Saudi Arabia, UAE, Iran, Egypt, Ethiopia na Argentina zakubaliwa kujiunga BRICS

Saudi Arabia, UAE, Iran, Egypt, Ethiopia na Argentina zakubaliwa kujiunga BRICS

Baada ya kumiliki Nishati ya mafuta duniani, BRICS wanalenga kumiliki Dhahabu na Uranium hasa toka nchi za Africa. Madini kama Ntantalum na Cobalt nayo yanatafutwa kuingizwa katika BRICS. Hii inamaana kwamba hata US akitaka kuhamia kwenye Magari ya kuchaji Bado atatakiwa kufuata masharti ya BRICS
Masharti ya BRICS ambayo US atatakiwa kufuata ni yapi ??
 
Kiuchumi iko hivi kadiri mataifa yanaamua kutumia sarafu zao kwenye international transactions au kuamua kutumia sarafu zingine ndivyo utegemezi wa US Dollar unapungua ndivyo na kwenye foreign reserves hupungua kwa sababu demand yake inashuka
Unafikiri mfanyabiashara wa mafuta aliyekubali kulipwa kwa Rubo mwaka jana mwaka kesho atakubali kulipwa kwa Rubo tena?
 
Nilimaanisha kwenye biashara ya mafuta kama vile ambavyo sasa hivi Russia na China; Russia na India wanatumia sarafu zao

Bado China na Brazil kuna biashara wanatumia sarafu zao

Saudi Arabia, India wameanza kutumia pia sarafu zao kwenye transactions zao

Je, hauoni hapo dollar ya Marekani imepoteza ushawishi maana kabla ya hapo hayo mataifa yalikuwa yakitumia US dollar?
hilo halihitaji nguvu nyingi kufikiri,hata kama ni kwa asilimia chache,lakini ni pigo kubwa kwa dollar na euro..
 
Kiuchumi iko hivi kadiri mataifa yanapoamua kutumia sarafu zao kwenye international transactions au kuamua kutumia sarafu zingine ndivyo utegemezi wa US Dollar unapungua ndivyo na kwenye foreign reserves hupungua kwa sababu demand yake inashuka
Unafikiri mfanyabiashara mkubwa wa dhahabu Tanzania aliyelipwa kwa Tshs mwaka jana atakuwa na hamu ya kulipwa kwa Tshs tena au dollars mwaka huu?
 
Naamini bricks hawadhani hivyo. Ila wanachama wake wakwamtogole, kwatumbo, kwampalange, kwamama kibonge ndio wanaodhani USA ametulia tu anasubiri dollar yake iporomoke
kwa hiyo ataivunja BRICS?,na kuwalazimisha watumie dollar?iran na saudia kukaa kundi moja,ni pigo kubwa kwa usa,hata rumi iliwahi kutawala dunia..
 
Baada ya kumiliki Nishati ya mafuta duniani, BRICS wanalenga kumiliki Dhahabu na Uranium hasa toka nchi za Africa. Madini kama Ntantalum na Cobalt nayo yanatafutwa kuingizwa katika BRICS. Hii inamaana kwamba hata US akitaka kuhamia kwenye Magari ya kuchaji Bado atatakiwa kufuata masharti ya BRICS
Kumbuka, US siyo economic emerging country. BRICS karibu wote soko lao kubwa ni US, na partner wao mkubwa ni US.
Kwa umoja wao destination kubwa ya wananchi wao ni US.
China ni BRICS founder na India ni BRICS founder, lakini kati yao kuna sintofahamu, bifu na chuki. Undia wameongeza kodi kwa imports from China na wame ban some of their technology.
EAC ina solution zaidi kuliko BRICS.
 
Mchina anauza bidhaa zake China-based products. Kwa mujibu wa forecast za IMF wanasema kuwa kufikia 2040 mataifa makubwa kiuchumi yatakuwa
●China
●India
●Marekani

Sasa kati ya wewe na IMF ni nani tuchukue projections zake?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni lini watanzania nao wataingia BRICS au wamekaa tu kama mafisi wanasubiri mkono udondoke waokote. Nchi hii ngumu sana

Unataka mama wa watu waanze kusema kauza nchi kwa wachina [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom