoenda Marekani atabaki na karatasi tu
Ukisikia maajabu ya baadhi ya vijana humu ni pamoja na hoja ya huyo jamaa uliemjibu.OPEC inahusiano Gani na Bric's???
Tofauti na China hakuna wananuzi wakubwa wa hayo mafuta katika huo umoja mpaka sasa.Mbona sijaona kama wanunuzi wakubwa wa hayo mafuta wanatoka humo BRICS+?
Kwanini wakati hao wamarekani ndo wanawapa arv za bure?Wamarekani wa kwa mtogole huu uzi wanausoma kwa uchungu sana[emoji1787][emoji1787]
Eti we naye ni mchumi.Yani humu ndani kweli aliyesema mapenzi ni jambo au kitu fulani kunasababisha uwezo wa ubongo kupambanua mambo unapungua.
Watu wamewekewa hapo juu sifa za huo umoja na impact zake,
Wachambuzi wa kiuchumi Duniani kote hadi huko USA wenyewe wanakili kuwa umoja huo ni tishio la kiuchumi kwa western hasa kwa USA
Cha ajabu kuna wandengereko hapa Tanzania wanakuambia hakuna kitu kama hicho.
Haya tuhitimishe kwa kusema mpo sahihi kushinda wachambuzi wa Uchumi wa western-tuache muda uongee na tuwe hai.
Wabongo wengi wajingaWabongo hampendi kuambiwa ukweli,
BRICS ni genge lingine la wanywa kahawa tu kama ilivyo AU.
Imekuwepo muda mrefu ila hakuna cha maanaBRICS haiji na sarafu yake na wala haitakuwa na sarafu yake hata kwa miaka 50 ijayo.
Kutoka TPB hadi kuwa TPB Bank. Umesahahu? BRICS itatoka kuwa abbreviation ya mataifa fulani na sasa kuwa standalone brand.Wabadilishe hilo jina sasa.
Naomba utuelimishe tumetesekaje kwa matumizi ya dola?Matumizi ya dola yametutesa sana nchi masikini. Waangalie uwezekano wa ambao siyo wanachama kunufaika kwa namna fulani na arrangement za Brics.
Why bro? Kwanini wasifanikiwe?Kwa hiyo bric's hata Burundi anakaribishwa! Kama lengo ni ku undermine g7 hawatofanikiwa
Sarafu ya BRICS inaitwaje?Imekuwepo muda mrefu ila hakuna cha maana
Hapo sana sana labda kwenye mafuta